Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Baada ya ripoti ya CAG Kutolewa na kueleza madudu ya TTCL, Rais Samia Hassan amependekeza shirika hilo la umma libaki kusimamia mkongo wa Taifa tu, lachane na biashara ya mawasiliano ya simu.
Kwa kauli hii ya Rais bila shaka huu ni uamuzi kamili wa kuizika rasmi TTCL kwenye simu za viganjani.
Sasa sijui hizi line zetu itakuwaje yaani, tutafidiwa chochote au ndio vile tena?
Tunaitakia kila la heri.
Kwa kauli hii ya Rais bila shaka huu ni uamuzi kamili wa kuizika rasmi TTCL kwenye simu za viganjani.
Sasa sijui hizi line zetu itakuwaje yaani, tutafidiwa chochote au ndio vile tena?
Tunaitakia kila la heri.