Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Habarini.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
NIMEUHAMA RASMI MKOA WA DAR ES SALAAM, na sasa natambulika rasmi kama MKAAZI HALALI WA MKOA WA DODOMA

Kwaheri Dar na starehe zake zote.
Nitawamiss sana rafiki zangu niliowaacha Dar ambao tulikutana Jf na nje ya Jf.

Wana Dodoma naomba mnikaribishe mkoani kwenu.
Tufufue Dodoma wing.
●Tukutane kila Ijumaa au Jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa wana Dodoma.
●Kutafuta mlezi na mfadhili wa Dodoma wing
(hili swala nitalishughulikia mimi)

Watu wa Dodoma tujuane na tuwe na kundi letu kwa atakayependa.
Karibu Pm kwa mwanaJf uliye Dodoma, kama hutataka nikutambue hapa jukwaani.
Now nipo Rainbow
Kesho mkesha Malaika lounge
Karibuni

ILA NAIACHA DAR HUKU MOYO UNANIUMA SANA HASA KINONDONI NILIPOKUWA NAISHI.
View attachment 975782
Karibu Dodoma mlembo kama vipi tuonane tufahamiane maana undugu huanza hivi..mie nipo hapa Dom siku nyingi njoo ujionee mzigo mpya wa majeneza ya kisasa na punguzo maalum la kufunga mwaka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Karibu Sana.. Tupo tupo.
🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Dada Kuanzia Jana saa 12 nakutafuta.
Habari za Chama unazo [emoji848][emoji848]
 
dodoma... weekend nilikuwa huko nimeondoka jpili saa kumi alfajiri... nilikesha ROYAL pale napiga kilaji ilivyofika kumi alfajiri nikakamata road

pamechangamka sana siku hizi tatizo kwa sisi watu wa kuja nakuondoka tunapata sana kwanzia ijumaa huko kwanzia hotel hadi lodge zinakuwa zinajaa sasa inabidi tukeshe tunapiga vilaji bila kupenda
 
Desert parm hotel Area D
Wala sipafahamu.
Nahisi nikianza kuzurura nitapafahamu sehemu za bata kwa usaidizi wako.
Ni hotel yenye club maana mie kwa muziki, ni balaaaa
 
Back
Top Bottom