Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dodoma kucheleeeAisee.
Kwahiyo ule msemo wa Mtwara kuchele sasa umehamia Dom.
Safi sana.
Ngoja nasi tukaongeze nguvu katika kuijenga Dodoma mpya
Ndio mkuu fanya umtafute mkaonaneKha!!
Yule jamaa ni wa Dom.
Aisee
Majeneza yanaingiaje hapa.Karibu Dodoma mlembo kama vipi tuonane tufahamiane maana undugu huanza hivi..mie nipo hapa Dom siku nyingi njoo ujionee mzigo mpya wa majeneza ya kisasa na punguzo maalum la kufunga mwaka.
Siku hizi ndo wanaenda watu wengi.Oh kumbe ni vile kuko hyped sana sikuhizi. Nikajua labda mambo ya kimjinimjini yashaanza
😂😂mihangaiko ndugu yangu natafta ya mwaka.mpyaTokea ijumaa sikuoni
Wadada waligeuza danguro ndo maana wakabadilisha wafanyakaziRainbow nilikuwa jana.
Malaika nilienda siku ya ufunguzi mwezi uliopita.
Royal nilienda walipokuja Fiesta.
Ila Malaika mbona kuna kakaz wengi?
Wanawake wa kuhesabu aisee.
Ila Rainbow kiboko
ShemejjjRelax nakukuta mjini [emoji23]
Uwiiii ni mwanamke au mwanaume huyo mbea.Kwahiyo umesema Desert hupajui mm nataka yule aliyekuja Desert na anapenda story za Jf anawahadithia wenzake