Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Jamani shemeji yangu wa ukweli.
Unajua imekuwa ghafla tu maana hata baadhi ya company zangu za ukweli kama akina Mtambuzi hawana taarifa.
Ila nina imani tuko pamoja kupitia Jf.
Wewe siku ukitaka kuja Dom nipe taarifa utanikuta

Hakuna neno shem. Tupo pamoja.
 
Hopeful ni mdada.. tusije kukimbiana aiseee,,, maana Avatar haisomeki hihihihihi..
 
Utankumbusha baadhi ya ulivovimiss DSM, nikuletee!
Aisee....bahati iliyoje hii..
Thanks sana.
Ukikaribia kuja wewe nistue mkuu nami nitakwambia uniletee nini.
Yaani hadi raha jamani
 
Back
Top Bottom