Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamiicheck mko slow sana kuondoa fake news humu..... toka lini kamati kuu ijadili kwa whatsapp wakati kuna office na zoomNimeshitushwa na kushangazwa kwamba eti maandamano watu wanallipana posho? Hii ni kali na maajabu aisee
Ona hiyo attachment hapo chini.
View attachment 2894286
Umeona eeh!! Niliipendaga sana cdm ila silu hiz naona inanichosha tu .wote wezi hawana tofaut na ccmHii nchi pande zote mbili ni wapigaji tu
Tena bora Cha kijani kuliko hao wa maandamano....
Ndio mjione msivyo na akili, CCM inawalisha ujinga inavyotaka na mlivyo mazuzu kwenye magroup ya CCM mnatumiana huu upuuzi.Bilioni Moja na ushee kulipa madeni yaliyokopwa! Mkopeshaji mkuu Mwenyekiti!?
Usishangae kuikuta Facebook mdau wa JF anasema!😀😀Jamiicheck mko slow sana kuondoa fake news humu..... toka lini kamati kuu ijadili kwa whatsapp wakati kuna office na zoom
Mbona wapo wajinga wameamini? Angalia post za hapo juu! Kuwepo kwao JF kwa muda mrefu wengine hakujawasaidia upevuka akili hasa hao wafuasi wa mbogamboga!Huyo aliyetengeneza hiyo chat ni punguani hasa. Yaana anaamini kuna mwenye akili timamu atadanganyika? Kweli CCM imebeba wajinga wengi. Na huyu aliyeitengeneza hii chat anajiona ametumia akili sana?
Kwani huyo Mwashambwa unamuweka kundi gani? Huyo ndio lile kundi la pro zombies ambao kwao ufahamu ni zero.Strange logic. Bw Mwashambwa nilitarajia ungekanusha kwamba CCM haina upuuzi huo kabisa. Sasa wewe CCM kulinganishwa na CHADEMA na kupewa “unafuu” unaona raha kabisa!
Anyway, the stuff is obviously fake.
Nimeshitushwa na kushangazwa kwamba eti maandamano watu wanallipana posho? Hii ni kali na maajabu aisee
Ona hiyo attachment hapo chini.
View attachment 2894286
NI furaha Kwa CCM kutawala maiti kama hizo hazijui lolote zaidi ya kumezeshwa propaganda uchwara na kupayuka kama mazuzu.Kwani huyo Mwashambwa unamuweka kundi gani? Huyo ndio lile kundi la pro zombies ambao kwao ufahamu ni zero.
Mwenezi type
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mbona ipo hukoUsishangae kuikuta Facebook mdau wa JF anasema![emoji3][emoji3]
Wizi kila mmoja utamuona mwizzi tuu.Mbowe noma sana.. eti IMEKAA POA.. 😄😄 Na atakuwa kapiga hela mingi kwasababu lazima aingize majina ya wale watoto wake kwenye mgawo wa posho.
Kwa hiyo nyie kila mnachofanya huwa mpo kazini kurafuta pesa?Ukizoea
Wizi kila mmoja utamuona mwizzi tuu.
Ivi hapo lumumba kuna aliyemsafi kweli hata wa kumuita mwingine mwizi kweli?
Ipo hivi wakienda kwenye maandamano wanaenda FIELD so kama muongozo wa taasisi ni kwamba watu wakienda field walipwe allowances cha ajabu nn hapo?
Acha ujinga wewe. Siwezi jadili issue za msingi naa CHAWA MM. Umejingishwa nawe ukakubali kuwa mjinga tena wa kihalaikiKwa hiyo nyie kila mnachofanya huwa mpo kazini kurafuta pesa?
Hahahahha punguza hasira wewe nyumbu.Acha ujinga wewe. Siwezi jadili issue za msingi naa CHAWA MM. Umejingishwa nawe ukakubali kuwa mjinga tena wa kihalaiki
Mimi siyo nyumbu, kasuku wala chawa. Nilienda shule nikasoma na kuelimika ndo maana najua kuchambua ukweli na uongo na chawa na binaadam.Hahahahha punguza hasira wewe nyumbu.
Si uli watu waone eti bado chama kikohai na ndo ulaghai wa mboweNimeshitushwa na kushangazwa kwamba eti maandamano watu wanallipana posho? Hii ni kali na maajabu aisee
Ona hiyo attachment hapo chini.
View attachment 2894286
Wanatumia nguvu kubwa ili kuonyesha watu kuwa bado chama kiko hai na kina kubalikaHii nchi pande zote mbili ni wapigaji tu
Tena bora Cha kijani kuliko hao wa maandamano....
Kumbe hasira zako wewe nyumbu ni yule kijana mdogo kujengewa nyumba?Mimi siyo nyumbu, kasuku wala chawa. Nilienda shule nikasoma na kuelimika ndo maana najua kuchambua ukweli na uongo na chawa na binaadam.
Mfno Tanzania ina watoto yatima zaidi ya ml2. Kuna mmoja kaonekana anauzu sijui nn huko? Badala ya kuanzia kwa afisa anayehusika wajinga wenzio wakiongozwa na Joyce wowowo/ BASHITE hao hadi nyumbani kwa muhusika.
Huku inaamriwa ajengewe numba.
Nawe unakenua midomo na kukata mauno kama bi khadija kopa akiwa chimwaga
Bora kuwa nyumbu kuliko kuwa JUHA kama wewe
Sina shida na kujenga au kutokujengewe nyumba? Nahoji kuhusu utaratibu uliotumika kumjengea nyumba.Kumbe hasira zako wewe nyumbu ni yule kijana mdogo kujengewa nyumba?