Kwaheri Dkt. Magufuli, karibu uonevu



Yaan unaweza haribu maana nzima kwa kushindwa kuweka au kuongeza h...umemaanisha Mama atatuangusha au hatatuangusha?? C'mooon
 
Ukiwasikiliza CCM unaweza sema nchi imepata uhuru 2015
Ukiwasikiliza CCM unaweza sema nchi imepata uhuru 2015
Hahahaha ahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaaani nimecheka kwa nguvu hadi walinzi wangu wameshtuka![emoji16][emoji16][emoji16]

Your browser is not able to display this video.


Mambo ya John Pombe Joseph Magufuli yakitajwa yanawauma eeeee

Na mjue kabisa ameacha misingi imara...... Poleni kwa maumivu ya wivu na chuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…