Pre GE2025 Kwaheri Ndalichako, karibu Jimboni

Pre GE2025 Kwaheri Ndalichako, karibu Jimboni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa huyu Ndalichako nimeumia sanaa, si hata wamgesema atapangiwa kazi nyingine, eti ametenguliwa lol.

Huyu waziri anafaa sana ktk wizara ya Elimu, bas ni vile serikali haijui kumtumia mtu, nimeumia, nampenda sana Ndalichako.

Yaan wanamtoa ndalichako, afu jenista, kairuki, na ummy wanabakii khaaah
 
Hawa maprofesa wa vyuoni warudi wakashike chaki. JPM aliwachukua wote kuwaingiza kwenye siasa akidhani wana tija, watafanya mambo kisayansi zaidi, kumbe ukiingia kwenye mifumo unatakiwa uache akili zako, elimu yako na uwezo wako utumie akili za wateuzi wako.
 
Hawa maprofesa wa vyuoni warudi wakashike chaki. JPM aliwachukua wote kuwaingiza kwenye siasa akidhani wana tija, watafanya mambo kisayansi zaidi, kumbe ukiingia kwenye mifumo unatakiwa uache akili zako, elimu yako na uwezo wako utumie akili za wateuzi wako.
Ki gentleman au sio, ma thesis by dissertation tupa kule
 
Kwa huyu Ndalichako nimeumia sanaa, si hata wamgesema atapangiwa kazi nyingine, eti ametenguliwa lol.

Huyu waziri anafaa sana ktk wizara ya Elimu, bas ni vile serikali haijui kumtumia mtu, nimeumia, nampenda sana Ndalichako.

Yaan wanamtoa ndalichako, afu jenista, kairuki, na ummy wanabakii khaaah
Kweli
 
Kwa ccm hii, labda kwa asiyeijua, ila kwa wanaoijua vzuri, ni dhahiri hakuna mikakati itakayofanikiwa dhidi yao labda baada ya miaka at least 45 hivi. Tuseme ukweli tu, ccm imejipanga kudominate politics zetu strategically. Juu ya yote, wana pesa na wana serikali yao ya kichama ambayo raisi ndio mwenye kiti, maelfu ya viongozi wake wanalipwa vzuri na kupendelewa hadi raha. Ccm ina vitega uchumi vinavyo iingizia at least mabilioni kila mwezi. Kwenye kila uchanguzi wanaandaa bajeti ya mabilioni ili watu wake wapite. Kuzingatia upinzani wetu business brands, unategemea kuwa ipo siku karibuni ccm kitapoteza?? Mimi sio mpuuzi kujipa matumaini hewa
Umeongea mengi sana lakini nguvu yao iko kwenye "mwanya" wa katiba!
 
Kwa ccm hii, labda kwa asiyeijua, ila kwa wanaoijua vzuri, ni dhahiri hakuna mikakati itakayofanikiwa dhidi yao labda baada ya miaka at least 45 hivi. Tuseme ukweli tu, ccm imejipanga kudominate politics zetu strategically. Juu ya yote, wana pesa na wana serikali yao ya kichama ambayo raisi ndio mwenye kiti, maelfu ya viongozi wake wanalipwa vzuri na kupendelewa hadi raha. Ccm ina vitega uchumi vinavyo iingizia at least mabilioni kila mwezi. Kwenye kila uchanguzi wanaandaa bajeti ya mabilioni ili watu wake wapite. Kuzingatia upinzani wetu business brands, unategemea kuwa ipo siku karibuni ccm kitapoteza?? Mimi sio mpuuzi kujipa matumaini hewa
Watakufa si kitambo. Mungu atawaua!
 
Ulipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF, lakini bila shaka kiwango chako hakikuridhisha. Ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .

Tunakutakia Kila la heri huko uendako
Kosa lake ni kutokuwa chawa. Alipiga kimya ! All in all. Yuko vizuri amejenga , ana eneo kubwa sana fenced njia ya kwenda Goba..... vinamtosha. Apumzike ushetani wa CCM. Amtafute mungu sasa.
 
Ulipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF, lakini bila shaka kiwango chako hakikuridhisha. Ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .

Tunakutakia Kila la heri huko uendako
Na ambavyo hajui kuongea imemkata tayari 😆😆😆😆

Pia Kuna yule Katambi.
 
Back
Top Bottom