Kwaheri Kocha Nabi umeacha alama ya mafanikio tunakutakia kila lenye heri uko uendako

Kanusa ubabaishaji,kaona ataaibika! Ya Fei ni somo tosha Kwa mwenye akili. Utalipaje mhimili wa timu kuduchu huku wazururaji uwanjani mihela kibao?
 
Special ni kuvaa medali ya afrika kombe la shirikisho kwa kufika fainali tuambie miaka mingapi imepita mpaka Nabi anakuja kufika hapo alipofika
Ilikuwa timu ya riadha hiyo? Medali ni Kwa wanariadha. Mpira wa miguu ni Kombe!
 
Yanga mnavyomlilia utadhani kafaa. Maumivu zaidi yaja.
 

Mbona umezidisha aya kwenye andiko lako? Hivi utopolo mna akili kweli? Sentensi haijaisha aya ya nini sasa?
 
Nimependa alivyoondoka ningepata wakati mgumu sana kuona Nabi anafukuzwa ama kuvunjiwa heshima kwa namna yoyote vile endapo team ingefanya vibaya
Sasa tunakaribisha akili mpya ije na mipango mizuri malengo ni yaleyale 2023/2024 trebble na nusu final Cafcl
Kuwafunga makolo ni bonus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…