Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sijui ni kwa nini hakuna Mtu ambaye ameifungukia kesi serikali kwa huu mtindo wa kuwawekea watu ndani bila sababu halafu wanaachiwa bila kesi. Hili likifanyika na serikali ikashindwa hata kama haitalipa itasaidia sana kuokoa dhuluma inayofanywa na Mkoloni CCM dhidi ya raia wema.Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP)anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.
Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?
Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?
Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?
Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?
Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.
Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata mahakama ni zao(iwe kwenye records).
Tawala za CCM ni tawala za dhuluma, uonevu na ukatili uliopitiliza. Ni lazima tutafutte mbinu ya kumaliza huu ukoloni wa mtu mweusi dhidi yetu.Sijui ni kwa nini hakuna Mtu ambaye ameifungukia kesi serikali kwa huu mtindo wa kuwawekea watu ndani bila sababu halafu wanaachiwa bila kesi. Hili likifanyika na serikali ikashindwa hata kama haitalipa itasaidia sana kuokoa dhuluma inayofanywa na Mkoloni CCM dhidi ya raia wema.
Mbowe hata akiachiwa, kamwe hawezi kujipendekeza kwa Samia.Sana sana ataendelea kuongoza mapambano ya kudai katiba mpya akiwa na nguvu na ari mpya kama mtu ambae hata tena cha kupoteza.Hapana, vyema Mbowe akae gerezani mpaka siku ya hukumu mbivu na mbichi zijulikane, kuliko kutolewa ndani kwa msamaha fake ili aje kuwapa political mileage hawa wasanii na igizo lao, huku Mbowe akijikuta anaishi kwa kujipendekeza kwa Samia badala ya kufuata sheria.
Hakuna asiyejua kesi ya Mbowe ni fake, kama wamepanga kumfunga ni bora wamfunge kuliko kumuachia huru halafu kesho waje kumkamata tena akienda kinyume na matakwa yao ya kibabe yasiyofuata sheria.
Wabongo kwa kufoka nyuma ya keyboard hatujambo........ila tukiambiwa sasa tutoke nje tufanye kila tulichopanga kwa vitendo,,,huwezi amini utakacho shuhudiaTawala za CCM ni tawala za dhuluma, uonevu na ukatili uliopitiliza. Ni lazima tutafutte mbinu ya kumaliza huu ukoloni wa mtu mweusi dhidi yetu.
Mwanasiasa makini na aliekomaa, yuko concerned zaidi na political legitimacy aliyonayo kwa umma na sio kiwango cha wananchi wanaoweza kujitokeza kuandamana kumpinga.Wabongo kwa kufoka nyuma ya keyboard hatujambo........ila tukiambiwa sasa tutoke nje tufanye kila tulichopanga kwa vitendo,,,huwezi amini utakacho shuhudia
Niwekee clip ya hotuba yake please, I have missed a piece of important news todayKwaajili ya hii kesi, kwa kweli nimemdharau sana huyu mama. Sijui atafanya nini hata aaminike. Kwenye amethibitisha unafiki, hila, na roho mbaya aliyo nayo.
Itatubidi kufuatilia hata maisha yake ya huko nyuma. Yule baba kila mara kujiweka mbali naye, siyo bure.
Wakati una fadhaa sana!Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.
Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?
Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?
Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?
Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?
Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.
Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).
Nyie vipi?Kwaajili ya hii kesi, kwa kweli nimemdharau sana huyu mama. Sijui atafanya nini hata aaminike. Kwenye amethibitisha unafiki, hila, na roho mbaya aliyo nayo.
Itatubidi kufuatilia hata maisha yake ya huko nyuma. Yule baba kila mara kujiweka mbali naye, siyo bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo kaomba Zitto? Angekuwa balozi mzungu/mtu mweupe Cdm mngemuandika kwa uzuri. Tuache mentality ya kuabudu watu kwa kigezo cha rangi au anapotoka
Mnasema mahakama hamna haki sasa hiyo kesi ataifungulia mahakama gani?Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.
Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?
Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?
Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?
Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?
Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.
Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).
Sio kwa mvua ya matusi mliyopomosha leo kwa Mama Samia, Zitto na kila aliyegusia "huruma ya Mama."Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.
Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?
Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?
Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?
Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?
Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.
Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).