Kwahiyo Matola yeye bado yupo Simba?

Kwahiyo Matola yeye bado yupo Simba?

Kwahiyo Matola akiondoka ndo Simba itabeba makombe? Mbona watu weusi tuna akili ndogo sana, huyu muhindi acha aendelee kupiga pesa tu kama akili ndo hizi alafu ataendelea kutwambia anapata hasara
 
Kwahiyo Matola akiondoka ndo Simba itabeba makombe? Mbona watu weusi tuna akili ndogo sana, huyu muhindi acha aendelee kupiga pesa tu kama akili ndo hizi alafu ataendelea kutwambia anapata hasara
Kwanini anabaki?
 
Uongozi wa Simba Sc unachosha sana akili za mashabiki, hawajielewi wala hawajui wanachofanya, wapo wapo tu.
 
Makocha wa bei mbaya wanawekeana vipengele vingi kwenye mikataba yao.
Matola ni mtoto wa nyumbani, sidhani kama anavuta hata 20m mshahara.
Mwacheni achote mbinu za makocha wanaokuja na kupita.
Huyu ndiye xabi Alonso ajaye.
Hata 5m hagusi.
 
makocha wasaidizi wameenda na benchika kumsaidia kumuuguza shemeji yao, ulitaka matola nae aende?
Na yeye si yupo kwenye benchi la ufundi anabakije ..nayeye aende akauguze Shemeji yake...
 
Makocha wa bei mbaya wanawekeana vipengele vingi kwenye mikataba yao.
Matola ni mtoto wa nyumbani, sidhani kama anavuta hata 20m mshahara.
Mwacheni achote mbinu za makocha wanaokuja na kupita.
Huyu ndiye xabi Alonso ajaye.
Matola ana umri gani na Alonso ana umri gani?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo Matola akiondoka ndo Simba itabeba makombe? Mbona watu weusi tuna akili ndogo sana, huyu muhindi acha aendelee kupiga pesa tu kama akili ndo hizi alafu ataendelea kutwambia anapata hasara
Mbona akina Mkwasa, Mwambusi hawajabakishwa Yanga mpaka sasa? Nani alijua hao wakiondoka yanga itachukua makombe? Viongozi,makocha kujiuzuru ni maisha ya kawaida ya waliostaarabika kama mambo hayaendi. Ila wewe unatetea watu wang'ang'anie majukumu hata kama mambo hayaendi eti kisa ajae hamna uhakika wa kuchukua makombe. Sasa hiyo ndio akili ya mtu mweusi.
 
Mbona akina Mkwasa, Mwambusi hawajabakishwa Yanga mpaka sasa? Nani alijua hao wakiondoka yanga itachukua makombe? Viongozi,makocha kujiuzuru ni maisha ya kawaida ya waliostaarabika kama mambo hayaendi. Ila wewe unatetea watu wang'ang'anie majukumu hata kama mambo hayaendi eti kisa ajae hamna uhakika wa kuchukua makombe. Sasa hiyo ndio akili ya mtu mweusi.
Sasa kwanini aondoke? Yaani ana kosa gani hadi afukuzwe? Je, unayajua majukumu yake?
 
Haya bhana, kila la heri, kocha wa ngapi sijui huyu anaondoka lakini Matola kabaki kisiki cha mpingo.

Ngoja tuone .
Matola hawezi kuondoka sababu Simba ni timu ya wahuni tuuu..
Viongozi wamemuweka pale awe mmbea wa kupeleka maneno na kuhakikisha wachezaji wao wa 10% wanacheza.
Pia kutengeneza kikundi cha wachezaji wachache ambao watakuwa wanapokea maelekezo ya hao viongozi wapiga dili!
 
Kila mara huyo jamaa na mgunda wanabaki why wasitafte timu nyingine za ligi kuonesha uwezo wao na kupata changamoto zaidi.. hovyo kweli
Wewe kwenye Mshahara wa Milioni 5 kwa Mwezi na ule wa Laki 2 ya Mafungu Mafungu na Posho hakuna ungeenda wapi?
 
Haya bhana, kila la heri, kocha wa ngapi sijui huyu anaondoka lakini Matola kabaki kisiki cha mpingo.

Ngoja tuone .
UNATAKA AJE KWAKO? SI AMEOA YULE? NYIE WANAWAKE HAMJUI WANAUME TUNAPAMBANA VIPI MNAKUWA TU NA WIVU NA MAJUNGU
 
Sasa kwanini aondoke? Yaani ana kosa gani hadi afukuzwe? Je, unayajua majukumu yake?
Majukumu yake ni ukocha na amekuwemo mara kadhaa kwenye mabenchi yaliyo feli ,sasa kwanini abaki?
 
Back
Top Bottom