Kwa zile pasi nilizoziona Dar, kule kijijini kwao River Plate tunaenda kupata msiba mzito

Hivi unajua kwamba kuna uwezekano wa wachezaji was yanga kama wanne wa kukutwa na covid 19?.
 
Mods ndio wameibadilisha.. mimi niliandika kijijini kwao river state. Maana ndio jina la jimbo wanalotoka hiyo timu, mods wakatoa state na kuweka plate
Kwa ufupi mods anaweza akawa manara vile vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sio kuna uwezekano Bali Wana covid-19 hapo walipo SASA hivi ninavyoandika imebaki tuu kuweka kwenye maandishi rasmi ya caf
Hivi unajua kwamba kuna uwezekano wa wachezaji was yanga kama wanne wa kukutwa na covid 19?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…