Kwaheri TTCL, kila lenye mwanzo halikosi mwisho

Usiongee usichojua, mkongo ndo sababu unaandika JF, ukipata hitilafu hutaweza kitu.
 
Maana yake TTCL inauzwa kwa Airtel tena
 
Mashirika mengi ya serikali yanafanya uzembe wa makusudi sababu serikali ndiyo inalipa mishahara.

Haya mashirika yameajiri watu wabovu ajira za kudumu.

Ukienda ttcl kuna wazee wengi sana wasio na msaada, hawa walitakiwa wastaafishwe kwa lazima.

Haya mashirika yana wafanyakazi wengi kuliko utendaji kazi wao

TTCL inajenga makao makuu Dodoma wakati haitengenezi kitu.

Airtel wameipa serikali gawio la Bilion 39, kwa hisa 49%

Ukija kwa atcl huko napo pamejaa ujinga mtupu

ATCL ina marubani 147 kwa ndege 6 zinazofanya kazi kwa sasa

Ina hosts zaidi ya 300 kwa ndege 6 zinazofanya kazi

Shirika lina wafanyakazi zaidi ya 600 kwa ndege 6 afu tutegemee kupata faida

TRC wanajiibia wenyewe, wanashindwa kuwa wabunifu.

Hawajawahi tangaza wala kutafuta tender ya kusogeza makontena
 
Nenda Fly emirates, Fly Dubai, Saudi Air, Riyadhi Air, Etihad CEO wote ni Wazungu na faida inaonekana.

Cha kwanza haya mashirika yasitoe ajira za kudumu, wajilipe mishahara kutokana na mapato yao, huwezi nambia Fastjet alikuwa analipa mishahara nje ya mapato au alikua na ajira za kudumu.
Ndege zake zilikuwa zinafanya kazi haswa, Ndege 3 zinazunguka Mbeya, Kilimanjaro, Mwanza, Zimbabwe, South Afrika
 
Sasa huoni wapi twaonyesha ujinga wetu?

Weye una ndege 6, mfano wa marubani 147 wa nini?

Huo si ndo upigaji tunozungumzia?
Mwanzo waliulizwa Bungeni wana marubani wangapi
Wakasema wanao 107
Watanzania 106

Juzi wametangaza ajira za marubani 35
Ukiangalia hapo unaona kabisa hili shirika linaongozwa na wapumbavu ambao wanatakiwa wachinjwe bila huruma
 
Walipomteua Mkurugenzi mkuu kuwa Muhaya walitegemeaga nini?!

Alikuwa ni Bwana mmoja akiitwa "Kazaura" hivi sasa yuko "E.A.C" Arusha.

Wahaya na wachaga wasipewe madaraka! Ni jamii hatari sana!
 
Nini hasa kinafanya TTCL isiendeshwe kwa faida kulinganisha na makampuni mengine ya simu!? Ni kukosa uongozi, kushindwa kufanya maamuzi ya kibiashara kwa wakati, wafanyakazi wasio na weledi au!?
Ntakupa scenario moja..!!
Kwa makampuni binafsi ya simu, mhandisi wa kwenye minara anapewa gari, mafuta, laptop na toolbox. Kwa mfano, mhandisi huyu anaishi, Say, Temeke Dar na minara aliyogawiwa kuihudumia incase ina tatizo ipo Kuanzia Mbagala, kuelekea direction ya Ikwiriri na hadi Utete. Mtu huyu kama kuna tatizo kwenye backborne site yoyote, say Mwalusembe, ambayo kuzima kwake kunamaanisha Lindi, Mtwara na Tunduru mawasiliano yanakata. Akipewa taarifa hiyo hata usiku wa manane. anawasha gari safari kuelekea Mwalusembe na anaiwasha site inarudi kwenye utaratibu wake wa kawaida na watu wanaendelea kuwasiliana.

Tuje kwa TTCL..!! Huku ni hatari. Gari analo dereva, ambaye atamfuata Mhandisi anayejua minara pindi mnara fulani unapozima. Sasa zamani, makampuni ya simu yote, kutoa mawasiliano Dar na kuyafikisha nje ya Dar, wengi walikuwa wanakodi tower space kwa TTCL, ground space na transmision zao kwenye minara yao mbalimbali nchini. Sasa waza sehemu kama Mkuranga ambapo, let say airtel, wamekodi nilivyovitaja hapo juu kwa TTCL. Sasa mnara wa TTCL ukizima, kwa airtel wao, ina maanisha Lindi, Mtwara na Tunduru kunazima koteee..!!! Sasa kwenye mazingira kama hayo, atatafutwa dereva wa TTCL, awashe gari na kumfutana mhandisi aliko, halafu ndiyo waende eneo la tukio. Bila kusahau dereva naye lazima apate ruhusu toka kwa bosi wake (wa logistics). Bila hivyo hawashi gari.

Kumbuka wakati hayo yote yanafanyika, wateja wa Airtel hawawasiliani and hence REVENUE LOSS KWA AIRTEL. Kwa delays walizokuwa wanazisababisha, airtel towers zinakuwa chini kwa muda mrefu. Kwa sababu hii na nyinginezo;

1. Makampuni binafsi ya simu yakajijengea towers zake. Hence TTCL wakapoteza mapato makubwa sana ya kila mwezi toka kwenye kukodisha tower space, ground space na transmission.

2. Baada ya makampuni binafsi kujiondoa kwenye miundombinu ya TTCL, wao hawakubadirika, waliendelea na uzembe huo huo, kiasi kwamba walikosa wateja.

3. Hadi leo hii, market share ya TTCL ni less than 1.5%. Na si ajabu, kuna watu hata humu JF hawazijui hata codes za TTCL. Mfano, mtu akisema namba yangu ni 0784xxxxxx unajua ni airtel, au 0713yyyyyy unajua nitiGo etc

NB. KWA MAKAMPUNI BINAFSI, KUMPA MTU GARI LA KUZUNGUKA NALO MINARANI NA HUKU AKIWA ANAKAA NALO NYUMBANI LIKI NA FULL TANK, NI GHARAMA NDOGO KULIKO KUZIMA BACKBORNE SITE KWA LISAA LIMOJA.

KWA TTCL, GARI ANAKUWA NALO BOSI AU DEREVA. MHANDISI KUWA NA GARI NI ANASA
 
raisi bado hajamjua tu mchawi wa TTCL?mbona anakaa nao mezani bado tu hashtuki.ttcl wanaonewa na kulaumiwa bure wakati mchawi anajulikana.tumwache mchawi azidi kuwaroga labda na wao wataanza kuroga.
 
Nini hasa kinafanya TTCL isiendeshwe kwa faida kulinganisha na makampuni mengine ya simu!? Ni kukosa uongozi, kushindwa kufanya maamuzi ya kibiashara kwa wakati, wafanyakazi wasio na weledi au!?
Ukiritimba tu maana jiwe aliwaaminisha kuwa wao ndiyo wezawa kama kwa ATCL
 
Jiwe hajawahi kufanikiwa kwenye project zake
 
Yaani kwa sababu shirika limepata hasara unakwenda kuua shirika?- Samia anafikiria nini?

Hii dhambi ya kuua TTCL itamwandama Samia kama dhambi ya kuua NBC ilivyomuandama Mkapa

Yaani unataka nchi itegemee akina voda na Tigo?

Samia acha mama, hili unalotaka kugusa ni fupa tena fupa gumu mno
 
Yaani kuanzia juzi nakjaribu kununua bando la internet wanasema kunatatizo la kiufundi. Basi tena hivi nivyochati natumia bila kujiunga basi tena 5000 iishe tu nijue moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…