Kwahiyo mnataka kumtoa Phiri mnayemchukia kwa Mkopo ili mumlete huyo Mtogo wenu aliyekubali kutoa 10% Kwenu?

Kwahiyo mnataka kumtoa Phiri mnayemchukia kwa Mkopo ili mumlete huyo Mtogo wenu aliyekubali kutoa 10% Kwenu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Salim Abdallah Mhene ' Try Again' Mimi GENTAMYCINE nakuonya kwa mara ya mwisho na huyu Mshambuliaji wangu Kinara na Kwangu Mimi ndiyo namba Moja Simba SC Moses Phiri akitolewa kwa Mkopo au Akiachwa kama ambavyo unapanga na Kushinikiza utanisamehe mno kwani nitaenda Kufunguka mengi yanayokuhusu na unayotufanyia wana Simba SC na mabaya uliyptufanyia wana Simba SC kwa miaka Miwili iliyopita na tukateseka na Kuchekwa mno na wana Yanga SC.

Poti wangu Kaka Crescentius Magori najua Unanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo nakuomba mfikishie Uzi wangu huu Try Again kwani tumeshamvumilia vya Kutosha na asije Kunilaumu / Kutulaumu tunaomjua na tunayoyajua ndani ya Simba SC.

Na huyu Kocha wenu Roberto Oliveira mwambieni aendelee tu kutupangia John Boko wake Mzee, Mcheza Rafu na Aliyechoka huku akimuacha Mshambuliaji Bora na aliyezaliwa Kufunga Magoli Moses Phiri kwa Kupandikizwa Chuki na Kiongozi Mpuuzi ( Mzee wa 10% ) niliyemtaja na Kumuonya hapa.

Na mwambieni Kocha wenu kwa Upuuzi wake huu ama Nyerere Day au Christmas anaweza akakuta zinamkutia Kwao Jijini Rio De Jeneiro na Mswahili Mwenzetu wa Tanga akaliongoza Jahazi.

Phiri mnamchukia Kawakosea nini???
 
Phiri alisajiliwa kimakosa,na anaondolewa kimakosa
 
Salim Abdallah Mhene ' Try Again' Mimi GENTAMYCINE nakuonya kwa mara ya mwisho na huyu Mshambuliaji wangu Kinara na Kwangu Mimi ndiyo namba Moja Simba SC Moses Phiri akitolewa kwa Mkopo au Akiachwa kama ambavyo unapanga na Kushinikiza utanisamehe mno kwani nitaenda Kufunguka mengi yanayokuhusu na unayotufanyia wana Simba SC na mabaya uliyptufanyia wana Simba SC kwa miaka Miwili iliyopita na tukateseka na Kuchekwa mno na wana Yanga SC.

Poti wangu Kaka Crescentius Magori najua Unanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo nakuomba mfikishie Uzi wangu huu Try Again kwani tumeshamvumilia vya Kutosha na asije Kunilaumu / Kutulaumu tunaomjua na tunayoyajua ndani ya Simba SC.

Na huyu Kocha wenu Roberto Oliveira mwambieni aendelee tu kutupangia John Boko wake Mzee, Mcheza Rafu na Aliyechoka huku akimuacha Mshambuliaji Bora na aliyezaliwa Kufunga Magoli Moses Phiri kwa Kupandikizwa Chuki na Kiongozi Mpuuzi ( Mzee wa 10% ) niliyemtaja na Kumuonya hapa.

Na mwambieni Kocha wenu kwa Upuuzi wake huu ama Nyerere Day au Christmas anaweza akakuta zinamkutia Kwao Jijini Rio De Jeneiro na Mswahili Mwenzetu wa Tanga akaliongoza Jahazi.

Phiri mnamchukia Kawakosea nini???
Nyie si juzi mlisema mnachotaka ni makombe,so kocha anawapa makombe ,mengine mwachieni yy.
 
Salim Abdallah Mhene ' Try Again' Mimi GENTAMYCINE nakuonya kwa mara ya mwisho na huyu Mshambuliaji wangu Kinara na Kwangu Mimi ndiyo namba Moja Simba SC Moses Phiri akitolewa kwa Mkopo au Akiachwa kama ambavyo unapanga na Kushinikiza utanisamehe mno kwani nitaenda Kufunguka mengi yanayokuhusu na unayotufanyia wana Simba SC na mabaya uliyptufanyia wana Simba SC kwa miaka Miwili iliyopita na tukateseka na Kuchekwa mno na wana Yanga SC.

Poti wangu Kaka Crescentius Magori najua Unanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo nakuomba mfikishie Uzi wangu huu Try Again kwani tumeshamvumilia vya Kutosha na asije Kunilaumu / Kutulaumu tunaomjua na tunayoyajua ndani ya Simba SC.

Na huyu Kocha wenu Roberto Oliveira mwambieni aendelee tu kutupangia John Boko wake Mzee, Mcheza Rafu na Aliyechoka huku akimuacha Mshambuliaji Bora na aliyezaliwa Kufunga Magoli Moses Phiri kwa Kupandikizwa Chuki na Kiongozi Mpuuzi ( Mzee wa 10% ) niliyemtaja na Kumuonya hapa.

Na mwambieni Kocha wenu kwa Upuuzi wake huu ama Nyerere Day au Christmas anaweza akakuta zinamkutia Kwao Jijini Rio De Jeneiro na Mswahili Mwenzetu wa Tanga akaliongoza Jahazi.

Phiri mnamchukia Kawakosea nini???
Acha ushamba wa soka weweee!
 
Salim Abdallah Mhene ' Try Again' Mimi GENTAMYCINE nakuonya kwa mara ya mwisho na huyu Mshambuliaji wangu Kinara na Kwangu Mimi ndiyo namba Moja Simba SC Moses Phiri akitolewa kwa Mkopo au Akiachwa kama ambavyo unapanga na Kushinikiza utanisamehe mno kwani nitaenda Kufunguka mengi yanayokuhusu na unayotufanyia wana Simba SC na mabaya uliyptufanyia wana Simba SC kwa miaka Miwili iliyopita na tukateseka na Kuchekwa mno na wana Yanga SC.

Poti wangu Kaka Crescentius Magori najua Unanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo nakuomba mfikishie Uzi wangu huu Try Again kwani tumeshamvumilia vya Kutosha na asije Kunilaumu / Kutulaumu tunaomjua na tunayoyajua ndani ya Simba SC.

Na huyu Kocha wenu Roberto Oliveira mwambieni aendelee tu kutupangia John Boko wake Mzee, Mcheza Rafu na Aliyechoka huku akimuacha Mshambuliaji Bora na aliyezaliwa Kufunga Magoli Moses Phiri kwa Kupandikizwa Chuki na Kiongozi Mpuuzi ( Mzee wa 10% ) niliyemtaja na Kumuonya hapa.

Na mwambieni Kocha wenu kwa Upuuzi wake huu ama Nyerere Day au Christmas anaweza akakuta zinamkutia Kwao Jijini Rio De Jeneiro na Mswahili Mwenzetu wa Tanga akaliongoza Jahazi.

Phiri mnamchukia Kawakosea nini???
Mgunda anatosha
 
Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
 
Wanasimba tuendelee kupaza sauti, tusikae kimya kuona mchezaji wetu yoyote ananyanyaswa akiwa ndani ya klabu yetu.

Toka msimu uliopita tuliambiwa Phiri amepona, ikaja mechi muhimu na Wydad, baada ya hao wanaong'ang'aniwa kushindwa, akaingizwa dakika za mejeruhi ili tu aiokoe timu kwenye penati. Baada ya hapo akarudi benchi. Tena juzi wachezaji wale wale wameshindwa kutupa matokeo, tunamuingiza dakika ya 93 akapige penati. Hii siyo sawa.

Huyu mwamba nimempigania sana si kwa kuwa tunajuana au nataka kuleta mtafaruku katika timu ila wote tunaona hatendewi haki.
 
Mgunda anatosha
mpaka kesho ukiniuliza swali la kwamba

Ainisha hoja tatu za mpira wa miguu zilizofanya Mgunda aondolewe kuwa kocha wa Simba

Nitashindwa kulijibu hilo swali maana ili kocha afukuzwe, timu iwapo itakuwa na matokeo mabovu ama haelewani na baadhi ya wachezaji

Mgunda hivyo vyote hakuwa navyo

Fukuza Robertinho rudisha Mgunda
 
Wanasimba tuendelee kupaza sauti, tusikae kimya kuona mchezaji wetu yoyote ananyanyaswa akiwa ndani ya klabu yetu.

Toka msimu uliopita tuliambiwa Phiri amepona, ikaja mechi muhimu na Wydad, baada ya hao wanaong'ang'aniwa kushindwa, akaingizwa dakika za mejeruhi ili tu aiokoe timu kwenye penati. Baada ya hapo akarudi benchi. Tena juzi wachezaji wale wale wameshindwa kutupa matokeo, tunamuingiza dakika ya 93 akapige penati. Hii siyo sawa.

Huyu mwamba nimempigania sana si kwa kuwa tunajuana au nataka kuleta mtafaruku katika timu ila wote tunaona hatendewi haki.
Wewe una msaada au mchango gani hapo Simba?
 
Back
Top Bottom