Mkuu, Vipi wewe, haufi?Ishu ni Idd Amin dictator kafa! Muuji kafa, Mobutu, Bokasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Vipi wewe, haufi?Ishu ni Idd Amin dictator kafa! Muuji kafa, Mobutu, Bokasa
Umevurugwa na nini mbona hueleweki!?Ishu ni Idd Amin dictator kafa! Muuji kafa, Mobutu, Bokasa
alikuwa analijua hilo? maana alikuwa anawasifia sana.Wachina sio kabisa.
MUNGU hatambui mipaka tuliowekewa na wakoloni, MUNGU ameumba dunia na vilivyomo ili vitumike na wanaadamu kumsaidia katika harakati zake hapa ulimwenguni.JPM alikuja tu kwa muda huu mfupi sana, Sana kuonyesha ni Kwa namna gani kiongozi wa nchi anapaswa aongoze Kwa namna gani!
Mali zote ambazo zipo Chini ya Aridhi ya Tanzania ni za Watanzania, na kiongozi tunapomwamini kumpa nafasi ya kuongoza nchi, kazi yake sio kutuhutubia hotoba ya kutulemba Hadi tulegee, no, kazi kubwa ni kulinda Mali zetu, kwa kuwa Wapo viongozi ambao watakufa na kukutana na ghadhabu ya Mungu si Kwa sababu walifanya mabaya machoni pa wananchi, Bali waliiba Mali za nchi na kushindwa kulinda utajiri ambao Kwa huo ni haki yetu kila mmoja
Mkuu, Vipi wewe, haufi?Ishu ni Idd Amin dictator kafa! Muuji kafa, Mobutu, Bokasa
Unauliza mipaka?MUNGU hatambui mipaka tuliowekewa na wakoloni, MUNGU ameumba dunia na vilivyomo ili vitumike na wanaadamu kumsaidia katika harakati zake hapa ulimwenguni.
Suala la uzembe wenu nyinyi mliozungukwa na hazina zilizopo chini ya ardhi na hamjui thamani wala faida yake katika kuwaletea maendeleo, wakitokea watu wengine wenye kujua na wakazitumia katika kujiletea maendeleo huo ni uzembe wenu, wala si dhambi machoni pa MUNGU.
MUNGU hakutuwekea mipaka katika ulimwengu aliouumba yeye.
Mheshimiwa Rais mtarajiwa nilisha tuma nakala zangu kwako! Kanda ya pwani kusini na Mashariki mimi ndie nitakuwa meneja wa kampeniKusema ukweli kutoka ndani ya moyo wangu mimi ni zaidi ya Jiwe. Nikiupata urais hii nchi itanishukuru.
Nakala nishazipa mkuu na tayari nishazipitisha. Nitakujulisha rasmi kwa maandishi.Mheshimiwa Rais mtarajiwa nilisha tuma nakala zangu kwako! Kanda ya pwani kusini na Mashariki mimi ndie nitakuwa meneja wa kampeni
FactJPM alikuja tu kwa muda huu mfupi sana, Sana kuonyesha ni Kwa namna gani kiongozi wa nchi anapaswa aongoze Kwa namna gani!
Mali zote ambazo zipo Chini ya Aridhi ya Tanzania ni za Watanzania, na kiongozi tunapomwamini kumpa nafasi ya kuongoza nchi, kazi yake sio kutuhutubia hotoba ya kutulemba Hadi tulegee, no, kazi kubwa ni kulinda Mali zetu, kwa kuwa Wapo viongozi ambao watakufa na kukutana na ghadhabu ya Mungu si Kwa sababu walifanya mabaya machoni pa wananchi, Bali waliiba Mali za nchi na kushindwa kulinda utajiri ambao Kwa huo ni haki yetu kila mmoja
muulize mama yako kilichonivurugaUmevurugwa na nini mbona hueleweki!?
Wachina au wajapani hawajawahi kuwa wakoloni au watu weupe. Kwa hiyo, kichwa cha habari na picha inachoonyesha ni vitu viwili tofauti.Siku zilianza kukatika toka tangazo la kwanza la kufariki kwa aliyekuwa rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.
Hebu niambie katika mazingira yalivyo hapo chini kwenye picha unaanzaje kukataa au kusema ngoja nisome tena mara ya pili.
Au kusema uvute hata pumzi kidogo kwa kunywa maji, labda uwaambie jamani eh ngojeni kidogo huu mkataba sijauelewa
View attachment 1732047
Picha inaonyesha yote, kama ni ujambazi unafanyika hapo hadi wengine wanatamani wamsaidie kusaini.
Rest in peace JOHN P. MAGUFULI.
Wenye laana huwadharau mama zao... Honesty umevurugwa nipo kwenye maombi nawe ntakuombea utakaswe.muulize mama yako kilichonivuruga
Hata kifo chake ni speculation? Aende zake tu.Speculation and rumous is not a fact njoo na ushahidi.
Ubarikiwe sana mheshimiwaNakala nishazipa mkuu na tayari nishazipitisha. Nitakujulisha rasmi kwa maandishi.
Hao ni wachina, asante kwa kusaidia kueleza kwamba Wachina ni watu wabaya lakini utashangaa maelezo yatawashutumu nchi za magharibi! Tuache unafiki, China akikandamiza tukikemee China, Marekani akikandamiza tuikemee Marekani