Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Mods naona wapo vizuri kutoa mabokoMods ndio wameibadilisha.. mimi niliandika kijijini kwao river state. Maana ndio jina la jimbo wanalotoka hiyo timu, mods wakatoa state na kuweka plate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods naona wapo vizuri kutoa mabokoMods ndio wameibadilisha.. mimi niliandika kijijini kwao river state. Maana ndio jina la jimbo wanalotoka hiyo timu, mods wakatoa state na kuweka plate
Na kweli huku mna semaji la kuzimu likifurahia ujinga wenuYanga iko vizuri kiuongozi hivi sasa,chochote litakachotokea tutakivumilia
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Siku hizi wanachoweza ni kupiga ban tu hata pasipostahiliMods naona wapo vizuri kutoa maboko
Hivi unajua kwamba kuna uwezekano wa wachezaji was yanga kama wanne wa kukutwa na covid 19?.Mpira hauko hivyo mkuu. Unataka kusema jamaa watachezea mpira wa kishirikina? Kama ni mpira huu huu wa kawaida basi Yanga hawashindwi kupindua meza kikubwa ni mamba matatu tu moja ni mbinu na ufundi sahihi hapa ndio uwezo wa mwalimu mzuri unapoonekana. Unaingia na mbinu sahihi kwa kumsoma mpinzani wako. Pili ni uchaguzi sahihi ya wachezaji watakaoweza kuendana na mbinu. Tatu ni wachezaji kucheza kwa jihadi zote. Na la ziada ni kufanya sub kwa wakati sahihi na kwa wachezaji sahihi. Hiyo ndio kanuni ya mpira. Hata hao Rivers wana mapungufu yao hivyo ni kazi ya benchi la ufundi kutoa lock ili kuwafanya wakosee
Hii marudio tu hahahAmeshakuja nayo "no threat no surrender"
Kwa ufupi mods anaweza akawa manara vile vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mods ndio wameibadilisha.. mimi niliandika kijijini kwao river state. Maana ndio jina la jimbo wanalotoka hiyo timu, mods wakatoa state na kuweka plate
Hivi unajua kwamba kuna uwezekano wa wachezaji was yanga kama wanne wa kukutwa na covid 19?.