Kwaherini

Duh hiyo si karibu na kuzimia? Huwa wana dispensary au? Nilifika pale zamani sana wakati dada yangu yupo chuo 78 alikuwa hall 6 mimi ujue sipajui hapo maana hata wanangu hawajasoma hapo na watoto wa ndugu wengi wamesoma nje. Ningemtuma levina aje kukuona ila naona nayeye ni mawenge kama mimi.
 
Ninachojiuliza inakuwaje bado naendelea kukuona au ulikuwa unatingisha kibiriti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…