Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Huo huo mshahara wa ualimu ndio unasumbua nao khs Mambo ya Bata ? I bet huna familia ! Alafu kumbe nimesahau wewe Ni ke(hakuna linaloshindikana ukiitumia jinsia yako vzr),,,,,, marry Christmas and happy New year mkuu /cheeeers
 
🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️

Eheh mambo mrembo.. I miss u.. Karibu dodoma
 
dodoma... weekend nilikuwa huko nimeondoka jpili saa kumi alfajiri... nilikesha ROYAL pale napiga kilaji ilivyofika kumi alfajiri nikakamata road

pamechangamka sana siku hizi tatizo kwa sisi watu wa kuja nakuondoka tunapata sana kwanzia ijumaa huko kwanzia hotel hadi lodge zinakuwa zinajaa sasa inabidi tukeshe tunapiga vilaji bila kupenda
Aisee.
Kwahiyo ule msemo wa Mtwara kuchele sasa umehamia Dom.
Safi sana.
Ngoja nasi tukaongeze nguvu katika kuijenga Dodoma mpya
 
Huo huo mshahara wa ualimu ndio unasumbua nao khs Mambo ya Bata ? I bet huna familia ! Alafu kumbe nimesahau wewe Ni ke(hakuna linaloshindikana ukiitumia jinsia yako vzr),,,,,, marry Christmas and happy New year mkuu /cheeeers
Mbona unajimaliza mkuu.
Ualimu ni uso wa nje tu.
Uso wa ndani unaujua wewe au unakariri maisha ya mtu?
Acha kujifanya unajua maisha ya watu.

Nawe pia Merry Xmass & Happy New Year
 
Back
Top Bottom