Pole sana mkuuYaani kuanzia juzi nakjaribu kununua bando la internet wanasema kunatatizo la kiufundi. Basi tena hivi nivyochati natumia bila kujiunga basi tena 5000 iishe tu nijue moja
Ndio shida ilipo kwenye administration costs, hasa salaries and wages.Mashirika mengi ya serikali yanafanya uzembe wa makusudi sababu serikali ndiyo inalipa mishahara.
Haya mashirika yameajiri watu wabovu ajira za kudumu.
Ukienda ttcl kuna wazee wengi sana wasio na msaada, hawa walitakiwa wastaafishwe kwa lazima.
Haya mashirika yana wafanyakazi wengi kuliko utendaji kazi wao
TTCL inajenga makao makuu Dodoma wakati haitengenezi kitu.
Airtel wameipa serikali gawio la Bilion 39, kwa hisa 49%
Ukija kwa atcl huko napo pamejaa ujinga mtupu
ATCL ina marubani 147 kwa ndege 6 zinazofanya kazi kwa sasa
Ina hosts zaidi ya 300 kwa ndege 6 zinazofanya kazi
Shirika lina wafanyakazi zaidi ya 600 kwa ndege 6 afu tutegemee kupata faida
TRC wanajiibia wenyewe, wanashindwa kuwa wabunifu.
Hawajawahi tangaza wala kutafuta tender ya kusogeza makontena
Alivoenda tu huko huyo Peter Ulanga nikajua itakuwa hivyo tu!Baada ya ripoti ya CAG Kutolewa na kueleza madudu ya TTCL, Rais Samia Hassan amependekeza shirika hilo la umma libaki kusimamia mkongo wa Taifa tu, lachane na biashara ya mawasiliano ya simu.
Kwa kauli hii ya Rais bila shaka huu ni uamuzi kamili wa kuizika rasmi TTCL kwenye simu za viganjani.
Sasa sijui hizi line zetu itakuwaje yaani, tutafidiwa chochote au ndio vile tena?
Tunaitakia kila la heri.
Nowadays if your opinion isn’t feeding their ego you’re a hater 🤣 🤣 🤣 🤣Siasa as usual
Mashirika mengi ya serikali yanafanya uzembe wa makusudi sababu serikali ndiyo inalipa mishahara.
Haya mashirika yameajiri watu wabovu ajira za kudumu.
Ukienda ttcl kuna wazee wengi sana wasio na msaada, hawa walitakiwa wastaafishwe kwa lazima.
Haya mashirika yana wafanyakazi wengi kuliko utendaji kazi wao
TTCL inajenga makao makuu Dodoma wakati haitengenezi kitu.
Airtel wameipa serikali gawio la Bilion 39, kwa hisa 49%
Ukija kwa atcl huko napo pamejaa ujinga mtupu
ATCL ina marubani 147 kwa ndege 6 zinazofanya kazi kwa sasa
Ina hosts zaidi ya 300 kwa ndege 6 zinazofanya kazi
Shirika lina wafanyakazi zaidi ya 600 kwa ndege 6 afu tutegemee kupata faida
TRC wanajiibia wenyewe, wanashindwa kuwa wabunifu.
Hawajawahi tangaza wala kutafuta tender ya kusogeza makontena
Ntakupa scenario moja..!!
Kwa makampuni binafsi ya simu, mhandisi wa kwenye minara anapewa gari, mafuta, laptop na toolbox. Kwa mfano, mhandisi huyu anaishi, Say, Temeke Dar na minara aliyogawiwa kuihudumia incase ina tatizo ipo Kuanzia Mbagala, kuelekea direction ya Ikwiriri na hadi Utete. Mtu huyu kama kuna tatizo kwenye backborne site yoyote, say Mwalusembe, ambayo kuzima kwake kunamaanisha Lindi, Mtwara na Tunduru mawasiliano yanakata. Akipewa taarifa hiyo hata usiku wa manane. anawasha gari safari kuelekea Mwalusembe na anaiwasha site inarudi kwenye utaratibu wake wa kawaida na watu wanaendelea kuwasiliana.
Tuje kwa TTCL..!! Huku ni hatari. Gari analo dereva, ambaye atamfuata Mhandisi anayejua minara pindi mnara fulani unapozima. Sasa zamani, makampuni ya simu yote, kutoa mawasiliano Dar na kuyafikisha nje ya Dar, wengi walikuwa wanakodi tower space kwa TTCL, ground space na transmision zao kwenye minara yao mbalimbali nchini. Sasa waza sehemu kama Mkuranga ambapo, let say airtel, wamekodi nilivyovitaja hapo juu kwa TTCL. Sasa mnara wa TTCL ukizima, kwa airtel wao, ina maanisha Lindi, Mtwara na Tunduru kunazima koteee..!!! Sasa kwenye mazingira kama hayo, atatafutwa dereva wa TTCL, awashe gari na kumfutana mhandisi aliko, halafu ndiyo waende eneo la tukio. Bila kusahau dereva naye lazima apate ruhusu toka kwa bosi wake (wa logistics). Bila hivyo hawashi gari.
Kumbuka wakati hayo yote yanafanyika, wateja wa Airtel hawawasiliani and hence REVENUE LOSS KWA AIRTEL. Kwa delays walizokuwa wanazisababisha, airtel towers zinakuwa chini kwa muda mrefu. Kwa sababu hii na nyinginezo;
1. Makampuni binafsi ya simu yakajijengea towers zake. Hence TTCL wakapoteza mapato makubwa sana ya kila mwezi toka kwenye kukodisha tower space, ground space na transmission.
2. Baada ya makampuni binafsi kujiondoa kwenye miundombinu ya TTCL, wao hawakubadirika, waliendelea na uzembe huo huo, kiasi kwamba walikosa wateja.
3. Hadi leo hii, market share ya TTCL ni less than 1.5%. Na si ajabu, kuna watu hata humu JF hawazijui hata codes za TTCL. Mfano, mtu akisema namba yangu ni 0784xxxxxx unajua ni airtel, au 0713yyyyyy unajua nitiGo etc
NB. KWA MAKAMPUNI BINAFSI, KUMPA MTU GARI LA KUZUNGUKA NALO MINARANI NA HUKU AKIWA ANAKAA NALO NYUMBANI LIKI NA FULL TANK, NI GHARAMA NDOGO KULIKO KUZIMA BACKBORNE SITE KWA LISAA LIMOJA.
KWA TTCL, GARI ANAKUWA NALO BOSI AU DEREVA. MHANDISI KUWA NA GARI NI ANASA
WEZI WOTE WA NCHI HII MUNGU AWAUETulishafahamu hili tena limechelewa.
Wanaomiliki makampuni ya simu wanashirikiana na TCRA, wengine wanatetea hawa mbweha hadi bungeni kupandisha bei ya bando na wizi wa makampuni ya simu kwa wateja, wanafahamika wote.
Walizuia starlink kuleta huduma ya internet Tanzania, ndio hao hao wanahujumu TTCL.
TTCL tishio kwao sababu huduma ya internet ni nafuu zaidi ya hao wengine, wameona heri kuifuta.
Hii Nchi haina viongoziAfrika nakutamani ikiwemo Tanzania tunakwama wapi?
Almost mashirika yote ya Umma in almost African countries kama hayapo ICU basi ni RIP.
Is our brain not aligned for success?
Au tunahitaji kufanyiwa genetic modified brain?
No body loves African unless its sport scene or drama.
TTCL ina kila sababu ya kustawi.
Mkonga wa taifa ndio tanzanite ya TTCL.
Nadhani wamejipanga vizuri kusambaza data kwa mfumo wa wifi majumbani.
Just imagine,nyumba milioni 5 Tanzania zifungwe wifi kwa tozo la huduma ya sh 50,000 kwa mwezi=5,000,000 ×50,000=
250,000,000,000 yaani B 250 kwa mwezi.!!
Tuanzie hapo.
Akitaka msaada tupo wengi tupewe/tuuziwe hisa.
Lakini viongozi wanatokana na jamii yetu.Hii Nchi haina viongozi
Pole sanaSasa hivi TTCL PESA huwezi kutuma pesa wala huduma ya lipa kwa simu haipo. ukiwauliza wanakwambia wanafanya marekebisho.
Marekebisho zaidi ya wiki kweli!
Mbona mitandao mingine huwa wanafanya saa sita usiku hadi saa 11 alfajiri huduma inakuwa imerejea!
Nilikuwa na kahela kadogo imebidi ninunue bundle tu maana haina uwezo wa kutuma kwenda mitandao mingine na hata mawakala wenyewe wa kutafuta
Biashara ya mawasaliana ya Simu inalipa sana tatizo wanaopewa dhamana ni wajinga na wapumbavu kumbuka Tanzania nzima watu wakisema tu, hallow haya makampuni yanaingiza kiasi ganiBaada ya ripoti ya CAG Kutolewa na kueleza madudu ya TTCL, Rais Samia Hassan amependekeza shirika hilo la umma libaki kusimamia mkongo wa Taifa tu, lachane na biashara ya mawasiliano ya simu.
Kwa kauli hii ya Rais bila shaka huu ni uamuzi kamili wa kuizika rasmi TTCL kwenye simu za viganjani.
Sasa sijui hizi line zetu itakuwaje yaani, tutafidiwa chochote au ndio vile tena?
Tunaitakia kila la heri.