Wakongwe mliopo humu saidieni kuamsha hiki kiumbe tafadhali.Wacha weeee !!! kwamba serikali mpya ya Chadema itampa uwaziri Makonda ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakongwe mliopo humu saidieni kuamsha hiki kiumbe tafadhali.Wacha weeee !!! kwamba serikali mpya ya Chadema itampa uwaziri Makonda ?
Acha ujinga wako na ww CHADEMA GANI HIII YA WAPUUUUZI WA KUJISIFU NA VIGOROFA VYAKOWacha weeee !!! kwamba serikali mpya ya Chadema itampa uwaziri Makonda ?
Poor kabisa wwNothing lasts longer , kama alikufa Yesu ndio iwe ccm ?
Ki gentleman au sio, ma thesis by dissertation tupa kuleHawa maprofesa wa vyuoni warudi wakashike chaki. JPM aliwachukua wote kuwaingiza kwenye siasa akidhani wana tija, watafanya mambo kisayansi zaidi, kumbe ukiingia kwenye mifumo unatakiwa uache akili zako, elimu yako na uwezo wako utumie akili za wateuzi wako.
Jiandae kisaikolonia usije kupata kisukariAcha ujinga wako na ww CHADEMA GANI HIII YA WAPUUUUZI WA KUJISIFU NA VIGOROFA VYAKO
KweliKwa huyu Ndalichako nimeumia sanaa, si hata wamgesema atapangiwa kazi nyingine, eti ametenguliwa lol.
Huyu waziri anafaa sana ktk wizara ya Elimu, bas ni vile serikali haijui kumtumia mtu, nimeumia, nampenda sana Ndalichako.
Yaan wanamtoa ndalichako, afu jenista, kairuki, na ummy wanabakii khaaah
Umeongea mengi sana lakini nguvu yao iko kwenye "mwanya" wa katiba!Kwa ccm hii, labda kwa asiyeijua, ila kwa wanaoijua vzuri, ni dhahiri hakuna mikakati itakayofanikiwa dhidi yao labda baada ya miaka at least 45 hivi. Tuseme ukweli tu, ccm imejipanga kudominate politics zetu strategically. Juu ya yote, wana pesa na wana serikali yao ya kichama ambayo raisi ndio mwenye kiti, maelfu ya viongozi wake wanalipwa vzuri na kupendelewa hadi raha. Ccm ina vitega uchumi vinavyo iingizia at least mabilioni kila mwezi. Kwenye kila uchanguzi wanaandaa bajeti ya mabilioni ili watu wake wapite. Kuzingatia upinzani wetu business brands, unategemea kuwa ipo siku karibuni ccm kitapoteza?? Mimi sio mpuuzi kujipa matumaini hewa
Yaan nimeumia kwa kweli.Kweli
Watakufa si kitambo. Mungu atawaua!Kwa ccm hii, labda kwa asiyeijua, ila kwa wanaoijua vzuri, ni dhahiri hakuna mikakati itakayofanikiwa dhidi yao labda baada ya miaka at least 45 hivi. Tuseme ukweli tu, ccm imejipanga kudominate politics zetu strategically. Juu ya yote, wana pesa na wana serikali yao ya kichama ambayo raisi ndio mwenye kiti, maelfu ya viongozi wake wanalipwa vzuri na kupendelewa hadi raha. Ccm ina vitega uchumi vinavyo iingizia at least mabilioni kila mwezi. Kwenye kila uchanguzi wanaandaa bajeti ya mabilioni ili watu wake wapite. Kuzingatia upinzani wetu business brands, unategemea kuwa ipo siku karibuni ccm kitapoteza?? Mimi sio mpuuzi kujipa matumaini hewa
john niwekee mkeka mbona siuonKumekucha 😂🔥
Kosa lake ni kutokuwa chawa. Alipiga kimya ! All in all. Yuko vizuri amejenga , ana eneo kubwa sana fenced njia ya kwenda Goba..... vinamtosha. Apumzike ushetani wa CCM. Amtafute mungu sasa.Ulipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF, lakini bila shaka kiwango chako hakikuridhisha. Ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .
Tunakutakia Kila la heri huko uendako
Pumbavu nasema niwekee Mkeka wa samia, wwe unaniletea mambo ambayo have never been my focuseeeeeeee mkeka wa jana wa SamiaYajayo yanafurahisha
Ole Sabaya ndani dadeki 😀😀
Na ambavyo hajui kuongea imemkata tayari 😆😆😆😆Ulipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF, lakini bila shaka kiwango chako hakikuridhisha. Ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .
Tunakutakia Kila la heri huko uendako
Ni muasisi wa ile kauli ya ..."inama upate?"...AU...""mtaka cha uvunguni sharti achore saba"...AU..."bend over to learn more "...!😎Mpwa Pdidy upo?🤣🤣pole na kesi zinazokukabili huko US
😂😂😂🔥Pumbavu nasema niwekee Mkeka wa samia, wwe unaniletea mambo ambayo have never been my focuseeeeeeee mkeka wa jana wa Samia
Halafu mama wa Kisimkazi inaonekana kuna baadhi ya wanawake anawatoa kwa sababu tu haiviani nao. Kwa mfano yule wa mambo ya nje hakuwa mbaya kiutendaji.Huyu wazee wa misikitini wamemsagia kunguni.