Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Umeona eee
Ila ukipata karuti ka huku wala usiwe na shida kuhusu pa kufika
Karibu [emoji847]
Mnadani ni kule Msalato bhaaaana !!Kule Chako n' chako nishafika kwenye kusaza nyama.
Hatari sana.
Ubaguzi huoNamtafuta mwanajf wa kike anayependa kunywa safar na kuku wa kusteam pale Area D.
Ubaguz wa nn nampenda sana yule mama ana story alafu anakunywa safar kabisaUbaguzi huo
Malaika kesho kuna mkesha wa christmass..? Nikiwa hapo nitakujuwaje kesho? Mimi pia nimehamia huku.. upweke hatariiii
Dah yaani.
Ila nina imani kuna sehemu itapatikana tu kwa ajili ya kumfidia Sele bonge.
Hatari
Ubaguz wa nn nampenda sana yule mama ana story alafu anakunywa safar kabisa
Sio tumbo?? hahahah jokes..ukiona mdada mwenye kalio kubwa kuliko wote ndiye
Sijawahi kumuona huyo dada akinywa heinekenKwa nn iwe safari tu na sio heinken
hili ajibu yeye[emoji23][emoji23][emoji23]Sio tumbo?? hahahah jokes..
Habarini.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
NIMEUHAMA RASMI MKOA WA DAR ES SALAAM, na sasa natambulika rasmi kama MKAAZI HALALI WA MKOA WA DODOMA
Kwaheri Dar na starehe zake zote.
Nitawamiss sana rafiki zangu niliowaacha Dar ambao tulikutana Jf na nje ya Jf.
Wana Dodoma naomba mnikaribishe mkoani kwenu.
●Tufufue Dodoma wing.
●Tukutane kila Ijumaa au Jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa wana Dodoma.
●Kutafuta mlezi na mfadhili wa Dodoma wing (hili swala nitalishughulikia mimi)
Watu wa Dodoma tujuane na tuwe na kundi letu kwa atakayependa.
Karibu Pm kwa mwanaJf uliye Dodoma, kama hutataka nikutambue hapa jukwaani.
Now nipo RainbowILA NAIACHA DAR HUKU MOYO UNANIUMA SANA HASA KINONDONI NILIPOKUWA NAISHI.
Kesho mkesha Malaika lounge
Karibuni
View attachment 975782
Shemej[emoji23][emoji23]Karibu iringa [emoji58]
Na wewe ni wifi yako? Kwa kaka yako au kaka yakeWifi hii ni huzuni kwangu