Kwahiyo Mbowe anaweza kufutiwa kesi kwasababu Zitto kamuomba Rais amuachie?

Kwahiyo Mbowe anaweza kufutiwa kesi kwasababu Zitto kamuomba Rais amuachie?

Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.

Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?

Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?

Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?

Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?

Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.

Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).
Mbowe hatoki. SSH kamwambia wazi huyo Mha (Zitto), aache serkali ifanye kazi. SSH hana uwezo wa kuindoa kesi. Kwanza huyo mtoto (Zitto) anakosea kuomba rais aingilie mihimili mingine wakati huo huo akidai utawala bora. Mojawapo ya vigezo vya utawala bora ni uhuru wa mihimili kafanya kazi bila kuingiliwa..sijui Zitto alikuwa kavuta nini mpaka kutoa hilo ombi
 
Huyu mama ana kiburi sana.. nadhani hata wana ccm wanatambua hilo
Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.

Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?

Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?

Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?

Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?

Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.

Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).
 
MaCHADEMA mdharau msidharau mama Samia ndio Rais halali wa Tanzanian sio Mbowe wala Lissu. Wawe na adabu. Wajinga sana na hovyooo kabisa
 
MaCHADEMA mdharau msidharau mama Samia ndio Rais halali wa Tanzanian sio Mbowe wala Lissu. Wawe na adabu. Wajinga sana na hovyooo kabisa
Wewe sukuma gang ndio unamzalau
 
Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.

Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?

Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?

Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?

Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?

Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.

Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).
Hujui? Basi wewe Una matatizo. Samia alipoingia madarakani Mbowe alianza kusumbua na katiba mpya. Mama kichwa kilikuwa hakitulii. Baada ya kuweka ndani masuala ya katiba yakafilia mbali issue ikawa ni Mbowe si gaidi. Kwa sasa kaishakaa sawa anaweza kuhimili vishindo. Hii ni mbinu za kisiasa kwa kiongozi yoyote. Na kweli Samia kafanikiwa
 
Hii kesi ikitokea Mbowe kafutiwa kesi asikubali, anatakiwa ashinde kupitia mfumo huo huo wa mahakama...

Akikubali kufuata maamuzi ya kufutiwa kesi kwa shinikizo la Rais kupitia DPP, basi ataishi kama mtumwa wa kuona pasipo Rais basi maisha yake yaliyobaki yangeishia jela...

Mtazamo tu...
 
Kule ndani ni pazuri akikaa mwenzio,subiri uingie wewe.

Mbowe hasikubali msamaha ni bora ufungwe tu,huu ni ushauri wa sisi mashujaa wa nyuma ya keyboard ambao hatuwezi kuandama kwa kuogopa kipigo cha Mbwa koko kutoka kwa Polisi.
 
Hilo ni igizo la Zitto na serikali!
 
Mbowe hatoki. SSH kamwambia wazi huyo Mha (Zitto), aache serkali ifanye kazi. SSH hana uwezo wa kuindoa kesi. Kwanza huyo mtoto (Zitto) anakosea kuomba rais aingilie mihimili mingine wakati huo huo akidai utawala bora. Mojawapo ya vigezo vya utawala bora ni uhuru wa mihimili kafanya kazi bila kuingiliwa..sijui Zitto alikuwa kavuta nini mpaka kutoa hilo ombi
Pole sana, iwe kwa kufutiwa kesi au kwa kutolewa hukumu ya mahakama, Mbowe atatoka tu muda si mrefu.
Mliobakia mnakosa amani SANA ni wewe na wenzio akina Kingai mliobumba takataka hizi. Maushungi kwa sasa anakimbizana kujisafisha baada kugundua kuwa mlimpandisha kwenye MCHONGOMA. Kudai katiba mpya sio kuvunja sheria wala kukosa heshima.
 
Back
Top Bottom