Mjukuu wa Sechenga
Member
- Nov 13, 2015
- 34
- 37
Kwaheri Hans hii ndio Tanzania, Kichwa cha mwendawazimu, wamekuletea kocha bila kuvunja mkataba na wewe, ni dharau kubwa, ukienda kwenu ulaya kawaambie kwanini mpira wetu haukui, kocha aliyeaminiwa na taifa kama kocha mkuu leo amekubali kuwa kocha msaidizi wa Yanga,
Hans ukienda Ulaya kawaambie mpira tunaupenda kwa sababu tunaangalia sana wazungu lakini si kipaji chetu na ndio maana tulifungwa magoli 7 na waarabu, hawakutubahatisha bali ndio uwezo wetu, ukienda Ulaya kawaambie tunajua zaidi siasa na fitna za mpira kuliko kuucheza mpira wenyewe. Nitafurahi sana ukienda Azam ili uwaprove wrong management ya Yanga.
Kinachouma zaidi si wewe kuondoka bali njia iliyotumika kukuondoa. Wamekudharau sana kwa heshima uliyowajengea. Walichokufanyia Hans ni sawa na kuoa mke halafu amekuchoka na kuanza kukuingizia wanaume ndani halafu anakuambia ukalale sebuleni. Historia itawahukumu. Kabla hujaondoka subiri mechi tano za Yanga, kama mzambia akiharibu ataondoka yeye na Manji wake just wait n see.
Kila la Kheri Hans usisahau ule utafiti wa wizara ya afya wa kila watanzania 4 mmoja kichaa, Yanga tunafika watu milioni 10 wanachama na mashabiki sasa utafanya hesabu mwenyewe
========
UPDATE:
Kocha Hans van Pluijm leo October 25 2016 amewaaga rasmi wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini ambao alikuwa akiwafundisha kabla ya kujiuzulu.
Hans ukienda Ulaya kawaambie mpira tunaupenda kwa sababu tunaangalia sana wazungu lakini si kipaji chetu na ndio maana tulifungwa magoli 7 na waarabu, hawakutubahatisha bali ndio uwezo wetu, ukienda Ulaya kawaambie tunajua zaidi siasa na fitna za mpira kuliko kuucheza mpira wenyewe. Nitafurahi sana ukienda Azam ili uwaprove wrong management ya Yanga.
Kinachouma zaidi si wewe kuondoka bali njia iliyotumika kukuondoa. Wamekudharau sana kwa heshima uliyowajengea. Walichokufanyia Hans ni sawa na kuoa mke halafu amekuchoka na kuanza kukuingizia wanaume ndani halafu anakuambia ukalale sebuleni. Historia itawahukumu. Kabla hujaondoka subiri mechi tano za Yanga, kama mzambia akiharibu ataondoka yeye na Manji wake just wait n see.
Kila la Kheri Hans usisahau ule utafiti wa wizara ya afya wa kila watanzania 4 mmoja kichaa, Yanga tunafika watu milioni 10 wanachama na mashabiki sasa utafanya hesabu mwenyewe
UPDATE:
Kocha Hans van Pluijm leo October 25 2016 amewaaga rasmi wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini ambao alikuwa akiwafundisha kabla ya kujiuzulu.