Shemej[emoji23][emoji23]
Hata karibuuu[emoji23][emoji23]Nambie shem [emoji1][emoji1] nimekuja bata kidogo iringa
Karibu Dodoma mlembo kama vipi tuonane tufahamiane maana undugu huanza hivi..mie nipo hapa Dom siku nyingi njoo ujionee mzigo mpya wa majeneza ya kisasa na punguzo maalum la kufunga mwaka.Habarini.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
NIMEUHAMA RASMI MKOA WA DAR ES SALAAM, na sasa natambulika rasmi kama MKAAZI HALALI WA MKOA WA DODOMA
Kwaheri Dar na starehe zake zote.
Nitawamiss sana rafiki zangu niliowaacha Dar ambao tulikutana Jf na nje ya Jf.
Wana Dodoma naomba mnikaribishe mkoani kwenu.
●Tufufue Dodoma wing.
●Tukutane kila Ijumaa au Jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa wana Dodoma.
●Kutafuta mlezi na mfadhili wa Dodoma wing (hili swala nitalishughulikia mimi)
Watu wa Dodoma tujuane na tuwe na kundi letu kwa atakayependa.
Karibu Pm kwa mwanaJf uliye Dodoma, kama hutataka nikutambue hapa jukwaani.
Now nipo RainbowILA NAIACHA DAR HUKU MOYO UNANIUMA SANA HASA KINONDONI NILIPOKUWA NAISHI.
Kesho mkesha Malaika lounge
Karibuni
View attachment 975782
🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️[emoji23][emoji23][emoji23] Karibu Sana.. Tupo tupo.
Dada Kuanzia Jana saa 12 nakutafuta.[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
sio vizuri ujuedom napapenda kwa bata aiseee mwakamjana kuja sana pande hizo dah..ninakuja anytime aiseee..nakuja kutibiwa..nile kwanza bata ndo niende hosp[emoji4]