Kwahiyo Mbeya na Songwe utaratibu ni kupaki barabarani kupeana zamu ya kupita?

Inyala pasikieni tu ila lile eneo ni hatari. Mwaka 2019 nimepoteza jamaa yangu pale kwa ajali gari ilifeli brake bomba la mafuta ikaenda kuchegama kwenye kingo za bomba la mafuta. Jamaa ndio ivyo alikufa akiwa bado kijana.

Pamechukua uhai wa watu wengi sana.
 
Hiyo iwe hatua ya muda mfupi sana. Serikali inatakiwa itengeneze hilo eneo. Fedha wanazo lakini hawajali. Kazi kusafiri kwenye business class na kukaa hotel kubwa kubwa. Na kuendesha magari ya kifahari.
Mkuu ipo plan ya kupanua hii barabara kutoka Igawa mpaka Tunduma njia nne. Ila hiyo ni plan ya muda mrefu sijui utekelezaji wake utachukua muda gani.

Kiukweli hii barabara ya Igawa-Tunduma ni aibu
 
Pole sana mkuu
 
Mkuu ipo plan ya kupanua hii barabara kutoka Igawa mpaka Tunduma njia nne. Ila hiyo ni plan ya muda mrefu sijui utekelezaji wake utachukua muda gani.

Kiukweli hii barabara ya Igawa-Tunduma ni aibu
Asante mkuu kwa taarifa. Ila ilitakiwa iwe jambo la dharura kwani kulingana na maelezo ya jamaa, watu wanapoteza muda mrefu hapo. Fedha zipo ila ni mpango mbovu tu wa vipaumbele. Au hata wangeanza na sehemu zilizo korofi.
 
Asante mkuu kwa taarifa. Ila ilitakiwa iwe jambo la dharura kwani kulingana na maelezo ya jamaa, watu wanapoteza muda mrefu hapo. Fedha zipo ila ni mpango mbovu tu wa vipaumbele. Au hata wangeanza na sehemu zilizo korofi.
Mkuu unachosema ni kweli lakini serikali yetu unaifahamu vizuri too formalities. Barabara tu ya Nsalaga mpaka Ifisi walishawekeana sahihi ianze kujengwa toka mwanzoni mwa mwaka huu 2023 mpaka leo hakuna kinachoendelea.
 
Mbeya ilitakiwa iwe jiji mwaka 2030
 
Babu nakuaminia lala nayo...hapo ndio mahala pake
 
Uamuzi mzuri sana. Ungetumika na Kitonga!
Kitonga sasa hivi hawaruhusu ku overtake, foleni yake ni masaa mawili wakati wa kupanda zile km 8.

Siku ukisafiri uje useme kama lile ni jambo zuri.
 
Kitonga sasa hivi hawaruhusu ku overtake, foleni yake ni masaa mawili wakati wa kupanda zile km 8.

Siku ukisafiri uje useme kama lile ni jambo zuri.
Hapo waboreshe!!! Kupanda zipande lanes zote mbili kushuka hivyo hivyo.

Pia serikali ifikirie kutengeneza barabara ya andaki kwa kutoboa mlima huo au iweke njia nne hizo kilomita 8!
 
Hapo waboreshe!!! Kupanda zipande lanes zote mbili kushuka hivyo hivyo.
Ukifanya hivi watu watasubiria sana maana km 8 sio mchezo kwa malori.
Pia serikali ifikirie kutengeneza barabara ya andaki kwa kutoboa mlima huo au iweke njia nne hizo kilomita 8!
Kutoboa sijui gharama zitakuwaje. Wana plan ya kuwa na barabara nyingine inayopitia ifakara na haitapita mikumi wala kitonga.
 
Ukifanya hivi watu watasubiria sana maana km 8 sio mchezo kwa malori.

Kutoboa sijui gharama zitakuwaje. Wana plan ya kuwa na barabara nyingine inayopitia ifakara na haitapita mikumi wala kitonga.
Hiyo Ifakara kama itafupisha safari litakuwa jambo jema. Lakini, kule Kuna mlima wa kupanda kUelekea Kwiro Secondary...mlima hatari sana huo...unahitaji maarifa mengi!
 
Nakuunga mkono mkuu. Hakuna kitu kibaya kama uvivu wa kufikiri.
 
Hiyo Ifakara kama itafupisha safari litakuwa jambo jema. Lakini, kule Kuna mlima wa kupanda kUelekea Kwiro Secondary...mlima hatari sana huo...unahitaji maarifa mengi!
Sipafahamu ifakara ila inawezekana umbali ukaongezeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…