Kwahiyo George Mpole ni zaidi ya Sadio Mane na Lukaku

Kwahiyo George Mpole ni zaidi ya Sadio Mane na Lukaku

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Ndiyo George Mpole kamaliza ligi na magoli 17 kwenye ligi yetu madafu wakati Sadio Mane kaishia goli 16 na lukaku hata magoli kumi hakufikisha EPL

Imeibuka tabia isiyo ya kiungwana ya kulinganisha wachezaji waliotokea ligi za maana na takwimu za wachezaji wa ligi yetu ya madafu.

Unakuta mtu anachukua takwimu za mchezaji kama KAMBOLE kutoka Kaizer chiefs analinganisha na yule mnigeria wa kitanga

Au Takwimu za FUNDI Gael Bigirimana (pichani) aliyecheza EPL wanamlinganisha na vitu vya kijinga
NAOMBA TUHESHIMIANE

gettyimages-153616878-612x612.jpg
 
🤣🤣🤣🙌 dah ila nchi hii kuna mahala kuna tatizo.
 
Mimi nasubiri tu msimu mpya wa ligi ya ndani na ile ya Kimataifa uanze, ili haya mabishano ya kipuuzi yaishe.
 
Huyo pichani wa kucheza mechi mbili akiwa nyukesto au mwingine? Reject wa ulaya ila lulu utopoloni eeh?
 
Huyo pichani wa kucheza mechi mbili akiwa nyukesto au mwingine? Reject wa ulaya ila lulu utopoloni eeh?
kila kitu kilichotumika ulaya Afrika bado ni lulu,wewe hujaona magari used,nguo za mitumba,mashine za kila aina na hata treni za SGR juzi tumemsikia mheshimiwa rais akisema tutaanza na za mitumba.Marekani na China mpira wa miguu ulikuwa hauchezwi sana na ligi zao zilikuwa dhaifu sana kuliko ligi yetu lakini kwa kuwatumia wachezaji waliostaafu ulaya na kuwasajili kwenye ligi zao sasa hivi mpira wa nchi hizo umekuwa sana na hatuwezi tena kulinganisha ligi zao na ya kwetu.
 
kila kitu kilichotumika ulaya Afrika bado ni lulu,wewe hujaona magari used,nguo za mitumba,mashine za kila aina na hata treni za SGR juzi tumemsikia mheshimiwa rais akisema tutaanza na za mitumba.Marekani na China mpira wa miguu ulikuwa hauchezwi sana na ligi zao zilikuwa dhaifu sana kuliko ligi yetu lakini kwa kuwatumia wachezaji waliostaafu ulaya na kuwasajili kwenye ligi zao sasa hivi mpira wa nchi hizo umekuwa sana na hatuwezi tena kulinganisha ligi zao na ya kwetu.
Ni sawa ila sio bidhaa reject Hata huku Tz kuna magari used hayapitishwi bandarini labda kwa faini ndefu kwa sababu ni reject hayafai kwa matumizi ya binadamu. Kinachosikitisha huyo reject wenu mnavompamba utafikiri mlivunja mkataba kumbe alikosa hata timu ya daraj a la tatu. Injinia amewashika makalio
 
Back
Top Bottom