Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Inyala pasikieni tu ila lile eneo ni hatari. Mwaka 2019 nimepoteza jamaa yangu pale kwa ajali gari ilifeli brake bomba la mafuta ikaenda kuchegama kwenye kingo za bomba la mafuta. Jamaa ndio ivyo alikufa akiwa bado kijana.
Pamechukua uhai wa watu wengi sana.
Pamechukua uhai wa watu wengi sana.