King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Tafiti za kupendwa uraiani ulizifanyia wapi? Au kwa kuangalia umati na waliokuwa wanalia kwenye TV?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakera...mtu had unakufuru sasa...mie nafurah mipaka mingi itafunguliwa na sie kina yakhe tuende huko ..tuna imana na mama samia...Kama nakuona vile😋 sjui kabla ya Maghufuli Tanzania haikuwepo, huenda ndo aliyeanzisha hili taifa ...
Hahahahahahaha nacheka kwa nguvu balaa jamani hapa hahahahUkiwasikiliza CCM unaweza sema nchi imepata uhuru 2015
Ujinga tuuu, hii nchi aliyeiumba ni nan ? Acheni kumpa sifa JPM hata zisizomstahli .....
Tulimuamini sana JPM tulijua jambo la kipuuzi likifika kwake waliofanya upuuzi lazima wakione cha moto. Na watendaji walijua Magufuli anamaanisha na hatanii ndio maana hata kama walifanya kwa uoga lakini iliwabidi wafanye.
Mkurugenzi akisikia kuna uozo sehemu hata kama ni mzembe alijua asipofatilia yeye ndio atawajibishwa so aliibana system yake and so on.
Mama Samia kazi yake kubwa itakuwa kuongeza uzito kwenye kusimamia uwajibikaji, kero za watanzania ni mambo madogo madogo uko kwenye maofisi ya halmashuri, kwenye mahospitali kwenye idara za serikali. Walirudi zama zile za ukiwa ukifanyiwa dhulma hakuna pakusema Mama atatuangusha na atawapa msemo hiki chama cha kaskazini.
Kikwete amecha Udom, Mandela, daraja la Nyerere, Chuo cha mipango, chuo cha mwalimu Nyerere, Benjamini Mkapa Hosp, JKCI, ajira kibao, mishahara kupanda, barabara kibao, n.k lakini huwezi kusikia anasifiwa hata siku moja.Hahahahahahaha nacheka kwa nguvu balaa jaman hapa hahahah
Tanzania ni imara tu bila mtu yeyote...tumepoteza ndiyo lakini tusikae kinyonge...Magufuli ameenda kimwili tuu ila kwa kazi alizofanya na serikali aliyoiacha bado anaishi kati yetu
Tanzania bado ipo imara
Ukiwasikiliza CCM unaweza sema nchi imepata uhuru 2015
Tusipangiane ebooo!Ujinga tuuu, hii nchi aliyeiumba ni nan ? Acheni kumpa sifa JPM hata zisizomstahli .....
Hehehee u wish😜Hahahaha ahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaaani nimecheka kwa nguvu hadi walinzi wangu wameshtuka![emoji16][emoji16][emoji16]
Pamoja mkuuHahahaha ahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaaani nimecheka kwa nguvu hadi walinzi wangu wameshtuka![emoji16][emoji16][emoji16]
Wahamiaji haramu wanajuta sasaUonevu ndani ya Ccm labda ila sio kwa nchi yetu tunayoipenda Tanzania.
Mushaanza kujuta wanaCcm kwa sababu munajua fika chama kinarudi kwenye connection ya wazee wa chama.
Hehehee u wish[emoji12]
Hahahahaa....haya bossUsalama ni muhimu mkuu.
Ukiwasikiliza CCM unaweza sema nchi imepata uhuru 2015
Ukiwasikiliza CCM unaweza sema nchi imepata uhuru 2015
Hahahaha ahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaaani nimecheka kwa nguvu hadi walinzi wangu wameshtuka![emoji16][emoji16][emoji16]