Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha itabidi tu hamna namnaYaani namisije lile biriani.
Mtanitumia kwenye basi
Jamani shemeji yangu wa ukweli.
Unajua imekuwa ghafla tu maana hata baadhi ya company zangu za ukweli kama akina Mtambuzi hawana taarifa.
Ila nina imani tuko pamoja kupitia Jf.
Wewe siku ukitaka kuja Dom nipe taarifa utanikuta
😂😂😂😂Eti wamatopeni jana walishinda ngapi?
Na nyie pia wana Dom kwa muda