Kwahiyo Mbowe kumnunulia lissu kiti Moto na bia , mara akiwa musoma alinunua samaki na ugali wa mtama anamaanisha nini?

gwanseri

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
379
Reaction score
1,081
Mbowe kaanza visingizio mapema.
Kwani lissu Kula kitimoto na bia unahusika nini na uchaguzi?
Lissu Kula Sato na ugali wa mtama inakujaje kwenye uchaguzi kwa nini haukusema hayo mapema iweje Leo?
Mbowe atangaze Sera au aseme walikula wote hivyo vyakula, asilete ujanja ujanja kisa uchaguzi
 
Huu uchaguzi, hata kama watu walilishwa tumbili au makagali ya watu watatajana!

Yaani watu badala ya kujikita kwenye hoja , unaleta mambo ya historia ya ushikaji wenu?
 
Lisu alipenda sana kugongea konyagi na visungura vya mbowe.
 
Mbowe apuuzwe hana hoja.Pia ajue wanaume huwa hatutambiani eti rafiki yako uimlisha nk kwani alikuomba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…