Kwahiyo Dua za Yanga ni za upande mmoja tu, Waluteri na Wakatoliki au hata Mwamposa hawamo?

Kwahiyo Dua za Yanga ni za upande mmoja tu, Waluteri na Wakatoliki au hata Mwamposa hawamo?

Naamini kabisa wanaozifanya hizi dini zionekane mara ushoga mara ugaidi ni viongozi wa dini kupotosha baadhi ya maneno labda kwa manufaa yao...nakumbuka siku moja nilipanda gari ya ya mizigo kutoka dodoma naelekea mtwara baada ya muda wale jamaa ambao ni dereva na utingo wake ambao ni warangi wakaweka mahubiri ya roggo yale yanayodai wakristo wauawe popote pale na huku anadai vijana wa kenya waislamu waende Somalia kupigana jihadi kiukweli nilibishana nao sana wao wakawa wanadai wasio waislamu inabidi wauawe bila huruma,,,nikajua viongozi wa dini baadhi wanapotosha hizi imani
الْيَوْمَ أُحِلَّ لَكُمُ الطَّيِّبَاتُ ۖ وَطَعَامُ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حِلٌّ لَكُمْ وَطَعَامُكُمْ حِلٌّ لَهُمْ ۖ وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ الْمُؤْمِنَاتِ وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ مِنْ قَبْلِكُمْ إِذَا آتَيْتُمُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ مُحْصِنِينَ غَيْرَ مُسَافِحِينَ وَلَا مُتَّخِذِي أَخْدَانٍ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِالْإِيمَانِ فَقَدْ حَبِطَ عَمَلُهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ
Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri. Na chakula cha walio pewa Kitabu ni halali kwenu, na chakula chenu ni halali kwao. Na pia wanawake wema miongoni mwa Waumini, na wanawake wema miongoni mwa walio pewa Kitabu kabla yenu, mtakapo wapa mahari yao, mkafunga nao ndoa, bila ya kufanya uhasharati wala kuwaweka kinyumba. Na anaye kataa kuamini bila shaka a´mali yake imepotea, naye katika Akhera atakuwa miongoni mwa wenye khasara.

Waliopewa kitabu ni wakiristo na wayahudi,ikiwa vyakula vyao na wanawake wao wema ni halali,Hilo la kuwaua linatoka wapi!?
 
Nadhan kila timu Ina tamaduni na mapokeo yake, mazembe wao huanzia kanisani kwa Ibada ya Misa na msimu ukiisha huwaga wanarud kushukuru bila kujali matokeo, kwa hapa kwetu simba na yanga wamekua na utamaduni wa kufanya dua ya kiislamu kitu ambacho si dhambi, kwa mtu anaejua historia ya vilabu hivi, kule Argentina timu ya taifa inajiita "timu ya papa" na hakuna shida yoyote, basi kwa vile sote ni ndugu na Mungu wetu ni mmoja, hakuna haja ya kulumbana, kikubwa dua/Sala/maombi yamefanyika, sote tuseme "Amina" "Bwana asikie maombi yetu"
 
Nadhan kila timu Ina tamaduni na mapokeo yake, mazembe wao huanzia kanisani kwa Ibada ya Misa na msimu ukiisha huwaga wanarud kushukuru bila kujali matokeo, kwa hapa kwetu simba na yanga wamekua na utamaduni wa kufanya dua ya kiislamu kitu ambacho si dhambi, kwa mtu anaejua historia ya vilabu hivi, kule Argentina timu ya taifa inajiita "timu ya papa" na hakuna shida yoyote, basi kwa vile sote ni ndugu na Mungu wetu ni mmoja, hakuna haja ya kulumbana, kikubwa dua/Sala/maombi yamefanyika, sote tuseme "Amina" "Bwana asikie maombi yetu"
Utamaduni unaweza kubadilishwa.
 
الْيَوْمَ أُحِلَّ لَكُمُ الطَّيِّبَاتُ ۖ وَطَعَامُ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حِلٌّ لَكُمْ وَطَعَامُكُمْ حِلٌّ لَهُمْ ۖ وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ الْمُؤْمِنَاتِ وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ مِنْ قَبْلِكُمْ إِذَا آتَيْتُمُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ مُحْصِنِينَ غَيْرَ مُسَافِحِينَ وَلَا مُتَّخِذِي أَخْدَانٍ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِالْإِيمَانِ فَقَدْ حَبِطَ عَمَلُهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ
Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri. Na chakula cha walio pewa Kitabu ni halali kwenu, na chakula chenu ni halali kwao. Na pia wanawake wema miongoni mwa Waumini, na wanawake wema miongoni mwa walio pewa Kitabu kabla yenu, mtakapo wapa mahari yao, mkafunga nao ndoa, bila ya kufanya uhasharati wala kuwaweka kinyumba. Na anaye kataa kuamini bila shaka a´mali yake imepotea, naye katika Akhera atakuwa miongoni mwa wenye khasara.

Waliopewa kitabu ni wakiristo na wayahudi,ikiwa vyakula vyao na wanawake wao wema ni halali,Hilo la kuwaua linatoka wapi!?
Ni sura gani umeinukuu?
 
Back
Top Bottom