Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliongea nae au ni assumption tu?Mbowe hata akiachiwa, kamwe hawezi kujipendekeza kwa Samia.Sana sana ataendelea kuongoza mapambano ya kudai katiba mpya akiwa na nguvu na ari mpya kama mtu ambae hata tena cha kupoteza.
Kumjadili yeye sawa ila inafika mahala unajadili mpaka maisha yake binafsi? Na maisha yake ya ndoa pia?Kwaajili ya hii kesi, kwa kweli nimemdharau sana huyu mama. Sijui atafanya nini hata aaminike. Kwenye amethibitisha unafiki, hila, na roho mbaya aliyo nayo.
Itatubidi kufuatilia hata maisha yake ya huko nyuma. Yule baba kila mara kujiweka mbali naye, siyo bure.
Sasa hapa tusi likuwapi?Sio kwa mvua ya matusi mliyopomosha leo kwa Mama Samia, Zitto na kila aliyegusia "huruma ya Mama."
Darcity, Huwa nakuona /nakufikiria kama mtu reasonable, inanipa wasi wasi. The issue is Mbowe is facing trumped charges! Hata angeliomba Mzungu, watu wa kufikiria watapinga maana Mbowe anasingiziwa. Ushahidi wote mpakaa Sasa unaonyesha wazi, hata kwa taahira kuwa Ni wa uongo wa kutunga deliberately! Sasa unasamehe nini!? Anayesamehewa ni yule aliyekosa, think about this contention!Tatizo kaomba Zitto? Angekuwa balozi mzungu/mtu mweupe Cdm mngemuandika kwa uzuri. Tuache mentality ya kuabudu watu kwa kigezo cha rangi au anapotoka
Including you! Ndiyo maana una fake IDWabongo kwa kufoka nyuma ya keyboard hatujambo........ila tukiambiwa sasa tutoke nje tufanye kila tulichopanga kwa vitendo,,,huwezi amini utakacho shuhudia
Iwemo kwenye vitabu pamoja na kujua kuwa hawawezi kuamua kwa hakiMnasema mahakama hamna haki sasa hiyo kesi ataifungulia mahakama gani?
we unajuaje kama hyo ni fake au real......sasa kwa taarifa yako hilo ndo jina langu halisiIncluding you! Ndiyo maana una fake ID
Mbowe hawezi kutoka nje kabisa mpka kesi yake imalizike, na Wala rais hawez kumtoa ndan, maana kilicho mfanya awe hapo Ni sheria, Sasa ikiwa sheria zitaona kuwa hakufanya kosa hyo Ni mahakama Sasa, so ikiwa kutafanyika kosa Kama hlo litakuwa Ni baya mno kuwahi kutokea Toka misingi ya Tanzania kuwekwa,Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.
Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?
Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?
Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?
Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?
Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.
Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).
Bila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.
Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?
Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?
Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?
Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?
Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.
Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).
Yabidi watafute pa kutokea, LA KUBUMBA HALINA UHAIBila shaka hiki ndio kitachofuata wakati wowote kuanzia sasa ambapo Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) anaweza kuifuta hiyo kesi huku Mbowe akiwa ameshapotezewa muda wake mwingi tu na pia serikali imeshaingia gharama kubwa tu kuendesha hii kesi.
Sasa tujiulize,ikitokea hivyo, serikali itakuwa ime-achieve nini?
Na akiachiwa, itakuwa ni kwasababu ya ombi la Zitto?
Je, hii sio itakuwa ni mbinu ya kukwepa aibu kwani siku zote mwisho wa ubaya ni aibu?
Kwahiyo watakuwa wamefanikiwa kukwepa aibu?
Ni wazi watakuwa wamejiumbua tu.
Mbowe akitoka nashauri afungue kesi kudai fidia hata kama mahakama ni zao(iwe kwenye records).
Udini unaingiaje, kichwani umejaza pumba tu, mawazo ya waliofirisika sera kichwan utayajua tu!!Muislamu anamuomba Muislamu mwenzake amtendee haki asiye Muislamu, inapendeza sana.
Kwamba hujui ukaribu wa zitto na ccm au ndio unafiki?!Tatizo kaomba Zitto? Angekuwa balozi mzungu/mtu mweupe Cdm mngemuandika kwa uzuri. Tuache mentality ya kuabudu watu kwa kigezo cha rangi au anapotoka
Tulia we mjane.Nyie vipi?
Si mnapumua nyie? Baada ya kuinewa sana kwa miaka 5?
Naona unaitendea haki buku 7 au inflation index ni tofauti kwa sasa...labda imeongezeka....Mbowe hawezi kutoka nje kabisa mpka kesi yake imalizike, na Wala rais hawez kumtoa ndan, maana kilicho mfanya awe hapo Ni sheria, Sasa ikiwa sheria zitaona kuwa hakufanya kosa hyo Ni mahakama Sasa, so ikiwa kutafanyika kosa Kama hlo litakuwa Ni baya mno kuwahi kutokea Toka misingi ya Tanzania kuwekwa,
Najua mama anapata pressure kubwa, ila aiache mahakama itende kazi, ikitokea vinginevyo mahakama itakuwa imenajisika kwa kiwango kikubwa mno, na huenda Sasa kukawa na imbalance of law,
Y sambaya afungwe na mbowe aachiwe?? Wakati kesi zao zinafana?? Zote Ni za kisiasa?? Acheni Yale mambo yanayosemwa ya @kihuni wao wasubr tu sheria ifanye kazi ili haki itendeke,
Yaan watu waje na ushahidi wa watu 20, watumie gharama kubwa halafu kesi ifutwe kirahisi, wasituletee mambo ya@kihuni..