Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Karibu Dodoma mlembo kama vipi tuonane tufahamiane maana undugu huanza hivi..mie nipo hapa Dom siku nyingi njoo ujionee mzigo mpya wa majeneza ya kisasa na punguzo maalum la kufunga mwaka.
Majeneza yanaingiaje hapa.

Tuanzie hapo kwanza.
Asante kwa kunikaribisha mkuu.
 
Pale Capetown Kisasa kunafaa sana kwa starehe.Zama hata pale au club 7 pia.Maisha Club pabaya hapana mzuka kam malaika
 
Pale Capetown Kisasa kunafaa sana kwa starehe.Zama hata pale au club 7 pia.Maisha Club pabaya hapana mzuka kam malaika
Mie nimefika Raibnow, Malaika na Royal.
Nadhani huko kwingine nitafika pia
 
Wadada waligeuza danguro ndo maana wakabadilisha wafanyakazi
Ndio maana.
Yaani katika watu 5, wanaume 4 na mwanamke 1 mpaka nikashangaa.
Ila pamechangamka sana.
Malaika Annex ndo sijafika
 
Yeah mie nakunywa mpaka Balimi Demiss.
Zamani ilikuwa ukiingia bar ukamkuta mdada anakunywa safari tunamshangaa sana.
Kwahiyo umesema Desert hupajui mm nataka yule aliyekuja Desert na anapenda story za Jf anawahadithia wenzake
 
Kwahiyo umesema Desert hupajui mm nataka yule aliyekuja Desert na anapenda story za Jf anawahadithia wenzake
Uwiiii ni mwanamke au mwanaume huyo mbea.
Asa anawahadithiaje kwa mfano?
Desert sipajui kabisa.

Nani huyo tumuweke mtu kati?
 
Back
Top Bottom