Swahilian
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 591
- 69
Hatimaye timu yetu kipenzi ya mpira wa miguu ya vijana (Tanzania) a.k.a Ngorongoro Heroes imetolewa katika mashindano baada ya kutoka sare ya goli 1-1 na vijana wa Ivori Coast.
Kutokana na matokeo hayo Ngorongoro wamefungishwa virago baada ya kufungwa goli 1-0, huku Abijan wiki mbili zilizopita.
Tunawapongeza vijana wetu kwa hatua waliofikia na wajipange kwa ajili ya wakati mwingine.
'GO TANZANIA GO'
Kutokana na matokeo hayo Ngorongoro wamefungishwa virago baada ya kufungwa goli 1-0, huku Abijan wiki mbili zilizopita.
Tunawapongeza vijana wetu kwa hatua waliofikia na wajipange kwa ajili ya wakati mwingine.
'GO TANZANIA GO'