Means kuanzia sasa ni sawa mabasi toka mokoani yasomeke. Mwanza - Ubungo.
MBEYA - UBUNGO, SONGEA-UBUNGO- ARUSHA-UBUNGO- BUKOBA-UBUNGO TANGA-UBUNGO-MTWARA...nk
Aiseee
Haha sio ubungo bali Mwanza - Mbezi Luis, Mbeya - Mbezi Luis, Bukoba - Mbezi Luis π€π€Means kuanzia sasa ni sawa mabasi toka mokoani yasomeke. Mwanza - Ubungo.
MBEYA - UBUNGO, SONGEA-UBUNGO- ARUSHA-UBUNGO- BUKOBA-UBUNGO TANGA-UBUNGO-MTWARA...nk
Aiseee
Tutahakikisha Dodoma inaizidi DsmWakuu Maisha yanabadilika sana...
Haha sio ubungo bali Mwanza - Mbezi Luis, Mbeya - Mbezi Luis, Bukoba - Mbezi Luis π€π€
Hizi ni ndoto za mchana,Tutahakikisha Dodoma inaizidi Dsm
Hivi mawazo ya jiwe unayafahamu lakini ?Hizi ni ndoto za mchana,
Kuna ahadi ilitolewaga,maskini kuishi kama mashetani,sijui ndio hii
Kama ndio hii,kuna mtu kapotoka
Aisee wallah hakuna anayejua,Hivi mawazo ya jiwe unayafahamu lakini ?
Tanga - ilala. Mwanza - ilalaMeans kuanzia sasa ni sawa mabasi toka mokoani yasomeke. Mwanza - Ubungo.
MBEYA - UBUNGO, SONGEA-UBUNGO- ARUSHA-UBUNGO- BUKOBA-UBUNGO TANGA-UBUNGO-MTWARA...nk
Aiseee
ππππ
Na Mwanagati boss wangu π π π πJamaa wa Banana, Ukonga, Kitunda hadi kinyantila wako Jijini yaani hao ndio watu wa mjini watu wa upanga, kino yote, Sinza yote hao wako manispaa
Nipo ndani humo mwana Daresalamu, Masaki,Kino huko manispaa nshawakimbia tutaonana nikifika kuogelea hapo Coco[emoji109],Prezidaa kongolee
Kitunda Kivule Ni Jijini
Ni banana tu na segerea kuna kila kitu hapo hujafika Chanika wala Masaki yetu huku Pwani.Mkuu upo jijini mambo ya manispaa hauyataki kabisa
π πππ€£π€£π€£πππππ πππ€£πNi katikati ya jiji Dar Central usituchukulie poa, Njoo utembee Na kuona japo Airport π.