- Thread starter
- #21
Sasa ulifwata nini hapa mkuu.au hukusoma sentensi ya mwisho?Mimi sio daktari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ulifwata nini hapa mkuu.au hukusoma sentensi ya mwisho?Mimi sio daktari
Tanzania ni Nchi Tajiri sanaHayo mavazi ni very expensive na ni adimu.
Sasa tukianza kuwavisha maiti, wahudumu wetu wa afya si watapungukiwa vitendea kazi kwenye kuwahudumia wagonjwa wa korona?
Njemba ina akili nzito hii .....Amesema maiti zivalishwe PPE kisha zisafirishwe hebu wataalamu wa haya mambo nisaidieni huyu Mh wetu hapa anamaanisha nini?....Je mimi ndo sielewi au yeyendo anazidi kutuonyesha jinsi gani haelewi mambo anayojipambanua kuyaelewa kwa undani?
Kama Ameweza kutamka tu bila kufikiri, kwamba Danieli alikua kwenye tumbo la samaki na kwenye tundu la moto,je hawezi kutamka neno lolote hata lenye madhara bila kufikiri??? Kama unauelewa nisaidie kunipanua akili...KAMA UNAJIJUA WEWE NI KOPO TUPU, lala tu usijihangaishe hii mada haikuhusu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Comrade maiti itavalishwa yale mabuti na magloves na kusafirishwa hadi kijijini kwa marehemu
Huu ndiyo umskiniVijana wa ufipa mnamatatizo ya kuelewa mambo, jambo dogo tu mnahitaji lekcha kabisa.
Unamaanisha anko Dani😆😆😆😆😆Labda Daniel mjomba wake ndio alikaa kwenye tumbo la samaki
Hakuwa anaongea na watu kama wewe.Amesema maiti zivalishwe PPE kisha zisafirishwe hebu wataalamu wa haya mambo nisaidieni huyu Mh wetu hapa anamaanisha nini?....Je mimi ndo sielewi au yeyendo anazidi kutuonyesha jinsi gani haelewi mambo anayojipambanua kuyaelewa kwa undani?
Kama Ameweza kutamka tu bila kufikiri, kwamba Danieli alikua kwenye tumbo la samaki na kwenye tundu la moto,je hawezi kutamka neno lolote hata lenye madhara bila kufikiri??? Kama unauelewa nisaidie kunipanua akili...KAMA UNAJIJUA WEWE NI KOPO TUPU, lala tu usijihangaishe hii mada haikuhusu.
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Hayo mavazi ni very expensive na ni adimu.
Sasa tukianza kuwavisha maiti, wahudumu wetu wa afya si watapungukiwa vitendea kazi kwenye kuwahudumia wagonjwa wa korona?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maiti alivomnyonge vile umvishe mabuti,umpige yale ma suit na ma Groves maiti wa watu jamani !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia simama nishuke
KAMA UNAJIJUA WEWE NI KOPO TUPU, lala tu usijihangaishe hii mada haikuhusu.Sasa ulifwata nini hapa mkuu.au hukusoma sentensi ya mwisho?
hutoshuka mzee mganga hii mpaka igonge mwamba wote tufeDunia simama nishuke
Jr[emoji769]
Mungu wangu.. Tuepushie hill balaaMaiti zinaambukiza na inataka uangalizi mkubwa sana
Kuna clip ya Italy niliiona maiti zinavyozungushiwa shrink wrap na kuwa sealed kabisa kuanzia kichwa mpaka miguu
Labda tunahitaji hiyo mashine ya kuwafunga
Kama hujaona maiti wanavyoteseka angalia na Ecuador jinsi ndugu wanasubiri maiti za wapendwa zichukuliwe na serikali bila mafanikio wengine wamesubiri mpaka wiki
Mwisho wameamua kuziweka nje na kusubiri in vain
Wengine wameamua kutelekeza maiti mitaani
Imagine huwezi kuzika unaamua kusubiri serikali ije na hawaji
View attachment 1439253
View attachment 1439254
Sent from my iPhone using Tapatalk
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]