Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu wazee wa misikitini wamemsagia kunguni.Ulipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF , lakini bila shqka kiwango chako hakikuridhisha , japo ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .
Tunakutakia Kila la heri huko uendako
Atenguliwa dahmngeandika KAZI nyinginee tu jamanUlipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF , lakini bila shqka kiwango chako hakikuridhisha , japo ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .
Tunakutakia Kila la heri huko uendako
😆😆😆😆😆 Hata kwenye mwezi wa Haki jamani ?Huyu wazee wa misikitini wamemsagia kunguni.
AsehUlipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF , lakini bila shqka kiwango chako hakikuridhisha , japo ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .
Tunakutakia Kila la heri huko uendako
hakiba❌muwe mnaweka hakiba ya maneno.wanatenguana na kurudishana walewale awana jipya hawa.
Wacha weeee !!! kwamba serikali mpya ya Chadema itampa uwaziri Makonda ?Makonda hadi 2025 atakua waziri
😄😄Chadema will never take the leadWacha weeee !!! kwamba serikali mpya ya Chadema itampa uwaziri Makonda ?
Endelea kuyatupa maneno😄😄Chadema will never take the lead
Waulize ndugu zake watakueleza ni malalamiko ya kutowashika mkono hata pale walioomba kufanya hivyo..... Wazee wa Msikiti wanahusianaje hapo.....!!!???Huyu wazee wa misikitini wamemsagia kunguni.
Samahani pdidy mi sijakuzoea hivi nasoma na kukuelewa haraka haraka plzAtenguliwa dahmngeandika KAZI nyinginee tu jaman
Makonda wanamuandaa akagombee arusha mjini apambane na lemaMakonda hadi 2025 atakua waziri