Kwaheri Magufuli: Haya ndiyo Mazingira ya Mikataba Baina ya Afrika na Wakoloni/ Weupe

Kwaheri Magufuli: Haya ndiyo Mazingira ya Mikataba Baina ya Afrika na Wakoloni/ Weupe

Jpm alikuwa chuma kweli mambo hayo alifutilia mbali ,tutakuja kumkumbuka tu

Ova
 
JPM alikuja tu kwa muda huu mfupi sana, Sana kuonyesha ni Kwa namna gani kiongozi wa nchi anapaswa aongoze Kwa namna gani!

Mali zote ambazo zipo Chini ya Aridhi ya Tanzania ni za Watanzania, na kiongozi tunapomwamini kumpa nafasi ya kuongoza nchi, kazi yake sio kutuhutubia hotoba ya kutulemba Hadi tulegee, no, kazi kubwa ni kulinda Mali zetu, kwa kuwa Wapo viongozi ambao watakufa na kukutana na ghadhabu ya Mungu si Kwa sababu walifanya mabaya machoni pa wananchi, Bali waliiba Mali za nchi na kushindwa kulinda utajiri ambao Kwa huo ni haki yetu kila mmoja
MUNGU hatambui mipaka tuliowekewa na wakoloni, MUNGU ameumba dunia na vilivyomo ili vitumike na wanaadamu kumsaidia katika harakati zake hapa ulimwenguni.
Suala la uzembe wenu nyinyi mliozungukwa na hazina zilizopo chini ya ardhi na hamjui thamani wala faida yake katika kuwaletea maendeleo, wakitokea watu wengine wenye kujua na wakazitumia katika kujiletea maendeleo huo ni uzembe wenu, wala si dhambi machoni pa MUNGU.
MUNGU hakutuwekea mipaka katika ulimwengu aliouumba yeye.
 
Aliongoza kwa mkono wa chuma sana bila yeye akwilina asingekufa
 
Ishu ni Idd Amin dictator kafa! Muuji kafa, Mobutu, Bokasa
Mkuu, Vipi wewe, haufi?
MUNGU hatambui mipaka tuliowekewa na wakoloni, MUNGU ameumba dunia na vilivyomo ili vitumike na wanaadamu kumsaidia katika harakati zake hapa ulimwenguni.
Suala la uzembe wenu nyinyi mliozungukwa na hazina zilizopo chini ya ardhi na hamjui thamani wala faida yake katika kuwaletea maendeleo, wakitokea watu wengine wenye kujua na wakazitumia katika kujiletea maendeleo huo ni uzembe wenu, wala si dhambi machoni pa MUNGU.
MUNGU hakutuwekea mipaka katika ulimwengu aliouumba yeye.
Unauliza mipaka?
Kssome vizuri vitabu vyake huyo unayemtaja kama hakuweka mipaka, na ndiyo Maana Israel anawapa nchi na mipaka ya nchi Ile aliwatajia kuwa itaanzia wapi na kuishia wapi
 
Kusema ukweli kutoka ndani ya moyo wangu mimi ni zaidi ya Jiwe. Nikiupata urais hii nchi itanishukuru.
Mheshimiwa Rais mtarajiwa nilisha tuma nakala zangu kwako! Kanda ya pwani kusini na Mashariki mimi ndie nitakuwa meneja wa kampeni
 
Mheshimiwa Rais mtarajiwa nilisha tuma nakala zangu kwako! Kanda ya pwani kusini na Mashariki mimi ndie nitakuwa meneja wa kampeni
Nakala nishazipa mkuu na tayari nishazipitisha. Nitakujulisha rasmi kwa maandishi.
 
JPM alikuja tu kwa muda huu mfupi sana, Sana kuonyesha ni Kwa namna gani kiongozi wa nchi anapaswa aongoze Kwa namna gani!

Mali zote ambazo zipo Chini ya Aridhi ya Tanzania ni za Watanzania, na kiongozi tunapomwamini kumpa nafasi ya kuongoza nchi, kazi yake sio kutuhutubia hotoba ya kutulemba Hadi tulegee, no, kazi kubwa ni kulinda Mali zetu, kwa kuwa Wapo viongozi ambao watakufa na kukutana na ghadhabu ya Mungu si Kwa sababu walifanya mabaya machoni pa wananchi, Bali waliiba Mali za nchi na kushindwa kulinda utajiri ambao Kwa huo ni haki yetu kila mmoja
Fact

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Siku zilianza kukatika toka tangazo la kwanza la kufariki kwa aliyekuwa rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.

Hebu niambie katika mazingira yalivyo hapo chini kwenye picha unaanzaje kukataa au kusema ngoja nisome tena mara ya pili.

Au kusema uvute hata pumzi kidogo kwa kunywa maji, labda uwaambie jamani eh ngojeni kidogo huu mkataba sijauelewa

View attachment 1732047

Picha inaonyesha yote, kama ni ujambazi unafanyika hapo hadi wengine wanatamani wamsaidie kusaini.

Rest in peace JOHN P. MAGUFULI.
Wachina au wajapani hawajawahi kuwa wakoloni au watu weupe. Kwa hiyo, kichwa cha habari na picha inachoonyesha ni vitu viwili tofauti.
 
Wachina au wajapani hawajawahi kuwa wakoloni au watu weupe. Kwa hiyo, kichwa cha habari na picha inachoonyesha ni vitu viwili tofauti.
Mpaka kuweka comment yako hapa umeelewa topic.
 
Back
Top Bottom