Kwaheri Dkt. Mkamilo, tunaomba Rais Samia utuletee Mkurugenzi mpya wa TARI

Kwaheri Dkt. Mkamilo, tunaomba Rais Samia utuletee Mkurugenzi mpya wa TARI

Kwaheri Dkt. Mkamilo, tunaomba Rais Dr Samia utuletee Mkurugenzi mpya wa TARI

11/6/23 tulimuomba Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan atuletee Mkurugenzi Mpya wa TARI. Tunataka kusema ukiyaona ya Mussa utayaona ya Dr Mkamilo na watetezi wake. Kuna baadhi ya watumishi wake wachache sana ambao wanakubaliana na mfumo mbovu walijitokeza kumtetea. Baadhi wanasema kafanya mengi badala ya kusema kabomoa mengi mazuri na kuanzisha mabaya yasiyokubalika katika utumishi wa umma na Serikali ya awamu ya 6 haiyakubali. Huyu mzee ana madudu mengi sana ambayo wahusika wakiyafuatilia wao watapigwa na butwaa kabla yenu ninyi wananchi ambao mpo humu kwenye mahakama yetu ya wananchi. Ngoja leo nitolee maelezo mfano mdogo wa kuajiri watu wa familia yake ambao hawana sifa wala uwezo na kuwa watumishi wa Taasisi nyeti, muhimu na ya kisayansi kama TARI inayoongozwa na Dr Mkamilo.

Hebu wenye nia njema na Taifa na kutetea ajira kwa vijana wanaohotimu vyuo fuatilieni lengo la kuanzishwa kwa TARI. Hii TARI hii ni taasisi ambayo ilianzishwa kwa ajili ya kufanya Utafiti kwenye masuala ya kilimo. Tunapozungumzia TARI ndio msingi wetu mkubwa kwenye kilimo. Watumishi wengi wa TARI ni wale ambao wamesoma sayansi ya kilimo na watu ambao wana akili nzuri isiyotiliwa shaka kwenye mambo ya kitafiti. Hali hii imekuwa tofauti kwa familia ya Dr Mkamilo.

Utaratibu wa Vyuo vya Ngazi ya Kati ya Elimu za Sayansi ya Kilimo, ni kwamba vyuo hivi huwa vinadahiri wanafunzi ambao wana ufaulu kwenye masomo ya sayansi kwa kidato cha nne au kidato cha sita.

Dr Mkamilo kama Mkurugenzi mkuu wa TARI alimuajiri mke wake ambaye ana ufaulu wa div 4 ya pointi 33 kwa masomo ya kidato cha nne. Huyu mke wake huyu ana ufaulu wa D mbili tu nazo ni kwenye masomo ya kiswahili (D) na historia (D). Masomo mengine ya civics (F), hesabu (F), biology (F), English (F), Geography (F), Literature (F) na mengine yote unayoyafahamu ni F. Kumbukumbu za ufaulu huu zipo TARI na zipo chuo Cha MATI Tumbi. Mnaohusika na ufuatiliaji haiitaji kwenda kwenye Taasisi hizi, mpigie Mkurugenzi Mkuu wa TARI na Mkuu wa Chuo Cha MATI Tumbi watume vyeti hivi mtacomfirm wenyewe. Sasa tunauliza iweje mtu huyu akawa muajiriwa ndani ya TARI? Je hicho chuo alichosoma stashahada ya kilimo kinazingatia ufaulu gani? Nauliza juu ya Chuo kwa sababu ili mwanafunzi kujiunga na masomo ya Kilimo Kwa elimu ya kati anahitaji kuwa na ufaulu wa chini ambao ni D physics, D Kemia, D biolojia, D hesabu au geography na D kiingereza (Hivi ni vigezo ambavyo vimewekwa na Wizara ya Kilimo na unaweza kutembelea website ya Wizara ili kujisomea vigezo hivi) lakini chuo cha MATI Tumbi hawakuzingatia vigezo hivyo. Huyu mama masomo muhimu yote yanayohitajika kuwa mtumishi wa TARI ana F lakini haikuwa na shida kwa mme wake kuchomeka jina la mke wake kwenye Taasisi yenye wasomi wakubwa ndani ya Taifa hili. Lakini vijana wenye weledi na ufaulu mzuri wanakosa ajira ila huyu mama anapata faster ajira ndani ya TARI Taasisi ya kisayansi ambayo lugha zake ni za kisayansi.

Nimefanya kazi na huyu mama TARI Makutupora tangu 2018. Sasa iko hivi watafiti wanapomuelekeza kufanya kazi kwa lugha ya kiingereza anashindwa kuelewa maelekezo ya kisayansi anayopewa, wakimpa sampuli za maabara anazimwaga kwa kutetemeka mikono kwa sababu hajawahi kutumia vifaa vya maabara, wakimwambia apange jaribio anasahau mapema hayo mambo mazito ya majaribio, wakimtuma kazi haelewi nao wanamuogopa ni nke wa boss wao. Taifa linapata hasara kubwa kupitia ajira za mchongo za namna hii. Nalo tunasubiri watu wa Dubai watuletee utaalam wao kwenye eneo hili ?

Halafu huyu mama sio kosa lake, kosa ni kwamba ufaulu na masomo yake hayamruhusu kufanya kwenye Taasisi ambazo sayansi zake zinahusu Biolojia, Kemia, Fizikia na hesabu ambayo hana msingi nayo. Kosa ni la Mkurugenzi Mkuu ambaye kwa makusudi alitumia akili yake vibaya na kuingiza mambo ya kifamilia kwenye Utumishi wa umma.

Huyu mama Mkamilo amekuwa technician kwa kipindi cha miaka 5 ndani ya TARI tena akiharibu majaribio na watafiti kumuogopa nke wa boss wao. Bado kwa nguvu za mme wake, huyu mama amepandishwa cheo kutoka kuwa Technician na kuwa mkufunzi mkuu wa Kituo cha Kimataifa cha usambazaji Teknolojia za kilimo kiitwacho Agri Hub kilichopo jijini Dodoma eneo la Nzuguni. Hiki Kituo kinamilikiwa na TARI Makutupora.

Kama hujui ndugu yangu kilimo ni uti mgongo wa nchi yetu. Zaidi ya asilimia 70 ndio watanzania wanaojihusisha na kilimo. Na isitoshe kilimo kwenye nchi yetu ni sekta ambayo ina asilimia 26 kwenye GDP ya nchi. Hivi ni kwanini watu wanaichukulia nchi yetu kama shamba la bibi? Basi Dr Mkamilo asiiheshimu TARI basi awaheshimu watanzania ambao wanategemea kilimo katika nchi hii. Ni vijana wangapi wenye ufaulu mzuri kwenye masuala ya kilimo na hawana ajira kwa sababu ya watu wachache wenye ulafi kwenye madaraka?

Hali ilivyo sasa, wakulima nao wameanza kulalamika kwamba wakifika pale Nzuguni huyu mama anashindwa kuwaelezea vizuri wakamuelewa. Vijana wa BBT nao wamelalamikia hili. Yaaani wakulima wa sasa wana uelewa mkubwa sana na wengine wamehitimu vyuo na kujiajiri kwenye kilimo. Hawa wanahitaji watu wenye weledi na uwezo mkubwa kuwapa maelezo. Mkulima mwenye C ya biolojia na B ya agricultural science kwenye kidato cha 4 unahisi atamuelewa huyu mama? Rais Dr Samia amefanya kazi kwenye shirika la World Food Programme (WFP), siku mama anatembelea eneo hili kujua Teknolojia zinazotolewa na akaongozana na wageni wa kimataifa hali itakuwaje pale ?

Hii inatufanya kumuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia atusaidie mzigo huu mzito. Tunaamini Rais ana malengo mazuri na nchi yetu hasa kwa Sekta ya Utafiti wa Kilimo lakini kuna watu wachache kama Dr Mkamilo ambao wanataka kumuangusha. Elimu ya Dr Mkamilo ni nzuri mno lakini anatumia elimu yake kwa ajili ya maslahi yake binafisi. Huyo ni mke wake ambaye ni muajiriwa ndani ya TARI lakini ni failure wa kidato cha nne.

Wakati mwingine watu hatuna shida binafisi na watu kama Dr Mkamilo lakini shida inatokea baada ya wao ubinafisi wao kuuingiza na kuuhusisha na masuala ya umma. Kuna kijana wake alifeli chuo kikuu cha SUA 2015 lakini kijani huyo alimuweka kusimamia mradi mkubwa wa Utafiti wa mihogo humo TARI🥹. Mradi huu ulishindwa kutoa matokeo. Huu uzi umeletwa kuonesha wale wanaomsifia Dr Mkamilo kwa maslahi yao binafisi kwamba wanakosea sana. Tulinde Taifa letu na tumsaidie Rais. Mkiendelea kumtetea teba tutaleta mengine mengi ambayo tunayafahamu. Tunaomba Mhe Rais ateue mtu mwingine mwenye kujali misingi imara ya Utafiti na kuheshimu sayansi ili kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Huyu Dr Mkamilo apangiwe majukumu mengine ambayo anayaweza na mke wake atafutiwe eneo sahihi analoliweza na kuondolewa kwenye Taasisi ya kisayansi inayoheshimika kikanda na kimataifa ya TARI
Kumbe na sisi humu ndani tunanunulika? Nimekudharau umekua bidhaa cheap!!

TARI TARI TARI utafikiri ndo roho ya nchi. Ndo maana wabongo mnarogana kwa sababu ya vyeo. PUUMBAVU
 
23/5/2018 aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kipindi hicho Dkt John Pombe Magufuli kumteua Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI).

Taarifa ilisema uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo ulianza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro. Ukurasa wa 8 wa TARI Scheme of Service umeweka sifa za kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI na kipindi cha miaka 5 kama tenure ya uongozi kwa mtu anayeshikilia nafasi hiyo. Vilevile, mtu kama ana sifa anaweza kuteuliwa tena kwa nafasi hiyo kwa kipindi kingine.

Kipindi cha miaka 5 ya Dr Mkamilo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 59 na akiwa njiani kustaafu Rasmi kazi za Utumishi wa umma mwaka 2024 kimemalizika 21/5/2023 saa 11:00 jioni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Hivyo kwa mujibu wa TARI Scheme of Service Dr Mkamilo siyo Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Mbali na kumaliza kipindi chake kisheria, Dr Mkamilo ameendelea kukalia ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Jambo hili ni baya sana na linahatarisha uhai wa Taasisi ya TARI. Ni makosa makubwa kisheria mtu ambaye hana mamlaka au kuidhinishwa kufanya kazi yoyote ile au kuelekeza watu kufanya kazi.

Dkt. Mkamilo kwasasa ndani ya TARI ni kama strenger. Na kazi zote ambazo amefanya baada ya kipindi cha uongozi wake kumalizika hazina uhalali wowote maana hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo. Tunapata mashaka makubwa kuamini kwamba makosa mengi ya makusudi yaliyofanywa na Dkt. Mkamilo hasa hasa kwenye eneo la fedha na unyanyasaji wa watumishi ni kwa sababu alijua kuwa yeye siyo mtu sahihi kwa muda huu na kipindi chake cha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI kimemalizika. Dr Mkamilo kuendelea kuwapangia watumishi majukumu ya kufanya na kuhamisha wengine asiowapenda wakati yeye siyo mtu halali kwa nafasi aliyopo hili nalo nikosa jingine na kazi zote zinazofanywa na watumishi kwa maelekezo ya Dr Mkamilo nazo siyo halali.

Tunamshauri Dr Mkamilo amuandikie barua Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassani kumtaarifu kuwa muda wake wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI umemalizika mwezi Mei 21, 2023 na mpaka sasa ana umri wa miaka 59 kuelekea kustaafu utumishi wa umma. Na ajieleze kwanini ameendelea kufanya kazi ambazo hana mamlaka kuzifanya baada ya kujua kuwa muda wa uongozi wake umekwisha. Tunamuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassani ateue mtu mwingine mwenye sifa sitahiki kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI maana kwasasa TARI haina Mkurugenzi Mkuu.

KWA HERI DKT MKAMILO: RAIS SAMIA TEUA MKUGENZI MPYA WA TARI

23/5/2018 aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kipindi hicho Dkt John Pombe Magufuli kumteua Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI). Taarifa ilisema uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo ulianza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro.

Ukurasa wa 8 wa TARI Scheme of Service umeweka sifa za kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI na kipindi cha miaka 5 kama tenure ya uongozi kwa mtu anayeshikilia nafasi hiyo. Vilevile, mtu kama ana sifa anaweza kuteuliwa tena kwa nafasi hiyo kwa kipindi kingine.

Kipindi cha miaka 5 ya Dr Mkamilo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 59 na akiwa njiani kustaafu Rasmi kazi za Utumishi wa umma mwaka 2024 kimemalizika 21/5/2023 saa 11:00 jioni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Hivyo kwa mujibu wa TARI Scheme of Service Dr Mkamilo siyo Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Mbali na kumaliza kipindi chake kisheria, Dr Mkamilo ameendelea kukalia ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI.

Jambo hili ni baya sana na linahatarisha uhai wa Taasisi ya TARI. Ni makosa makubwa kisheria mtu ambaye hana mamlaka au kuidhinishwa kufanya kazi yoyote ile au kuelekeza watu kufanya kazi. Dr Mkamilo kwasasa ndani ya TARI ni kama strenger. Na kazi zote ambazo amefanya baada ya kipindi cha uongozi wake kumalizika hazina uhalali wowote maana hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo.

Tunapata mashaka makubwa kuamini kwamba makosa mengi ya makusudi yaliyofanywa na Dr Mkamilo hasa hasa kwenye eneo la fedha na unyanyasaji wa watumishi ni kwa sababu alijua kuwa yeye siyo mtu sahihi kwa muda huu na kipindi chake cha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI kimemalizika. Dr Mkamilo kuendelea kuwapangia watumishi majukumu ya kufanya na kuhamisha wengine asiowapenda wakati yeye siyo mtu halali kwa nafasi aliyopo hili nalo nikosa jingine na kazi zote zinazofanywa na watumishi kwa maelekezo ya Dr Mkamilo nazo siyo halali.

Tunamshauri Dr Mkamilo amuandikie barua Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassani kumtaarifu kuwa muda wake wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI umemalizika mwezi Mei 21, 2023 na mpaka sasa ana umri wa miaka 59 kuelekea kustaafu utumishi wa umma.

Na ajieleze kwanini ameendelea kufanya kazi ambazo hana mamlaka kuzifanya baada ya kujua kuwa muda wa uongozi wake umekwisha. Tunamuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassani ateue mtu mwingine mwenye sifa sitahiki kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI maana kwasasa TARI haina Mkurugenzi Mkuu.
Watanzania kwa kusagiana kunguni hatujambo.
Wewe ulihamishiwa kigoma kwa kuwa ulikuwa unafuja pesa za umma.
Badala ya kumshukuru kwa kutokushitakiwa au kufukuzwa kazi unamsagia kunguni hapa jf.
Umri wa kustaafu kwa mkurugenzi wa TARI ni miaka 65, kwa hiyo, ndugu yangu, huyo bado yupo yupo sana
 
23/5/2018 aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kipindi hicho Dkt John Pombe Magufuli kumteua Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI).

Taarifa ilisema uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo ulianza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro. Ukurasa wa 8 wa TARI Scheme of Service umeweka sifa za kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI na kipindi cha miaka 5 kama tenure ya uongozi kwa mtu anayeshikilia nafasi hiyo. Vilevile, mtu kama ana sifa anaweza kuteuliwa tena kwa nafasi hiyo kwa kipindi kingine.

Kipindi cha miaka 5 ya Dr Mkamilo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 59 na akiwa njiani kustaafu Rasmi kazi za Utumishi wa umma mwaka 2024 kimemalizika 21/5/2023 saa 11:00 jioni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Hivyo kwa mujibu wa TARI Scheme of Service Dr Mkamilo siyo Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Mbali na kumaliza kipindi chake kisheria, Dr Mkamilo ameendelea kukalia ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Jambo hili ni baya sana na linahatarisha uhai wa Taasisi ya TARI. Ni makosa makubwa kisheria mtu ambaye hana mamlaka au kuidhinishwa kufanya kazi yoyote ile au kuelekeza watu kufanya kazi.

Dkt. Mkamilo kwasasa ndani ya TARI ni kama strenger. Na kazi zote ambazo amefanya baada ya kipindi cha uongozi wake kumalizika hazina uhalali wowote maana hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo. Tunapata mashaka makubwa kuamini kwamba makosa mengi ya makusudi yaliyofanywa na Dkt. Mkamilo hasa hasa kwenye eneo la fedha na unyanyasaji wa watumishi ni kwa sababu alijua kuwa yeye siyo mtu sahihi kwa muda huu na kipindi chake cha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI kimemalizika. Dr Mkamilo kuendelea kuwapangia watumishi majukumu ya kufanya na kuhamisha wengine asiowapenda wakati yeye siyo mtu halali kwa nafasi aliyopo hili nalo nikosa jingine na kazi zote zinazofanywa na watumishi kwa maelekezo ya Dr Mkamilo nazo siyo halali.

Tunamshauri Dr Mkamilo amuandikie barua Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassani kumtaarifu kuwa muda wake wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI umemalizika mwezi Mei 21, 2023 na mpaka sasa ana umri wa miaka 59 kuelekea kustaafu utumishi wa umma. Na ajieleze kwanini ameendelea kufanya kazi ambazo hana mamlaka kuzifanya baada ya kujua kuwa muda wa uongozi wake umekwisha. Tunamuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassani ateue mtu mwingine mwenye sifa sitahiki kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI maana kwasasa TARI haina Mkurugenzi Mkuu.

KWA HERI DKT MKAMILO: RAIS SAMIA TEUA MKUGENZI MPYA WA TARI

23/5/2018 aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kipindi hicho Dkt John Pombe Magufuli kumteua Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI). Taarifa ilisema uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo ulianza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro.

Ukurasa wa 8 wa TARI Scheme of Service umeweka sifa za kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI na kipindi cha miaka 5 kama tenure ya uongozi kwa mtu anayeshikilia nafasi hiyo. Vilevile, mtu kama ana sifa anaweza kuteuliwa tena kwa nafasi hiyo kwa kipindi kingine.

Kipindi cha miaka 5 ya Dr Mkamilo ambaye kwasasa ana umri wa miaka 59 na akiwa njiani kustaafu Rasmi kazi za Utumishi wa umma mwaka 2024 kimemalizika 21/5/2023 saa 11:00 jioni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Hivyo kwa mujibu wa TARI Scheme of Service Dr Mkamilo siyo Mkurugenzi Mkuu wa TARI. Mbali na kumaliza kipindi chake kisheria, Dr Mkamilo ameendelea kukalia ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TARI.

Jambo hili ni baya sana na linahatarisha uhai wa Taasisi ya TARI. Ni makosa makubwa kisheria mtu ambaye hana mamlaka au kuidhinishwa kufanya kazi yoyote ile au kuelekeza watu kufanya kazi. Dr Mkamilo kwasasa ndani ya TARI ni kama strenger. Na kazi zote ambazo amefanya baada ya kipindi cha uongozi wake kumalizika hazina uhalali wowote maana hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo.

Tunapata mashaka makubwa kuamini kwamba makosa mengi ya makusudi yaliyofanywa na Dr Mkamilo hasa hasa kwenye eneo la fedha na unyanyasaji wa watumishi ni kwa sababu alijua kuwa yeye siyo mtu sahihi kwa muda huu na kipindi chake cha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI kimemalizika. Dr Mkamilo kuendelea kuwapangia watumishi majukumu ya kufanya na kuhamisha wengine asiowapenda wakati yeye siyo mtu halali kwa nafasi aliyopo hili nalo nikosa jingine na kazi zote zinazofanywa na watumishi kwa maelekezo ya Dr Mkamilo nazo siyo halali.

Tunamshauri Dr Mkamilo amuandikie barua Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassani kumtaarifu kuwa muda wake wa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI umemalizika mwezi Mei 21, 2023 na mpaka sasa ana umri wa miaka 59 kuelekea kustaafu utumishi wa umma.

Na ajieleze kwanini ameendelea kufanya kazi ambazo hana mamlaka kuzifanya baada ya kujua kuwa muda wa uongozi wake umekwisha. Tunamuomba Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassani ateue mtu mwingine mwenye sifa sitahiki kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI maana kwasasa TARI haina Mkurugenzi Mkuu.
Mbona huulizi Dk. Albina Chuwa wa NBS.
 
We utakuwa mwanaye au mnufaika wa upigaji wake. Kama ni majungu kazi ya vyombo vya usalama ni nini. Acha wachunguze ili wathibitishe kuwa ni majungu au siyo. Mimi kama hata simfahamu lakini taarifa zinazozagaa mitandaoni zimenishawishi kuwa anafaa achunguzwe. Ikigundulika ni mwadilifu basi maisha mengine yaendelee lakini kama ni fidadi apelekwe tu mahakamani.
 
Bora tumpe mleta uzi
Mmmh hatari sana. Nilimsikia mzee moja wa TARI ambaye ni mstaafu akisema ile Taasisi Dr. Mkamilo anaiua si muda mrefu maana anachota hela na kuwahonga viongozi wa serikali na wanasiasa ili abaki kwenye nafasi. Ikishakufa anaenda zake Uganda kuna taasisi inamhitaji. Mwenye kujua mambo ya TARI aje atiririke hapa
 
Rais anaweza kumwongezea miaka mingine mitano hata kama amefikisha umri wa kustaafu.

Lakini pia anaweza kumwongezea muda uliobaki mpaka pale atakapo staafu kwa mujibu wa sheria.

Kuna wakurugenzi wakuu wa taasisi kadhaa nchini wanakaribia 70 sasa hivi.

Hadi pale mtakapoletewa mtu mwingine huyo bado ni kiongozi wenu.
Kwaheri Dr Mkamilo, tunamuomba Dr Samia atuletee Mkurugenzi Mkuu Mpya

Sheria ya utumishi wa umma Na. 8 ya mwaka 2002, ikisomwa pamoja na kanuni zake za mwaka 2003 na taratibu nyingine za uendeshaji za mwaka 2003, pamoja na miongozo na nyaraka mbalimbali zinazotelewa na Serikali zimeweka taratibu za kupandisha watumishi vyeo. Hizi taratibu ikiwemo hata kanuni za kudumu za 2009 zilidharauliwa sana na kupigwa bonge la teke na Dr Mkamilo wakati wa kipindi cha utawala wake. Bila sababu ya msingi September 2021, Dr Mkamilo alitangaza kitu kiitwacho TARI Scheme of Services ambacho kiliishusha vyeo vya muundo watumishi wa TARI wengi na kufanya watu watumikie vyeo ambavyo walivitumikia miaka 10 iliyopita. Kitendo kilichofanyika kililenga kuwafanya watumishi wachukie Serikali yao. Mimi ninayeandika haya namshukuru Allaah vyeo vyao watafiti havikunigusa. Sisi watu wa Ugavi kitu hiki kilitupita pembeni na kuwagusa watafiti tena wanasayansi ambao uwezo wa kujenga hoja na kujitetea ni mdogo. Mara kwa mara watumishi waliomtafuta Dr Mkamilo kuuliza kwa nini wameshushwa vyeo vyao, wengine waliishia kufokewa na Dr Mkamilo huku akirusha ngumi hewani. Baadhi ya watumishi ambao Dr Mkamilo aliwaheshimu aliwaelezea kwamba Serikali ya awamu ya 6 imeanza na mambo mapya. Hata alipoulizwa na baadhi ya viongozi kuhusu kutenda kosa hili aliwadanganya kwamba amewaongezea mshahara mkubwa sana na ukweli ni kwamba 67 % ya watumishi waliongezewa shilingi elfu 5 tu. Kitendo hiki na majibu ya Dr Mkamilo kwa watumishi yalishusha morale ya kazi na kuongeza minung'uniko kwa watumishi wengi. Ukifanya study ya kuangalia hali ya utendaji kwa watumishi wa TARI utapigwa na butwaa baada ya kugundua utendaji umeshuka kwa 52%. Kundi zima lililoshushwa cheo linasema litamkumbuka Dr Mkamilo kwa ukatili huo aliowafanyia. Jambo la kusikitisha hata watumishi ambao wako karibu na Dr Mkamilo ambao tunawafahamu (siri zao tumezihifadhi) nao wanamlaumu sana kwa kuwashusha vyeo watu kitendo kinachotafasiriwa kama njama za kuchonganisha watumishi na Serikali yao ya awamu ya 6. Ili kufanya maboresho na kufumua scheme of services na muundo mzima wa TARI ili kuwa wa manufaa kwa watumishi, tunamuomba Dr Samia Suluhu Hassan kuteua Mkurugenzi Mkuu mwingine ambaye atarudisha imani ya watumishi wa TARI kwa Serikali yao.
 
Unaonekana wewe ni mtafiti wa mchongo. Sisi Scientists hatunaga muda wa umbea, ni matokeo tu kusaidia jamii na taifa. Sijui unapata wapi muda wa majungu badala ata ya kupiga shule umekalia umbea. Tafiti zako zitakua za kimbeambea pia.Probably wewe ni mfanyakazi wa TARI mzembe sana huezani na speed ya Dr Mkamilo.
Namfahamu Geof muda mrefu sana kwa kazi zake na mentorship yake. Nashauri SSH amuongezee muda
Dr Mkamilo kuheshimika kimataifa? Kivipi tena? Ninyi hamna tabia ya kujisomea? Huyu Dr Mkamilo hata PhD yake ni weak sana kasome kazi yake. Kwenye PhD alitafuta tu takwimu kule mtwara mara zao la mahindi mara ufuta. Tafrani tupu hata haieleweki alilenga kutatua changamoto gani hasa ya kijamii au alilenga jawabu gani hasa la kisayansi la kusaidia nchi yetu. Mtafute Dr Mkamilo kwenye Google yenye kichwa "Maize-sesame intercropping in Southeast Tanzania: Farmers' practices and perceptions, and intercrop performance ". Nanyi mnaweza kuingia kwa Google mkajisomea kazi yake ya PhD. Ukizama zaidi na kuidadavua na kuwapa baadhi ya wanazuoni wa Sayansi ya Kilimo kwa kweli watashindwa kuielewa nini boss wetu alifanya. Hata Mimi ambaye nimebobea kwenye ugavi haya aliyoyafanya naona ni madogo sana. Hii PhD yake inafaa kwa wanafunzi wa Special Research Project) ya wanafunzi wa shahada ya kwanza na sio mtu wa PhD tena kwenye sayansi. Hakuna sayansi yoyote kwenye thesis yake. Tukianzia kwenye maudhui hamna mahali alionyesha changamoto anayojaribu kuitatua bali alizungumzua mazoea ya wakulima wa nyanda za kusini kuchanganya mahindi na ufuta kitu ambacho hata siyo mazoea sana kwa maana zao la mahindi linafaa kuchanganywa (intercropped)na jamii ya mikunde lakini siyo ufuta. Haya ndo mwahitaji kuhoji ninyi kama wasomi wa PhD ndani ya TARI tena mnajiita wanasayansi. Wengine mnanisema sina PhD ni kweli sina na kwenye unit yetu ya Ugavi hakuna mwenye PhD na hayo mambo yenu ya PhD hayatuhusu na sihitaji nafasi ya DG wenu Bali nataka mtu mwenye qualifications kama ni breeder awe breeder tujue. Mtu mwenye sayansi kubwa.

Hali ilivyo kwa sasa TARI inahitaji DG aliyebobea kwenye issues za logistics, anayependa watafiti wafanye mambo ya ugunduzi ya kisayansi yanayoleta heshima ya nchi na kuachana na matangazo. TARI inataji DG mwenye kutumia elimu yake kuunganisha watu na sio kuwapa migogoro. TARI inahitaji DG mwenye kusikiliza sana na kuongea kidogo. TARI inahitaji DG mwenye kupokea maoni miongoni mwa watu anaowaongoza na sio kuwafokea. TARI inahitaji DG mwenye kufuata sheria, taratibu na kanuni za Utumishi wa umma bila kuzivunja kwa kushusha vyeo vya watumishi wake. TARI inahitaji DG mwenye kuwafanya watumishi wa TARI kuipenda Serikali yao na sio kuhisi Serikali imeagiza kushusha vyeo vyao. TARI inahitaji DG ambaye PhD yake inamfanya kuwaencourage watu kwenda masomoni na sio kuharibu masomo ya watumishi. TARI inahitaji DG ambaye ataweka misingi imara ya kutoa mafunzo kwa watumishi wake mara wanapoajiriwa na kupata mafunzo rejea kuhusu utii kwa Serikali na chama kilichoko madarakani. TARI inahitaji DG ambaye atalinda mali za Serikali na kuweka fens kwenye mashamba ya utafiti. TARI inahitaji DG ambaye ataweka Mkurugenzi wa Utafiti na Ubunifu na Mkurugenzi wa Uhaulishaji wa Teknolojia na mahusiano nafasi ambazo ziko wazi kipindi kirefu sana. TARI inahitaji DG ambaye anaenda kufuta machungu kwa watafiti wengi walioumizwa kipindi cha Dr Mkamilo. TARI inahitaji DG atakayetunza siri za Waziri na Katibu Mkuu na sio kusimulia rafiki zake na siri hizo zikasambaa miongoni mwa watumishi wote. TARI inahitaji DG ambaye ataajiri au kuteua watu kwa nafasi flani kwa kuzungatia sifa na sio mambo ya ndoa kama ilivyotokea kwa Dr Mkamilo aliyemuajiri mke wake ndani ya TARI huku akijua fika kwamba hana sifa za kufanya kazi kwenye Taasisi hii ya kitaalam sana. TARI inahitaji DG mwenye maadili na weledi mkubwaaa.


Kwa kuzingatia maoni yetu hayo ya sifa ya mtu anayefaa kuwa DG, tunamuomba Dr Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumtimua Dr Mkamilo na kuteua mtu hata kutoka huko Zanzibar kwenye Taasisi ya ZARI, au ASA au SUA au Nelson Mandela Institute of Science and Technology wapo maprofessor wazuri pale tena wengine walishafanya kazi TARI na wana machapisho yanayoheshimika kimataifa.
 
Dr Mkamilo kuheshimika kimataifa? Kivipi tena? Ninyi hamna tabia ya kujisomea? Huyu Dr Mkamilo hata PhD yake ni weak sana kasome kazi yake. Kwenye PhD alitafuta tu takwimu kule mtwara mara zao la mahindi mara ufuta. Tafrani tupu hata haieleweki alilenga kutatua changamoto gani hasa ya kijamii au alilenga jawabu gani hasa la kisayansi la kusaidia nchi yetu. Mtafute Dr Mkamilo kwenye Google yenye kichwa "Maize-sesame intercropping in Southeast Tanzania: Farmers' practices and perceptions, and intercrop performance ". Nanyi mnaweza kuingia kwa Google mkajisomea kazi yake ya PhD. Ukizama zaidi na kuidadavua na kuwapa baadhi ya wanazuoni wa Sayansi ya Kilimo kwa kweli watashindwa kuielewa nini boss wetu alifanya. Hata Mimi ambaye nimebobea kwenye ugavi haya aliyoyafanya naona ni madogo sana. Hii PhD yake inafaa kwa wanafunzi wa Special Research Project) ya wanafunzi wa shahada ya kwanza na sio mtu wa PhD tena kwenye sayansi. Hakuna sayansi yoyote kwenye thesis yake. Tukianzia kwenye maudhui hamna mahali alionyesha changamoto anayojaribu kuitatua bali alizungumzua mazoea ya wakulima wa nyanda za kusini kuchanganya mahindi na ufuta kitu ambacho hata siyo mazoea sana kwa maana zao la mahindi linafaa kuchanganywa (intercropped)na jamii ya mikunde lakini siyo ufuta. Haya ndo mwahitaji kuhoji ninyi kama wasomi wa PhD ndani ya TARI tena mnajiita wanasayansi. Wengine mnanisema sina PhD ni kweli sina na kwenye unit yetu ya Ugavi hakuna mwenye PhD na hayo mambo yenu ya PhD hayatuhusu na sihitaji nafasi ya DG wenu Bali nataka mtu mwenye qualifications kama ni breeder awe breeder tujue. Mtu mwenye sayansi kubwa.

Hali ilivyo kwa sasa TARI inahitaji DG aliyebobea kwenye issues za logistics, anayependa watafiti wafanye mambo ya ugunduzi ya kisayansi yanayoleta heshima ya nchi na kuachana na matangazo. TARI inataji DG mwenye kutumia elimu yake kuunganisha watu na sio kuwapa migogoro. TARI inahitaji DG mwenye kusikiliza sana na kuongea kidogo. TARI inahitaji DG mwenye kupokea maoni miongoni mwa watu anaowaongoza na sio kuwafokea. TARI inahitaji DG mwenye kufuata sheria, taratibu na kanuni za Utumishi wa umma bila kuzivunja kwa kushusha vyeo vya watumishi wake. TARI inahitaji DG mwenye kuwafanya watumishi wa TARI kuipenda Serikali yao na sio kuhisi Serikali imeagiza kushusha vyeo vyao. TARI inahitaji DG ambaye PhD yake inamfanya kuwaencourage watu kwenda masomoni na sio kuharibu masomo ya watumishi. TARI inahitaji DG ambaye ataweka misingi imara ya kutoa mafunzo kwa watumishi wake mara wanapoajiriwa na kupata mafunzo rejea kuhusu utii kwa Serikali na chama kilichoko madarakani. TARI inahitaji DG ambaye atalinda mali za Serikali na kuweka fens kwenye mashamba ya utafiti. TARI inahitaji DG ambaye ataweka Mkurugenzi wa Utafiti na Ubunifu na Mkurugenzi wa Uhaulishaji wa Teknolojia na mahusiano nafasi ambazo ziko wazi kipindi kirefu sana. TARI inahitaji DG ambaye anaenda kufuta machungu kwa watafiti wengi walioumizwa kipindi cha Dr Mkamilo. TARI inahitaji DG atakayetunza siri za Waziri na Katibu Mkuu na sio kusimulia rafiki zake na siri hizo zikasambaa miongoni mwa watumishi wote. TARI inahitaji DG ambaye ataajiri au kuteua watu kwa nafasi flani kwa kuzungatia sifa na sio mambo ya ndoa kama ilivyotokea kwa Dr Mkamilo aliyemuajiri mke wake ndani ya TARI huku akijua fika kwamba hana sifa za kufanya kazi kwenye Taasisi hii ya kitaalam sana. TARI inahitaji DG mwenye maadili na weledi mkubwaaa.


Kwa kuzingatia maoni yetu hayo ya sifa ya mtu anayefaa kuwa DG, tunamuomba Dr Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumtimua Dr Mkamilo na kuteua mtu hata kutoka huko Zanzibar kwenye Taasisi ya ZARI, au ASA au SUA au Nelson Mandela Institute of Science and Technology wapo maprofessor wazuri pale tena wengine walishafanya kazi TARI na wana machapisho yanayoheshimika kimataifa.
 
Hili la kushusha vyeo nililisikia wakati flani kwa mdogo wangu aliyepo huko TARI dah.dogo kachanganyikiwa.yuko full.frustrated, naamini wahusika wamelipata. Lakini.aliniambia kuna.namna ya kupandisha vyeo kibaguzi.hasa kina mama wana advantage kubwa ya kuoandishwa vyeo endapo wakizungumza na DG kiutu uzima.
 
I know the guy he is such a smart scientist
mengine ni ubinadamu acha roho mbaya. na wewe mchukue mkeo mpe kazi kiazi wewe.
Dr Mkamilo kuheshimika kimataifa? Kivipi tena? Ninyi hamna tabia ya kujisomea? Huyu Dr Mkamilo hata PhD yake ni weak sana kasome kazi yake. Kwenye PhD alitafuta tu takwimu kule mtwara mara zao la mahindi mara ufuta. Tafrani tupu hata haieleweki alilenga kutatua changamoto gani hasa ya kijamii au alilenga jawabu gani hasa la kisayansi la kusaidia nchi yetu. Mtafute Dr Mkamilo kwenye Google yenye kichwa "Maize-sesame intercropping in Southeast Tanzania: Farmers' practices and perceptions, and intercrop performance ". Nanyi mnaweza kuingia kwa Google mkajisomea kazi yake ya PhD. Ukizama zaidi na kuidadavua na kuwapa baadhi ya wanazuoni wa Sayansi ya Kilimo kwa kweli watashindwa kuielewa nini boss wetu alifanya. Hata Mimi ambaye nimebobea kwenye ugavi haya aliyoyafanya naona ni madogo sana. Hii PhD yake inafaa kwa wanafunzi wa Special Research Project) ya wanafunzi wa shahada ya kwanza na sio mtu wa PhD tena kwenye sayansi. Hakuna sayansi yoyote kwenye thesis yake. Tukianzia kwenye maudhui hamna mahali alionyesha changamoto anayojaribu kuitatua bali alizungumzua mazoea ya wakulima wa nyanda za kusini kuchanganya mahindi na ufuta kitu ambacho hata siyo mazoea sana kwa maana zao la mahindi linafaa kuchanganywa (intercropped)na jamii ya mikunde lakini siyo ufuta. Haya ndo mwahitaji kuhoji ninyi kama wasomi wa PhD ndani ya TARI tena mnajiita wanasayansi. Wengine mnanisema sina PhD ni kweli sina na kwenye unit yetu ya Ugavi hakuna mwenye PhD na hayo mambo yenu ya PhD hayatuhusu na sihitaji nafasi ya DG wenu Bali nataka mtu mwenye qualifications kama ni breeder awe breeder tujue. Mtu mwenye sayansi kubwa.

Hali ilivyo kwa sasa TARI inahitaji DG aliyebobea kwenye issues za logistics, anayependa watafiti wafanye mambo ya ugunduzi ya kisayansi yanayoleta heshima ya nchi na kuachana na matangazo. TARI inataji DG mwenye kutumia elimu yake kuunganisha watu na sio kuwapa migogoro. TARI inahitaji DG mwenye kusikiliza sana na kuongea kidogo. TARI inahitaji DG mwenye kupokea maoni miongoni mwa watu anaowaongoza na sio kuwafokea. TARI inahitaji DG mwenye kufuata sheria, taratibu na kanuni za Utumishi wa umma bila kuzivunja kwa kushusha vyeo vya watumishi wake. TARI inahitaji DG mwenye kuwafanya watumishi wa TARI kuipenda Serikali yao na sio kuhisi Serikali imeagiza kushusha vyeo vyao. TARI inahitaji DG ambaye PhD yake inamfanya kuwaencourage watu kwenda masomoni na sio kuharibu masomo ya watumishi. TARI inahitaji DG ambaye ataweka misingi imara ya kutoa mafunzo kwa watumishi wake mara wanapoajiriwa na kupata mafunzo rejea kuhusu utii kwa Serikali na chama kilichoko madarakani. TARI inahitaji DG ambaye atalinda mali za Serikali na kuweka fens kwenye mashamba ya utafiti. TARI inahitaji DG ambaye ataweka Mkurugenzi wa Utafiti na Ubunifu na Mkurugenzi wa Uhaulishaji wa Teknolojia na mahusiano nafasi ambazo ziko wazi kipindi kirefu sana. TARI inahitaji DG ambaye anaenda kufuta machungu kwa watafiti wengi walioumizwa kipindi cha Dr Mkamilo. TARI inahitaji DG atakayetunza siri za Waziri na Katibu Mkuu na sio kusimulia rafiki zake na siri hizo zikasambaa miongoni mwa watumishi wote. TARI inahitaji DG ambaye ataajiri au kuteua watu kwa nafasi flani kwa kuzungatia sifa na sio mambo ya ndoa kama ilivyotokea kwa Dr Mkamilo aliyemuajiri mke wake ndani ya TARI huku akijua fika kwamba hana sifa za kufanya kazi kwenye Taasisi hii ya kitaalam sana. TARI inahitaji DG mwenye maadili na weledi mkubwaaa.


Kwa kuzingatia maoni yetu hayo ya sifa ya mtu anayefaa kuwa DG, tunamuomba Dr Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumtimua Dr Mkamilo na kuteua mtu hata kutoka huko Zanzibar kwenye Taasisi ya ZARI, au ASA au SUA au Nelson Mandela Institute of Science and Technology wapo maprofessor wazuri pale tena wengine walishafanya kazi TARI na wana machapisho yanayoheshimika kimataifa.
 
Mleta mada ni mtumishi wa TARi lakini tatizo hana PhD

Wenzake huko wana PhD na ni wanawake

Mleta mada atakuwa ni Male
Kwaheri Dr Mkamilo, tunamuomba Dr Samia atuletee Mkurugenzi Mkuu Mpya

Sheria ya utumishi wa umma Na. 8 ya mwaka 2002, ikisomwa pamoja na kanuni zake za mwaka 2003 na taratibu nyingine za uendeshaji za mwaka 2003, pamoja na miongozo na nyaraka mbalimbali zinazotelewa na Serikali zimeweka taratibu za kupandisha watumishi vyeo. Hizi taratibu ikiwemo hata kanuni za kudumu za 2009 zilidharauliwa sana na kupigwa bonge la teke na Dr Mkamilo wakati wa kipindi cha utawala wake. Bila sababu ya msingi September 2021, Dr Mkamilo alitangaza kitu kiitwacho TARI Scheme of Services ambacho kiliishusha vyeo vya muundo watumishi wa TARI wengi na kufanya watu watumikie vyeo ambavyo walivitumikia miaka 10 iliyopita. Kitendo kilichofanyika kililenga kuwafanya watumishi wachukie Serikali yao. Mimi ninayeandika haya namshukuru Allaah vyeo vyao watafiti havikunigusa. Sisi watu wa Ugavi kitu hiki kilitupita pembeni na kuwagusa watafiti tena wanasayansi ambao uwezo wa kujenga hoja na kujitetea ni mdogo. Mara kwa mara watumishi waliomtafuta Dr Mkamilo kuuliza kwa nini wameshushwa vyeo vyao, wengine waliishia kufokewa na Dr Mkamilo huku akirusha ngumi hewani. Baadhi ya watumishi ambao Dr Mkamilo aliwaheshimu aliwaelezea kwamba Serikali ya awamu ya 6 imeanza na mambo mapya. Hata alipoulizwa na baadhi ya viongozi kuhusu kutenda kosa hili aliwadanganya kwamba amewaongezea mshahara mkubwa sana na ukweli ni kwamba 67 % ya watumishi waliongezewa shilingi elfu 5 tu. Kitendo hiki na majibu ya Dr Mkamilo kwa watumishi yalishusha morale ya kazi na kuongeza minung'uniko kwa watumishi wengi. Ukifanya study ya kuangalia hali ya utendaji kwa watumishi wa TARI utapigwa na butwaa baada ya kugundua utendaji umeshuka kwa 52%. Kundi zima lililoshushwa cheo linasema litamkumbuka Dr Mkamilo kwa ukatili huo aliowafanyia. Jambo la kusikitisha hata watumishi ambao wako karibu na Dr Mkamilo ambao tunawafahamu (siri zao tumezihifadhi) nao wanamlaumu sana kwa kuwashusha vyeo watu kitendo kinachotafasiriwa kama njama za kuchonganisha watumishi na Serikali yao ya awamu ya 6. Ili kufanya maboresho na kufumua scheme of services na muundo mzima wa TARI ili kuwa wa manufaa kwa watumishi, tunamuomba Dr Samia Suluhu Hassan kuteua Mkurugenzi Mkuu mwingine ambaye atarudisha imani ya watumishi wa TARI kwa Serikali yao.
 
Hili la kushusha vyeo nililisikia wakati flani kwa mdogo wangu aliyepo huko TARI dah.dogo kachanganyikiwa.yuko full.frustrated, naamini wahusika wamelipata. Lakini.aliniambia kuna.namna ya kupandisha vyeo kibaguzi.hasa kina mama wana advantage kubwa ya kuoandishwa vyeo endapo wakizungumza na DG kiutu uzima.
Huyu Mzee astafishwe tu. Ni watu wachache ambao wameaniwa na mamlaka za juu kwa nafasi yake wanafanya uhuni. Humphrey polepole huwa anazungumzia wahuni wa aina hii.
 
Huyu Mzee astafishwe tu. Ni watu wachache ambao wameaniwa na mamlaka za juu kwa nafasi yake wanafanya uhuni. Humphrey polepole huwa anazungumzia wahuni wa aina hii.
Nasikia anajua kutoa bahasha za kutosha kwa baadhi ya wasaidizi wa rais. Lakini pia alinunua baadhi ya vyombo vya habari kwa pesa ndefu ili wawe wanamtangaza na shughuli za TARI. Kina Sifuni Mshana na Jimi Mengele wamelamba sana asali kwa huyu jamaa. Ila hii nchi tamu sana aisee. Yaani ukiipatia we ni kulamba tu.
 
Nimesoma comments za wanaomtetea Dr Mkamilo na kugundua ni wale wale ambao ni wanufaikaji wa mfumo mbovu ambao Dr Mkamilo kauasisi ndani ya TARI. Baadhi ya watoa comments hasa watetezi ni ndugu zake ambao kawaingiza kwenye TARI kwa upendeleo na wengine ni wale wanaowaza Dr Mkamilo akiondoka tutaishije sisi? TARI sio Mali yenu ni Mali ya Serikali na ni wajibu kuendeshwa kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu. Dr Mkamilo sio mtu mchoyo linapokuja suala la kujali familia yake maana amewajaza sana ninyi ndugu zake na hapa inajionesha mnavyotetea ugali wa familia zenu. Ni moyo huo huo wa Dr Mkamilo aliotumia kumsaidia mke wake kuisaka elimu na kuajiriwa ndani ya TARI bila kuwa na sifa hasa za kisayansi. Dr Mkamilo alianza kwa kumuandaa mke wake kisaikolojia ili kuwa msomi wa mchongo na paper ya mtihani akaikalia mwaka 2011 na kunyakuwa division four point 33 akiwa na D zake 2 za history na kiswahili mama huyu jamani. Kitu alichokifanya Dr Mkamilo, ni kubadilisha jina la mke wake kutoka Priscar Stanley Semwenda na kumuita Priscar Geoffrey Mkamilo. Dr Mkamilo ni genius ambaye anatumia akili zake nyingi kufanya mambo yanayofavour familia yake au marafiki zake tu. Kwa kuwa huyu baba alikuwa na connection kwa watu wengi mpaka vyuoni, akili yake ya haraka ikamtuma kubadilisha jina la mke wake ili litambulike haraka kwa watoa huduma mbalimbali wa kwanza wakiwa wakuu wa vyuo vya Kilimo vinavyotoa elimu ya kati hasa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Cha MATI Tumbi wakati huo. Dr Mkamilo alimsajili mke wake kwa namba P1379-0138 kama mwanafunzi wa kujitegemea chuo cha Mtwara Teachers College Centre na kumpa jina la Mkamilo huku majina ya Stanley Semwenda ya yakitupiliwa mbali kule bila huruma. Nyarakaaa nyingine tulizonazo kutoka kwenye faili la nyumbani kabisa tena chumbani kwa Dr Mkamilo, zinaonesha umiliki wa mali wa Dr Mkamilo na mke wake umetumia Jina la Priscar Stanley Semwenda. Kwa mfano,hati yao ya Kiwanja Na. 15 kwenye Block Q kilichopo eneo la Amani Gomvu iliyotolewa tarehe 16.01.2017 inaonesha kiwanja kinamilikiwa na Geoffrey Ignatus Mkamilo na Priscar Stanley Semwenda na baadhi ya mali nyingine zinaonesha hivyo vilevile. Jina la Priscar Geoffrey Mkamilo lilitumika tu kurahisisha mambo hasa kupata nafasi za chuo, likambeba kupewa maksi za bure chuoni na likambeba mpaka kuingia kwenye Utumishi wa umma na kuingia TARI kama mtumishi mtaalam kwenye vitu vizito vya kisayansi huku sayansi yenyewe hana uzoefu nayo. Muda mwingine mnaposema Dr Mkamilo ni mtu smart nakubaliana nanyi kwa sasa huyu Mwamba Dr Mkamilo anatumia usmart wake kuharibu TARI yetu huku akimwaga ajira kwa familia yake tu ndani ya Taasisi. Hata Serikali ikiamua kufanya operation maalum ndani ya siku moja tu itashangaa wakina Mkamilo (majina ya Mkamilo) ndo watumishi wengi wengi ndani ya TARI kuliko familia yoyote ile hapa nchini. Hata Serikali ikipitia nyaraka nyingi za malipo zitaonesha familia ya Dr Mkamilo ina watu wengi kwenye TARI na imenufaika sana kupitia mwamba. Hata Serikali ikiitiaha majina ya watumishi wote wa TARI bado familia ya Dr Mkamilo itakuwa na watumishi wengi kuliko familia yoyote ile nchini Tanzania ambao wanafanya ndani ya Taasisi hii. Hatukatai familia Dr Mkamilo kuwa watumishi wengi ndani ya TARI, tunachokataa ni kuleta watu ambao hawana sifa kwa kutumia hizo mnaita akili zake badala ya akili kuzitumia kuendeleza Taifa letu.

Tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan kumfukuza Dr Mkamilo kwenye nafasi ya DG wa TARI na kumteua DG mpya mwenye sifa na maadili ya kuongoza Taasisi hii ya umma kwa misingi mizuri.
 
Back
Top Bottom