Watu wanaojinadi wameridhiana Ili Nchi itulie, ndo hao Kila kukicha wanaotukana na kudhalilisha wengine.
Kuna kitu mnakitafuta, Si Bure.
Kama Legacy ya Mwamba Magufuli imefutika huu Uzi wa nini? Pumbavu!!!
Magu alikuwa MKWELI,Magufuli alikuwa mjinga , alidhani atauua Upinzani kwa kufanya intimidation, wajanja wanafanya maridhiano Kama nchi. Kuna shida wapi tukubaliane. Yeye akatumia watu wasio julikana kuuminya Upinzani na kuua wakosoaji
Una ushahidi? Kwa hiyo kila atakayekutwa amekufa bila kujulikana aliyeua basi tuendelee kuamini ameua na Rais au kwa maagizo ya Rais aliyepo madarakani?Kama infrastructure Marais wote wamejenga, yeye sio wa kwanza. Legacy aliyoiacha ni kuuwa Raia wake na kuwatupa kwenye viroba.
Fact check:Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.
Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!
Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!
Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Acha uongo wee chawa, magufuri alikuwa mshamba wa demokrasia..hakutaka kukosolewa ..kama viongozi wa upinzani walikuwa wanalipwa na ccm, kwnn alitumia nguvu kuwanunua???Magu alikuwa MKWELI,
Alikuta vyama vya upinzani vimo kwenye payrol ya Serikali,
Viongozi waandamizi wanalipwq na wanafanya KAZI CCM, yule hakutaka ujinga.
Alitufumbua macho wananchi ndomana ckuiz haipo hamasa na mihemko Kwa vyama vya siasa.
Wanachama wa CDM Kuitikia CCM hoyeeeeee kwenye mkutano wa CDM ndo kuimarika Kwa upinzani?
Wadanganye hao hao,Acha uongo wee chawa, magufuri alikuwa mshamba wa demokrasia..hakutaka kukosolewa ..kama viongozi wa upinzani walikuwa wanalipwa na ccm, kwnn alitumia nguvu kuwanunua???
Karma hiyo ya kwako wewe inachagua kumuondoa Magu tu eh? Waliomuondoa Magu wao hawana karma? Tulia bwamdogo ujionee usiyoyatarajiaHakimbii mtu, ukileta ujinga wa Magu karma inakuondoa moja kwa moja. Nchi ni ya watanzania sio kundi la watu wachache. Huwezi kuongoza watu Kama watoto wako nyumbani. Stupid magufuli
Hata uongee vipi,huyu beans anapendea saaaàaaaana na watz ukitaka Amini ngj uchaguzi ufike,atakayetembelea nyota yake ndiye atakuwa Rais ukitaka Amini msikie ht mama huwezi sikia akisema bays lolote la JPM nyie kunguni jidanganyeni hatutaacha kumkumbuka,sasa hatuna maji,umeme unakatika hvy bidhaa zipo juu tumpendee nn huyu mzurulaji na muogopa wazungu wa ushoga,hujiuliz Kwa nn hazungumzii mashogaMiaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.
Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!
Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!
Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Tupiganie ipatikane KATIBA MPYA sasa, vinginevyo hali hiyo inaweza kurejea tenaMiaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.
Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!
Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!
Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Kwani aliyepo hakuna kwenye timu yake? Kamuulizeni!Hakuna legacy aliacha yule ibilisi. Muuaji mkubwa. Timu yake iwe responsible kutuambia akina Saanane na Azory wapo wapi.
Kwani aliondoka na mashabiki wakeUnamzungumzia marehemu asiye weza kukujibu chochote,amelala mazima wala hataamka tena.
Shughulika na waliopo kushughulika na hamna ni upotevu wa muda usio na msingi wowote mkuu, tafuta pesa mkuu legacy yako italindwa na chawa wako.
Narudia tafuta hela mengine ni mbwembwe tu.
Naona yule mdosi kwenye ile picha nyingine atakuwa mdogo wake Hayati.
Umemjibu vizuri sana!Wao wamejikomboa? Watu wanaotegemea ajira watamkomboa nani?