Kwahiyo Ndugai na Chamuriho ndio mliutaka Urais miaka 2 iliyopita?

Kwahiyo Ndugai na Chamuriho ndio mliutaka Urais miaka 2 iliyopita?

Watu wanaojinadi wameridhiana Ili Nchi itulie, ndo hao Kila kukicha wanaotukana na kudhalilisha wengine.

Kuna kitu mnakitafuta, Si Bure.

Magufuli alikuwa mjinga , alidhani atauua Upinzani kwa kufanya intimidation, wajanja wanafanya maridhiano Kama nchi. Kuna shida wapi tukubaliane. Yeye akatumia watu wasio julikana kuuminya Upinzani na kuua wakosoaji
 
Magufuli alikuwa mjinga , alidhani atauua Upinzani kwa kufanya intimidation, wajanja wanafanya maridhiano Kama nchi. Kuna shida wapi tukubaliane. Yeye akatumia watu wasio julikana kuuminya Upinzani na kuua wakosoaji
Magu alikuwa MKWELI,

Alikuta vyama vya upinzani vimo kwenye payrol ya Serikali,

Viongozi waandamizi wanalipwq na wanafanya KAZI CCM, yule hakutaka ujinga.

Alitufumbua macho wananchi ndomana ckuiz haipo hamasa na mihemko Kwa vyama vya siasa.

Wanachama wa CDM Kuitikia CCM hoyeeeeee kwenye mkutano wa CDM ndo kuimarika Kwa upinzani?
 
Kama infrastructure Marais wote wamejenga, yeye sio wa kwanza. Legacy aliyoiacha ni kuuwa Raia wake na kuwatupa kwenye viroba.
Una ushahidi? Kwa hiyo kila atakayekutwa amekufa bila kujulikana aliyeua basi tuendelee kuamini ameua na Rais au kwa maagizo ya Rais aliyepo madarakani?
 
Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.

Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.

Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.

Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.

Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!

Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.

Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.

Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!

Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Fact check:
1. Utekaji haukuanza wakati wa magufuli Bali uliendelezwa
2. kuficha pesa China au Canada? Labda huzijui hizo nchi. Watu wafaficha pesa Switzerland , cook island, Belize etc
3. blabla bila evidence
 
Magu alikuwa MKWELI,

Alikuta vyama vya upinzani vimo kwenye payrol ya Serikali,

Viongozi waandamizi wanalipwq na wanafanya KAZI CCM, yule hakutaka ujinga.

Alitufumbua macho wananchi ndomana ckuiz haipo hamasa na mihemko Kwa vyama vya siasa.

Wanachama wa CDM Kuitikia CCM hoyeeeeee kwenye mkutano wa CDM ndo kuimarika Kwa upinzani?
Acha uongo wee chawa, magufuri alikuwa mshamba wa demokrasia..hakutaka kukosolewa ..kama viongozi wa upinzani walikuwa wanalipwa na ccm, kwnn alitumia nguvu kuwanunua???
 
Acha uongo wee chawa, magufuri alikuwa mshamba wa demokrasia..hakutaka kukosolewa ..kama viongozi wa upinzani walikuwa wanalipwa na ccm, kwnn alitumia nguvu kuwanunua???
Wadanganye hao hao,

Viongozi wengi wa upinzani wanapokea maelekezo Kutoka pale Mgaso.

Ukombozi wa Kweli unakuja, hautaletwa na Mbowe Wala Lisu.
 
Hakimbii mtu, ukileta ujinga wa Magu karma inakuondoa moja kwa moja. Nchi ni ya watanzania sio kundi la watu wachache. Huwezi kuongoza watu Kama watoto wako nyumbani. Stupid magufuli
Karma hiyo ya kwako wewe inachagua kumuondoa Magu tu eh? Waliomuondoa Magu wao hawana karma? Tulia bwamdogo ujionee usiyoyatarajia
 
Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.

Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.

Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.

Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.

Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!

Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.

Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.

Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!

Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Hata uongee vipi,huyu beans anapendea saaaàaaaana na watz ukitaka Amini ngj uchaguzi ufike,atakayetembelea nyota yake ndiye atakuwa Rais ukitaka Amini msikie ht mama huwezi sikia akisema bays lolote la JPM nyie kunguni jidanganyeni hatutaacha kumkumbuka,sasa hatuna maji,umeme unakatika hvy bidhaa zipo juu tumpendee nn huyu mzurulaji na muogopa wazungu wa ushoga,hujiuliz Kwa nn hazungumzii mashoga
 
Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.

Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.

Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.

Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.

Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!

Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.

Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.

Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!

Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Tupiganie ipatikane KATIBA MPYA sasa, vinginevyo hali hiyo inaweza kurejea tena
 
Hizi Hekaya za Magufuli zikishaisha sijui mtatuambia nini Tena??
 
Unamzungumzia marehemu asiye weza kukujibu chochote,amelala mazima wala hataamka tena.

Shughulika na waliopo kushughulika na hamna ni upotevu wa muda usio na msingi wowote mkuu, tafuta pesa mkuu legacy yako italindwa na chawa wako.

Narudia tafuta hela mengine ni mbwembwe tu.
Kwani aliondoka na mashabiki wake
 
Back
Top Bottom