Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mkuu ipo plan ya kupanua hii barabara kutoka Igawa mpaka Tunduma njia nne. Ila hiyo ni plan ya muda mrefu sijui utekelezaji wake utachukua muda gani.Hiyo iwe hatua ya muda mfupi sana. Serikali inatakiwa itengeneze hilo eneo. Fedha wanazo lakini hawajali. Kazi kusafiri kwenye business class na kukaa hotel kubwa kubwa. Na kuendesha magari ya kifahari.
Pole sana mkuuInyala pasikieni tu ila lile eneo ni hatari. Mwaka 2019 nimepoteza jamaa yangu pale kwa ajali gari ilifeli brake bomba la mafuta ikaenda kuchegama kwenye kingo za bomba la mafuta. Jamaa ndio ivyo alikufa akiwa bado kijana.
Pamechukua uhai wa watu wengi sana.
Barabara haina hadhi kabisa. Mbeya mjini mpaka leo barabara ni ile ile ya one way.Mkuu ipo plan ya kupanua hii barabara kutoka Igawa mpaka Tunduma njia nne. Ila hiyo ni plan ya muda mrefu sijui utekelezaji wake utachukua muda gani.
Kiukweli hii barabara ya Igawa-Tunduma ni aibu
Asante mkuu kwa taarifa. Ila ilitakiwa iwe jambo la dharura kwani kulingana na maelezo ya jamaa, watu wanapoteza muda mrefu hapo. Fedha zipo ila ni mpango mbovu tu wa vipaumbele. Au hata wangeanza na sehemu zilizo korofi.Mkuu ipo plan ya kupanua hii barabara kutoka Igawa mpaka Tunduma njia nne. Ila hiyo ni plan ya muda mrefu sijui utekelezaji wake utachukua muda gani.
Kiukweli hii barabara ya Igawa-Tunduma ni aibu
Shukrani mkuu. YameshapitaPole sana mkuu
Mkuu unachosema ni kweli lakini serikali yetu unaifahamu vizuri too formalities. Barabara tu ya Nsalaga mpaka Ifisi walishawekeana sahihi ianze kujengwa toka mwanzoni mwa mwaka huu 2023 mpaka leo hakuna kinachoendelea.Asante mkuu kwa taarifa. Ila ilitakiwa iwe jambo la dharura kwani kulingana na maelezo ya jamaa, watu wanapoteza muda mrefu hapo. Fedha zipo ila ni mpango mbovu tu wa vipaumbele. Au hata wangeanza na sehemu zilizo korofi.
Huko ndiko huko kwao huyu ChoiceVariable ambaye anasema ni bora kuliko Dodoma, Tanga na Arusha!Barabara haina hadhi kabisa. Mbeya mjini mpaka leo barabara ni ile ile ya one way.
Mbeya ilitakiwa iwe jiji mwaka 2030Mpango wa muda mrefu ni serikali kujenga barabara nyingine Kwa maana ya kuipanua ili iwe njia nne na tayari kazi imeanza. Mpangomwa dharura ili kunusuru maisha ya watu kuwa na zamu ya foleni kati ya magari makubwa (malori) na magari ya abiria. Tangu utaratibu huu uanze hali ya ajali imepungua sana.
Kwenye barabara kuu mbeya viongozi walilala, mipango miji walishajifia.Huko ndiko huko kwao huyu ChoiceVariable ambaye anasema ni bora kuliko Dodoma, Tanga na Arusha!
We Kwa akili Yako ya kinyumbu unaweza linganishwa maisha ya Mbeya na takataka za Mikoa gani ukiacha Iringa?Huko ndiko huko kwao huyu ChoiceVariable ambaye anasema ni bora kuliko Dodoma, Tanga na Arusha!
Kitonga sasa hivi hawaruhusu ku overtake, foleni yake ni masaa mawili wakati wa kupanda zile km 8.Uamuzi mzuri sana. Ungetumika na Kitonga!
Hapo waboreshe!!! Kupanda zipande lanes zote mbili kushuka hivyo hivyo.Kitonga sasa hivi hawaruhusu ku overtake, foleni yake ni masaa mawili wakati wa kupanda zile km 8.
Siku ukisafiri uje useme kama lile ni jambo zuri.
Ukifanya hivi watu watasubiria sana maana km 8 sio mchezo kwa malori.Hapo waboreshe!!! Kupanda zipande lanes zote mbili kushuka hivyo hivyo.
Kutoboa sijui gharama zitakuwaje. Wana plan ya kuwa na barabara nyingine inayopitia ifakara na haitapita mikumi wala kitonga.Pia serikali ifikirie kutengeneza barabara ya andaki kwa kutoboa mlima huo au iweke njia nne hizo kilomita 8!
Hiyo Ifakara kama itafupisha safari litakuwa jambo jema. Lakini, kule Kuna mlima wa kupanda kUelekea Kwiro Secondary...mlima hatari sana huo...unahitaji maarifa mengi!Ukifanya hivi watu watasubiria sana maana km 8 sio mchezo kwa malori.
Kutoboa sijui gharama zitakuwaje. Wana plan ya kuwa na barabara nyingine inayopitia ifakara na haitapita mikumi wala kitonga.
Nakuunga mkono mkuu. Hakuna kitu kibaya kama uvivu wa kufikiri.Afrika hatuna akili za kutatua changamoto zetu. Unaweza kukuta hapo ufumbuzi ni kidogo sana ila hiyo akili hadi tusubiri mtaalamu wa kichina au kizungu aje kuturekebishia.
Hapo utakuta wahusika wamekaa vikao vingi sana vyakulipana posho kuja na huo ufumbuzi ambao kimsingi hauwezi kua ufumbuzi wa kudumu.
Sipafahamu ifakara ila inawezekana umbali ukaongezeka.Hiyo Ifakara kama itafupisha safari litakuwa jambo jema. Lakini, kule Kuna mlima wa kupanda kUelekea Kwiro Secondary...mlima hatari sana huo...unahitaji maarifa mengi!