Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁unatakajesio vizuri ujue
Hahahaaa. Nilikuwepo mbona mdogo wangu. 😜😜Dada Kuanzia Jana saa 12 nakutafuta.
Habari za Chama unazo [emoji848][emoji848]
🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
umenikimbia afu unauliza natakaje, nataka urudi[emoji16][emoji16][emoji16]unatakaje
Hapana Dar kumezidi. Dom hata nyumba za kupanga bei rahisi.Hivi Dom maisha ni expensive kama Dar?
Chako ni chacho pale ni vyuku wa kuchomaBhana weeee
Nilipelekwa nikaambiwa panaitwa Chako.
Kumbe mnadani....sawa mama
Aisee.dodoma... weekend nilikuwa huko nimeondoka jpili saa kumi alfajiri... nilikesha ROYAL pale napiga kilaji ilivyofika kumi alfajiri nikakamata road
pamechangamka sana siku hizi tatizo kwa sisi watu wa kuja nakuondoka tunapata sana kwanzia ijumaa huko kwanzia hotel hadi lodge zinakuwa zinajaa sasa inabidi tukeshe tunapiga vilaji bila kupenda
😂😂nimekukimbia wap.tena boss mtotoumenikimbia afu unauliza natakaje, nataka urudi
Oh kumbe ni vile kuko hyped sana sikuhizi. Nikajua labda mambo ya kimjinimjini yashaanzaHapana Dar kumezidi. Dom hata nyumba za kupanga bei rahisi.
Tokea ijumaa sikuoni[emoji23][emoji23]nimekukimbia wap.tena boss mtoto
Mbona unajimaliza mkuu.Huo huo mshahara wa ualimu ndio unasumbua nao khs Mambo ya Bata ? I bet huna familia ! Alafu kumbe nimesahau wewe Ni ke(hakuna linaloshindikana ukiitumia jinsia yako vzr),,,,,, marry Christmas and happy New year mkuu /cheeeers