Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Madame umeondoka Dar bila hata kuniaga shemeji yangu? Mungu anakuona.

Nakutakia maisha mema huko Mji Mkuu.. Kawachangamshe wagogo huko waache kuomba omba.. Nakuaminia sana shem..

Halafu nimefurahi nazidi kuongeza idadi ya wenyeji wangu huko Dodoma.. Najua siku nikija huko sikosi wa kunitembeza kushangaa Jiji la Dodoma.

Kila la kheri!
 
doh!!!
Dar tushapoteza mmoja wa watu wetu mwenye " kifurushi afya" chake cha hatari!

maisha mema huko makao makuu Madame..
 
Madame umeondoka Dar bila hata kuniaga shemeji yangu? Mungu anakuona.

Nakutakia maisha mema huko Mji Mkuu.. Kawachangamshe wagogo huko waache kuomba omba.. Nakuaminia sana shem..

Halafu nimefurahi nazidi kuongeza idadi ya wenyeji wangu huko Dodoma.. Najua siku nikija huko sikosi wa kunitembeza kushangaa Jiji la Dodoma.

Kila la kheri!
Jamani shemeji yangu wa ukweli.
Unajua imekuwa ghafla tu maana hata baadhi ya company zangu za ukweli kama akina Mtambuzi hawana taarifa.

Ila nina imani tuko pamoja kupitia Jf.
Wewe siku ukitaka kuja Dom nipe taarifa utanikuta
 
doh!!!
Dar tushapoteza mmoja wa watu wetu mwenye " kifurushi afya" chake cha hatari!

maisha mema huko makao makuu Madame..
Haahhahaha
Afu wewe.
Ngoja nikaongeze afya Dom mpwa
 
Na sisi tunaoingia na kutoka Dom kwa seminar na warsha vipi?
 
Shemela Madame B mbona sikushirikishwa kwenye haya maamuzi..? Ngoja niiitishe kikao cha dharura kujadili hili..😀😀
Yaani shemela imekuwa ghafla sana shem.
Ila nina imani bado tuko pamoja kama kawa.
Kikaoni niliaga baadhi shem
 
Back
Top Bottom