Kwa zile pasi nilizoziona Dar, kule kijijini kwao River Plate tunaenda kupata msiba mzito

Kwa zile pasi nilizoziona Dar, kule kijijini kwao River Plate tunaenda kupata msiba mzito

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Mimi mwanayanga ile zile pass zimenitisha.

Wale jamaa kila mtu anajua kupiga pasi na ikafika.

Jana refa alikuwa wetu. Na kama mnavyojua mpira wa africa kila mtu anabebwa na refa akiwa kwake, sasa nawaza zile pasi kule kijijini kwao port hotcourt river state itakuwaje.

Manara kwa kwelii ajiandae viboko vizito. Wanayanga hatunaga uvumilivu kwenye mambo serious.

Tukipigwa 4 kwa 0 kule river state kama mnyama alizopigwa kule soweto na kaizer. Lazima mgogoro mkubwa sana uibuke na msolla na engineer hersi na manara wajiandae kwa zengwe la kufa mtu.

Ushauri kwa msolla na wengine. Waanze maandalizi mapema sana kule nigeria tukapate matokeo mazuri. Timu iende mapema ikazoee hali ya hewa
 
Yanga nanyi mwende mkamiliki mpira ugenini kama walivyofanya wao.
 
Mpira nyie hamjui....Wala hamna mikakati yeyote mtaona moto wa ajabu kule Nigeria...mtashangaa sana....
 
Chochote kinaweza kutokea kwa Yanga kupata matokeo mpira hauna nyumbani ni kujipanga kwa mbinu sahihi na kuchagua wachezaji sahihi. Yanga mechi ya Dar walikuwa wamewapa nafasi sana wapinzani wafanye wanavyotaka hawakufanya pressing tokea juu ili kutowapa nafasi wapinzani wao.

Wamewaacha Rivers wacheze kwa ku relax tu huku Yanga wakikabia kwa macho. Kwa mchezo uliochezwa Dar Rivers walipaswa kuondoka na ushindi mnono ila waneshindwa kutumia nafasi nyingi walizopata hilo ni tatizo pia kwa Rivers.

Upande wa Yanga wachotakiwa kufanya ni kuongeza viungo kati ikibidi Feisal arudi nafasi yake, kocha achague wachezaji wazuri mbona wachezaji wazuri wapo japokuwa bado timu haijawa nzuri. Yule Moloko asipangwe Yacouba asipangwe.

Yusuph Athuman anaweza kusaidiana vizuri sana na Makambo. Bangala pia sio wakuwekwa benchi. La muhimu zaidi wapambanie ITC ya Djuma na Aucho wanaweza kuongeza kitu kwa Yanga wachezaji wa. Yanga waongeze umakini kwenye kukaba na kutengeneza nafasi na kuzitimua nafasi chache zinazopatikana.

Yanga wana tatizo kubwa la kutoweza kuutumia vizuri uwanja wa nyumbani. Ila mechi ya away bado naona Yanga kuna kitu wakikifanya wanaweza kwenda mapumziko wakiwa wanaongoza
 
Dah Uto mmekuwa wa baridi kiasi hiki🐵🐵 mbona mapema sana. Nenda mpigwe mrudi tu mtulie make hamna tofauti na wadangaji mnasubiri mabwana wapambane nyie tu mje kuchukua tu bure.

Sema naona siku hizi kuwachamba wenzenu mnaweza ila uwanjani sasa tabu tupu🐸🐸
 
Mimi mwanayanga ile zile pass zimenitisha.

Wale jamaa kila mtu anajua kupiga pasi na ikafika.

Jana refa alikuwa wetu. Na kama mnavyojua mpira wa africa kila mtu anabebwa na refa akiwa kwake, sasa nawaza zile pasi kule kijijini kwao port hotcourt river state itakuwaje.

Manara kwa kwelii ajiandae viboko vizito. Wanayanga hatunaga uvumilivu kwenye mambo serious.

Tukipigwa 4 kwa 0 kule river state kama mnyama alizopigwa kule soweto na kaizer. Lazima mgogoro mkubwa sana uibuke na msolla na engineer hersi na manara wajiandae kwa zengwe la kufa mtu.

Ushauri kwa msolla na wengine. Waanze maandalizi mapema sana kule nigeria tukapate matokeo mazuri. Timu iende mapema ikazoee hali ya hewa
Yanga iko vizuri kiuongozi hivi sasa,chochote litakachotokea tutakivumilia

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom