MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Nafikiri approach ya Rais Samia italisaidia hili shirika. Hajasema life bali libakie kwenye business ya Mkonga na kusimamia makampuni mengine ya simu lakini wao waache biashara ya simu.
Lakini kabla ya hizi changes tunahitaji kama taifa tufanye research reviews kuona kwanini tunashindwa kuendesha haya mashirika. Kama hata ku manage national stadium tumeshindwa itafikia hata tukiyabinafsisha tutaibiwa tu!
Mama amesema hata bandari zikaribishwe sekta binafsi lakini ni vizuri ufanyike uchunguzi wa kutosha na huru. Wakwamishaji wengi ni hawa hawa wakubwa! Hata hizi proposals usikute ni ramani za hao wakubwa.
Tuliona reli ilikufa vipi na kulipuka makampuni ya usafirishaji! Tunajua nini kilitokea UDA! Tunajua hata viwanda vyetu maarufu vilivyochezewa michezo! Unfortunately tunacheza michezo ile ile ya vibaka wa Manzese! Ukiibiwa ukapiga kelele unapata wa kukusaidia wengi kumbe hao hao ni sehemu ya vibaka!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Lakini kabla ya hizi changes tunahitaji kama taifa tufanye research reviews kuona kwanini tunashindwa kuendesha haya mashirika. Kama hata ku manage national stadium tumeshindwa itafikia hata tukiyabinafsisha tutaibiwa tu!
Mama amesema hata bandari zikaribishwe sekta binafsi lakini ni vizuri ufanyike uchunguzi wa kutosha na huru. Wakwamishaji wengi ni hawa hawa wakubwa! Hata hizi proposals usikute ni ramani za hao wakubwa.
Tuliona reli ilikufa vipi na kulipuka makampuni ya usafirishaji! Tunajua nini kilitokea UDA! Tunajua hata viwanda vyetu maarufu vilivyochezewa michezo! Unfortunately tunacheza michezo ile ile ya vibaka wa Manzese! Ukiibiwa ukapiga kelele unapata wa kukusaidia wengi kumbe hao hao ni sehemu ya vibaka!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app