Kwaherini wanaJF

WEKA PICHA walau tusikusahau 2025
 
Mwaka 2020 umri wako utakuwa haujafikia??
 
Kwani unaondoka lini? Mana mkapa sasa bado naona uko tu
 
...huku watu hawaondokagi,wanabadilisha ID tu,unahitaji some TLC tu...lol
 
Utakufa kabla yangu, hilo halina ubishi. Mimi hapa duniani nipo kwa miaka kibao kwa sababu kazi niliyotumwa na Mungu bado sijaimaliza.
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji86] [emoji86]
Unasema sijaelewa umemaanisha nini mkuu.

[emoji16] [emoji16] [emoji95] [emoji95] [emoji379]
 
mkuu, haujatumbuliwa kweli?

hakikisha umelog-out kwenye computer ya offis
 
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji86] [emoji86]
Unasema sijaelewa umemaanisha nini mkuu.

[emoji16] [emoji16] [emoji95] [emoji95] [emoji379]
Watu wote waliowahi kuniambia nitakufa na kutaja muda, wamekufa wote wao na kuniacha mimi, sasa sidhani kama na wewe utaliepuka hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…