Kwahiyo Hasira za Kumkosa kwa Umafia mliofanyiwa ndiyo mmeamua Kuwachochea Al Hilal FC Wawashtaki FIFA Wachezaji?

Kwahiyo Hasira za Kumkosa kwa Umafia mliofanyiwa ndiyo mmeamua Kuwachochea Al Hilal FC Wawashtaki FIFA Wachezaji?

Yanga haikuwa inamuhitaji Fabrice Ngoma na wala hakukuwa naUmafia wowote. Yanga ilianza kuongea na Menejiment ya Ngoma zamani kabla ya Simba, ila sasa baada ya kupata taarifa zake za injury za mara kwa mara, ikaachane naye. Yanga ingemtaka Ngoma asingeenda Simba; na hata baada ya kufuatwa na Simba bado Angoma alitaka kujua hatima yaker Yanga, na akaambiwa kuwa aendelee tu na Simba.
Acha uongo mkuu,yanga walimhitaji ngoma habari tunazo tangu zamani sana,kilichomkatisha ngoma kuja yanga ni baada ya kuskia yanga wana ban ya fifa kusajili,sasa sio lazima kila kitu mbishe ,haya mambo ya hijack yapo tu,mbona inonga mliporwa,bwalya mliporwa,na nyie mkawapora simba mbuyu twite sasa cha ajabu nini hapo.
 
Acha uongo mkuu,yanga walimhitaji ngoma habari tunazo tangu zamani sana,kilichomkatisha ngoma kuja yanga ni baada ya kuskia yanga wana ban ya fifa kusajili,sasa sio lazima kila kitu mbishe ,haya mambo ya hijack yapo tu,mbona inonga mliporwa,bwalya mliporwa,na nyie mkawapora simba mbuyu twite sasa cha ajabu nini hapo.
Wewe ndiye unayejitungia mzee. Yanga wana scout team nzuri sana. Walipoanza mazungumzo naye wakatafuta references za siri na kugundua kuwa mchezaji amekuwa anacheza asimilia 33 tu ya msimu, huku asilimia nyingine 67 akiwa majeruhi; mwili wake uko susceptible kwa majeraha sana. Wakikumbuka jinsi Morrison alivyowapa hasara msimu uliopita, hawakutaka kurudia makosa hayo tena. Furahini mmempata ila msituletee kelele wakati msimu ukianza. Scouting ya wachezaji ni jambo linalotakiwa kufanyika kwa makini kuliko kukurupukia. Sasa hivi kuna usajiri mwingine wa Onana ambaye naye alitumia muda mwingi kutibu majeraha huko Rwanda kwenye ligi ambayo haina presha kama ya Tanzania.
 
Wewe ndiye unayejitungia mzee. Yanga wana scount team nzuri sana. Walipoanza mazungumzo naye wakatafuta references za siri na kugundua kuwa mchezaji amekuwa anacheza asimilia 33 tu ya msimu, huku asilimia nyingine 67 akiwa majeruhi; mwili wake uko susceptible kwa majeraha sana. Wakikumbuka jinsi Morrison alivywapa hasara msimu uliopita, hawakutaka kurudia makosa hayo tena. Furahini mmempata ila msituletee kelele wakati msimu ukianza. Scouting ya wachezaji ni jambo linalotakiwa kufanyika kwa makini kuliko kukurupukia. Sasa hivi kuna usajiri mwingine wa Onana ambaye naye alitumia muda mwingi kutibu majeraha huko Rwanda kwenye ligi ambayo haina presha kama ya Tanzania.
Endeleeni kujipa pole manake maumivu ya kuibiwa mchezaji namba 6 nayo ni magumu,ila msijali ni kawaida tuu,afu kuhusu fundi wa soka onana,tulieni kwanza msiwe na presha ya kujaji jaji mapeema,mtakuja kuumbuka ohooo.
 
Endeleeni kujipa pole manake maumivu ya kuibiwa mchezaji namba 6 nayo ni magumu,ila msijali ni kawaida tuu,afu kuhusu fundi wa soka onana,tulieni kwanza msiwe na presha ya kujaji jaji mapeema,mtakuja kuumbuka ohooo.
Tusubiriane hadi msimu uanze ndipo utatambua ubora wa timu ya scouting ya Yanga.
 
Acha uongo mkuu,yanga walimhitaji ngoma habari tunazo tangu zamani sana,kilichomkatisha ngoma kuja yanga ni baada ya kuskia yanga wana ban ya fifa kusajili,sasa sio lazima kila kitu mbishe ,haya mambo ya hijack yapo tu,mbona inonga mliporwa,bwalya mliporwa,na nyie mkawapora simba mbuyu twite sasa cha ajabu nini hapo.
Ban ya Fifa kwa hiyo Kibabage kasajiliwa Kitayose
 
Nadhani huwa mnakosea kumchokoza,hekima na busara ingetumika sio vzr kumdhihaki mtu afu akikurudi mara 10 unakalia kilalamika,nadhani mnapaswa kuwa waangalifu.
Huyu ndugu yako ana matatizo. Sema tu hujamgundua.
 
Endeleeni kujipa pole manake maumivu ya kuibiwa mchezaji namba 6 nayo ni magumu,ila msijali ni kawaida tuu,afu kuhusu fundi wa soka onana,tulieni kwanza msiwe na presha ya kujaji jaji mapeema,mtakuja kuumbuka ohooo.
Kumbe wewe ndio mbumbumbu kaabisa, namba moja, huyo namba 6 anatoka Asec mimosa Abidjan.
 
Back
Top Bottom