Kwaheri TTCL, kila lenye mwanzo halikosi mwisho

Kwaheri TTCL, kila lenye mwanzo halikosi mwisho

yule jamaa aliuza hisa akazipeleka SA awamu ile, then karudi kivingine kawanunua wale wawili kawaunganisha.. Yule wa monduli zile hisa zake pale Voda sijui zimekaaje naye.
Hawa wavetcong inafahamika nani mdosi pale.. Wale wadosi wa kino~ Moroco inafahamika kuanzia mpokea kodi wa ule mjengo na Big banana ni nani..

TTCL ilikwapuliwa na wale jamaa wa Kino Moroco then yule jamaa wa Chato akairudisha pamoja na zile hisa pale Moroco Kino, sasa wale jamaa waKino Morroco wanataka lidude lao hapo ndio TTCL inapofia kwa muuza supu pale kino.

Kuna Uzi humu unauliza, Hii nchi ni mali ya nani?
I get you.

Zile safari kwa jamaa kati ya hao wawili hazikuwa bure.

Walikuwa wakitoka na mipicha wacheka mbele ya kamera lakini yalokuwa nyuma ya mazungumzo mazito hakuna alieambiwa.
 
Mimi ni mtumiaji mkubwa wa TTCL na hii ni zengwe iliotengenezwa kwanzia JPM aage dunia, leo itakuwa hitimisho tu.
Kipindi cha Magu 2gb kwa 500 na 10gb kwa kitu kati ya 1000 mpaka 2000 nadhani usiku kucha! Shusha torrent za kufa raia. Hizo ni za usiku tu achilia zile za kawaida.

Kwa wanaotumia landline (simu za mezani) wanajua usumbufu walioupata kipindi hiki cha awamu ya sita. Nilikuwa nikihisi kuna kitu kinapikwa na kweli leo kimeiva!

Sekta ya mitandao ya simu kwa sasa inaendeshwa kibepari kwa tafsiri yaba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!!!
Nadhani wamiliki wa makampuni ya simu wanataka kuizika TTCL.
 
Nadhani wamiliki wa makampuni ya simu wanataka kuizika TTCL.
Watanzania waelimishwe wasikae tu kama mazuzu, TTCL si kampuni ya mtu ni mali ya taifa.

Ni sehemu ya mali za taifa TTCL, ATCL, TRC, TPA, TAA, NSSF, NDC, NIDA, TCRA, EWURA, DAWASA, TANESCO, NHC, na mengine mengi tu ni mashirika au kampuni za umma.

Tubadilike tuweke sheria kabisa, mtu akiingia na akiyachezea shere mali hizi twaenda "Chinese Way" ambayo ni..........
 
Tulishafahamu hili tena limechelewa.

Wanaomiliki makampuni ya simu wanashirikiana na TCRA, wengine wanatetea hawa mbweha hadi bungeni kupandisha bei ya bando na wizi wa makampuni ya simu kwa wateja, wanafahamika wote.

Walizuia starlink kuleta huduma ya internet Tanzania, ndio hao hao wanahujumu TTCL.

TTCL tishio kwao sababu huduma ya internet ni nafuu zaidi ya hao wengine, wameona heri kuifuta.
Mimi nilisema Starlink haiwezi kupewa ruhusa Tz watu wakawa wanabisha, same reason hawafufui mfumo wa reli ambao ungesafirisha mizigo kwa gharama nafuu sababu mabosi ndo wamiliki wa malori.
 
Solution sio kuitoa serikalini bali ni kuuza hisa ili management iwe inaidhinishwa kitaalamu na shareholders kuliko hivi sasa raisi anateua.

Miaka ya Magufuli wakati wa kupokea gawio binafsi nilisema serikali ina mzaha sana kwenye kuendesha biashara; taasisi aina ata net profit hilo gawio linatokea wapi.

Kipindi hiko kwenye financial statement yao shirika lilikuwa linatengeneza gross profit, tatizo ni admin expenses wanatumia sehemu kubwa sana ya mapato yao kwenye kulipa mishahara kushinda ata washindani wao na hapo ndio faida yote inapopotea. Jumlisha na haya mashirika ya serikali kweny overstating ya matumizi mengine ni jambo la kawaida through dodgy tenders.

Hilo shirika mtu yeyote makini akipewa kuliendesha kitu cha kwanza kitakachofanyika hapo ni downsizing of the workforce; inachukua sehemu kubwa ya mapato.

Kwa kifupi huko serikalini wanahitajika financial analysts, matatizo yao ni obvious ukisoma statements zao. Halafu ukiangalia na everyday operation ni wazi faida aiwezikani hapo miaka 800, ajabu shirika linalotengeneza hasara juzi tu limetoa millions in charity hivi unadhani kungekuwa na shareholders wangekubali; mkutano unaofuata mkurugenzi angekuwa voted out yeye na body nzima ya management.

Sidhani kama serikalini kuna watu wengi waliosoma finance kwenye nafasi za ushauri. Otherwise hayo mashirika yanaendeshwa ovyo sana to external observers; yote sio TTCL tu.

Hao wakurugenzi ukiwasikiliza tu unaona ata uelewa wao wa maswala ya biashara unapwaya, sasa wanashangaa kitu gani yanapotengeneza hasara wakati ni vitu obvious kulingana na uongozi wenyewe.
 
Baada ya ripoti ya CAG Kutolewa na kueleza madudu ya TTCL, Rais Samia Hassan amependekeza shirika hilo la umma libaki kusimamia mkongo wa Taifa tu, lachane na biashara ya mawasiliano ya simu.

Kwa kauli hii ya Rais bila shaka huu ni uamuzi kamili wa kuizika rasmi TTCL kwenye simu za viganjani.

Sasa sijui hizi line zetu itakuwaje yaani, tutafidiwa chochote au ndio vile tena?

Tunaitakia kila la heri.
Unafidiwa nini mkuu,line!Si unaachana nayo tu.
 
Solution sio kuitoa serikalini bali ni kuuza hisa ili management iwe inaidhinishwa kitaalamu na shareholders kuliko hivi sasa raisi anateua.

Miaka ya Magufuli wakati wa kupokea gawio binafsi nilisema serikali ina mzaha sana kwenye kuendesha biashara; taasisi aina ata net profit hilo gawio linatokea wapi.

Kipindi hiko kwenye financial statement yao shirika lilikuwa linatengeneza gross profit, tatizo ni admin expenses wanatumia sehemu kubwa sana ya mapato yao kwenye kulipa mishahara kushinda na hapo ndio faida yote inapopotea. Jumlisha na haya mashirika ya serikali overstating ya matumizi mengine ni jambo la kawaida through dodgy tenders.

Hilo shirika mtu yeyote makini akipewa kuliendesha kitu cha kwanza kitakachofanyika hapo ni downsizing of the workforce; inachukua sehemu kubwa ya mapato.

Kwa kifupi huko serikalini wanahitajika financial analysts, matatizo yao ni obvious ukisoma statements zao. Halafu ukiangalia na everyday operation ni wazi faida aiwezikani hapo miaka 800, ajabu shirika linalotengeneza hasara juzi tu limetoa millions in charity hivi unadhani kungekuwa na shareholders wangekubali; mkutano unaofuata angekuwa voted out yeye na body nzima ya management.

Sidhani kama serikalini kuna watu wengi waliosoma finance kwenye nafasi za ushauri. Otherwise hayo mashirika yanaendeshwa ovyo to external observers; yote sio TTCL tu.

Hao wakurugenzi ukiwasikiliza tu unaona ata uelewa wao wa maswala ya biashara unapwaya, sasa wanashangaa kitu gani yanapotengeneza wakati ni vitu obvious kulingana na uongozi wenyewe.

umeandika kitu kikubwa sana..
umehighlight all the major problems leading to the failure.
 
Kwa kifupi huko serikalini wanahitajika financial analysts, matatizo yao ni obvious ukisoma statements zao. Halafu ukiangalia na everyday operation ni wazi faida aiwezikani hapo miaka 800, ajabu shirika linalotengeneza hasara juzi tu limetoa millions in charity hivi unadhani kungekuwa na shareholders wangekubali; mkutano unaofuata angekuwa voted out yeye na body nzima ya management
Wanasema wakaguzi (auditors) tu wanatosha.
 
Wanasema wakaguzi (auditors) tu wanatosha.
Hao watu awafanyi maamuzi ya kibiashara, auditor anaweza highlight tu poor efficiency issues za management. Lakini uongozi wa shirika auna obligations za kufuata ushauri wake.

Mtu pekee mwenye nguvu ya kubadili uongozi akiona mambo bado ovyo ni raisi anaeteua na yeye analetewa tu majina na watu wengine ambao they don’t conduct due diligence ya uwezo wa watu wanaopendekeza kuteuliwa.
 
Baada ya ripoti ya CAG Kutolewa na kueleza madudu ya TTCL, Rais Samia Hassan amependekeza shirika hilo la umma libaki kusimamia mkongo wa Taifa tu, lachane na biashara ya mawasiliano ya simu.

Kwa kauli hii ya Rais bila shaka huu ni uamuzi kamili wa kuizika rasmi TTCL kwenye simu za viganjani.

Sasa sijui hizi line zetu itakuwaje yaani, tutafidiwa chochote au ndio vile tena?

Tunaitakia kila la heri.
Shida Raisi wetu mpendwa hatoi matamko yeye anatoa suggestions tu. Kama issue ya wale jamaa walio kula hela ya ndege ya mizigo ilibidi awasimamishe palepale
 
Nafikiri approach ya Rais Samia italisaidia hili shirika. Hajasema life bali libakie kwenye business ya Mkonga na kusimamia makampuni mengine ya simu lakini wao waache biashara ya simu.

Lakini kabla ya hizi changes tunahitaji kama taifa tufanye research reviews kuona kwanini tunashindwa kuendesha haya mashirika. Kama hata ku manage national stadium tumeshindwa itafikia hata tukiyabinafsisha tutaibiwa tu!

Mama amesema hata bandari zikaribishwe sekta binafsi lakini ni vizuri ufanyike uchunguzi wa kutosha na huru. Wakwamishaji wengi ni hawa hawa wakubwa! Hata hizi proposals usikute ni ramani za hao wakubwa.

Tuliona reli ilikufa vipi na kulipuka makampuni ya usafirishaji! Tunajua nini kilitokea UDA! Tunajua hata viwanda vyetu maarufu viliv,yochezewa michezo! Unfortunately tunacheza michezo ile ile ya vibaka wa Manzese! Ukiibiwa ukapiga kelele unapata wa kukusaidia wengi kumbe hao hao ni sehemu ya vibaka!


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
I like you MTAZAMO unafikiri very positive na huwa waleta productive thoughts as always.

Lakini analysts kama Ernst Young, PWC si wapo?

Serikali iamue kama wenzetu India ambao shirika la reli lamilikiwa na serikali lakini laongozwa na wizara ya reli kabisa no problem.

Baada ya hapo ndipo yaibuka makampuni ya reli ambayo hukodi njia za reli hivyo hulipia huduma hiyo ya kutumia reli.

Mwisho kuna kampuni inoshughulika na matengenezo na uboreshaji wa njia zote za reli yaani railway network.

Hivyo utaiona kwamba shirika la reli lipo chuini ya wizara lakini inasimia shughuli zaote za reli ila uendeshaji ni makampuni ya reli ambayo asilimia kubwa ni makampuni binafsi.

Hii kwanza yaleta ufanisi katika uzimamizi na pia yapanua soko la ajira kwani kampuni hizi zitaajiri watu wao wataofanya kazi katika reli hizo.

Pia kampuni inoshughulika na matengenezo na uboreshaji wa njia za reli nayo inakuwa na wale sub-contractors ambao wote wanapata ajira hivyo kupanua zaidi soko la ajira.

Huduma za reli tu Tanzania yaweza kuinua uchumi na sko la ajira maana watu wataarijiwa katika sehemu mbalimbali ukatishaji tiketi, usafi, huduma ndani ya garimoshi, udereva uongozaji na mengine lukuki.

Sasa hata kama kuna watu wahitaji kuendesha biashara ya mabasio waweza kufanya hivyo bila shida maana huduma ni usafiri ni huria na watu wana uchaguzi aina ipi ya usafiri watumie.

Air India CEO wake ni raia wa New Zealand na jana alitetea kwanini Air India yailipa Russoa kutumia anga lake ili kupunguza gharama za kuzunguruka mamaili kibao kutafuta viwanja vya ndege Ulaya.

Huyu CEO na Managing Director (Campbell Wilson) amesimamia mashirika ya ndege ya Singapore, Canada, Hong Kong na Japan hivyo ana uzoefu mkubwa.

Wenzetu India sasa hivi wapiga hatua kubwa sana kiuchumi na kwa kila sekta.

Eeeh Mola wetu, tusikie kilio chetu wana wa nchi ya Tanzania.
 
Haya mashirika yanakufa sababu mishahara inalipwa na serikali,
Wafanyakazi wana uhakika wa maisha, hivyo hata wasipofanya kazi wana uhakika wa kila kitu.

Haya mashirika yalitakiwa yatengeneze faida, kupitia mapato yao ndo yajilipe mishahara kulingana na malipo ya serikali.

Mf ATCL ina marubani 147, kila rubani analipwa zaidi ya Milioni 3 kwa Mwezi, anagharamikiwa kusomeshwa kila miezi 6, ndege walizo nazo zinazopaa ni 6 pekee
Sasa jiulize kwa huo wingi wa watu utapata vp faida?
Je ATCL ingekuwa yajilipa kupitia pesa zake ingeajiri watu wote hao?
Sasa huoni wapi twaonyesha ujinga wetu?

Weye una ndege 6, mfano wa marubani 147 wa nini?

Huo si ndo upigaji tunozungumzia?
 
Nini hasa kinafanya TTCL isiendeshwe kwa faida kulinganisha na makampuni mengine ya simu!? Ni kukosa uongozi, kushindwa kufanya maamuzi ya kibiashara kwa wakati, wafanyakazi wasio na weledi au!?
Acha lifungwe hawa jamaa awajui biashara tuliomba huduma ya internet kwa njia ya fibre cable dah iyo bei taasisi ikaona twende kwa kampuni binafsi na wanapoteza mteja kwa kauli yao bila wasiwasi
 
Solution sio kuitoa serikalini bali ni kuuza hisa ili management iwe inaidhinishwa kitaalamu na shareholders kuliko hivi sasa raisi anateua.

Miaka ya Magufuli wakati wa kupokea gawio binafsi nilisema serikali ina mzaha sana kwenye kuendesha biashara; taasisi aina ata net profit hilo gawio linatokea wapi.

Kipindi hiko kwenye financial statement yao shirika lilikuwa linatengeneza gross profit, tatizo ni admin expenses wanatumia sehemu kubwa sana ya mapato yao kwenye kulipa mishahara kushinda ata washindani wao na hapo ndio faida yote inapopotea. Jumlisha na haya mashirika ya serikali kweny overstating ya matumizi mengine ni jambo la kawaida through dodgy tenders.

Hilo shirika mtu yeyote makini akipewa kuliendesha kitu cha kwanza kitakachofanyika hapo ni downsizing of the workforce; inachukua sehemu kubwa ya mapato.

Kwa kifupi huko serikalini wanahitajika financial analysts, matatizo yao ni obvious ukisoma statements zao. Halafu ukiangalia na everyday operation ni wazi faida aiwezikani hapo miaka 800, ajabu shirika linalotengeneza hasara juzi tu limetoa millions in charity hivi unadhani kungekuwa na shareholders wangekubali; mkutano unaofuata mkurugenzi angekuwa voted out yeye na body nzima ya management.

Sidhani kama serikalini kuna watu wengi waliosoma finance kwenye nafasi za ushauri. Otherwise hayo mashirika yanaendeshwa ovyo sana to external observers; yote sio TTCL tu.

Hao wakurugenzi ukiwasikiliza tu unaona ata uelewa wao wa maswala ya biashara unapwaya, sasa wanashangaa kitu gani yanapotengeneza hasara wakati ni vitu obvious kulingana na uongozi wenyewe.
Na si tu workforce kuna matawi na ofisi kila wilaya na vitongoji, idadi kubwa ya magari, idara ya huduma kwa wateja na shughuli zingine za uendeshaji.

Kwa mfano TTCL wana Telephone House, ile yaweza kuwa ni centre yake kwa Dar-es-Salaam na HQs.

Kisha baadae wafungua kidogokidogo kila Wilaya kulingana na kukua kwa mapato, soko na mahitaji.

ATCL wana ofisi kuu Pale Ohio St hivyo ofisi ile yaweza kuboreshwa na kukodishwa kisha HQs yake ihamishiwe uwanja wa ndege.

Hivyohivyo kwa mashirika mengine makubwa ni lazima kitu cha kwanza kuangalia pesa yapotelea wapi.

Tatizo jingine umeligusia kuhusu Analysts hawa uhaba upo hivyo itabdi uwe na analysts kutoka nje na si Ulaya bali hapahapa barani Afrika wapo analysts walosomea biashara na wana uwezo wa kufanya analysis ya threats kwa organisations na masuala mengine kama masoko na kusaidia kuleta resilience katika kampuni wakati wa shida.
 
Na si tu workforce kuna matawi na ofisi kila wilaya na vitongoji, idadi kubwa ya magari, idara ya huduma kwa wateja na shughuli zingine za uendeshaji.

Kwa mfano TTCL wana Telephone House, ile yaweza kuwa ni centre yake kwa Dar-es-Salaam na HQs.

Kisha baadae wafungua kidogokidogo kila Wilaya kulingana na kukua kwa mapato, soko na mahitaji.

ATCL wana ofisi kuu Pale Ohio hivyo ofisi ile yaweza kuboreshwa na kukodishwa kisha HQs yake ihamishiwe uwanja wa ndege.

Hivyohivyo kwa mashirika mengine makubwa ni lazima kitu cha kwanza kuangalia pesa yapotelea wapi.

Tatizo jingine umeligusia kuhusu Analysts hawa uhaba upo hivyo itabdi uwe na analysts kutoka nje na si Ulaya bali hapahapa barani Afrika wapo analysts walosomea biashara na wana uwezo wa kufanya analysis ya threats kwa organisations na masuala mengine kama masoko na kusaidia kuleta resilience katika kampuni wakati wa shida.
Matatizo yao wote yanafanana admin costs, higher costs of sales and poor management competence.
 
Baada ya ripoti ya CAG Kutolewa na kueleza madudu ya TTCL, Rais Samia Hassan amependekeza shirika hilo la umma libaki kusimamia mkongo wa Taifa tu, lachane na biashara ya mawasiliano ya simu.

Kwa kauli hii ya Rais bila shaka huu ni uamuzi kamili wa kuizika rasmi TTCL kwenye simu za viganjani.

Sasa sijui hizi line zetu itakuwaje yaani, tutafidiwa chochote au ndio vile tena?

Tunaitakia kila la heri.
Akili ndogo
 
Back
Top Bottom