Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
As if hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza tena vizuri sana Mara elfu ya Jiwe , mataga ni empty set .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata shetani anakuwaga na wafuasi wengi kwa hilo usiwe na shaka kumbuka alikuwa mkuu wa nchi ambayo ina watu kwa hiyo hilo lisikupe shida.Kwako wewe ameleta...ujinga, upumbavu na ushenzi wa kusherehekea kifo Cha JPM...ujuha wa kutoona kuwa mtu huyu alikuwa anapendwa na Watanzania...ujuha wa kudhani kuwa JPM alikuwa anachukiwa na Watanzania..
Happy ulipo una hofu kubwa kabisa kuwa mnaweza mkafanyiwa revenge kwa kifo...wewe una hofu hiyo, Lissu Ana hofu hiyo...Lema ana hofu hiyo...wewe ukiwa ndani kwako ukisikia tu kelele za mjusi kwenye paa la nyumba yako unapatwa na hofu kuwa pengine unatafutwa kwa comments...kwenye mijadala mitaani unashindwa kuchangia mada kuhusu Magufuli kwa hofu kubwa...ila kwenye mitandao umejificha nyuma ya keyboard kuweka comments zako kiuoga...huwezi kutamka hadharani kuwa Magufuli alikuwa mbaya...utafanya hivyo tu kwa mkeo au mumeo ambaye huna naye...Yaani hivi Sasa mnaishi kwa hofu...kwenye daladala mnakuwa wanyonge kwani mkifanya fyofyoko mtafinyangwa Kama udongo na umma...maishi Bila raha...mmekosa amani...you are cowards...
Kwaheri uonevu karibu mama Samia.Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.
Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.
Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.
Kuna vyombo au viongozi wa Serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.
Sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.
Rais alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.
Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.
Wengine tunafuata mkumbo pekeesawa kabisa
Tena anawafuasi wengi kuliko YesuHata shetani anakuwaga na wafuasi wengi kwa hilo usiwe na shaka kumbuka alikuwa mkuu wa nchi ambayo ina watu kwa hiyo hilo lisikupe shida.
Hahaha umenena kweliIla wasahau pesa za kupewa pewa barabarani
Nipe adress yako nikutumie chocoSawa uncle ake D, salam zimefika unadaiwa chocolate sasa
Nimemwambia nikirudi toka chato nitakuambia umnunulie
Chukua tuu kwa kweliNipe adress yako nikutumie choco
send me locationChukua tuu kwa kweli
Wale watu waliokua wanasema UNANIJUA MIMI NANI? Wataanza mambo yao sasa walipotea sanaTufanye kazi kwa bidii zote tuondokane na hili lindi la umaskini jamani...yaani mnaona bila yeye mambo yatabounce..why
send me location
Wakazaliwa WATU WASIOJULIKANA FROM CHATO STATE.Wale watu waliokua wanasema UNANIJUA MIMI NANI? Wataanza mambo yao sasa walipotea sana