Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mungu wangu.. Tuepushie hill balaa
Jr[emoji769]
Inauma sana ila duniani kwa sasa yanayoendelea ni mabaya sana na sisi Mungu atulinde
Sent from my iPhone using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wangu.. Tuepushie hill balaa
Jr[emoji769]
Hayo mavazi ni very expensive na ni adimu.
Sasa tukianza kuwavisha maiti, wahudumu wetu wa afya si watapungukiwa vitendea kazi kwenye kuwahudumia wagonjwa wa korona?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣viroboto vya mbu
Avalishwe mask kwani maiti inatoa hewa mdomoni na puani?Comrade hatupingi tupe ufafanuzi tu marehemu atakavyovalishwa gloves na mask
Unasemaaaa !!!?? Umvalishe maiti halafuuuu!!?? Hauko seriousNadhan tunaweza mvalisha marehemu tukimfikisha sehemu hucka tunachukua mavaz yetu kwa matumizi ya wengne
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeulizwa je maiti tuwavalishe PPE?Kila kitu mnataka kupinga?
Aulizaye si mjinga bwana..nyie wa lumumba ndo maana mnakwama maana hamuulizi
Mkuu muache kum quote huyu mpuuzi mnatupa shida sisi wengine tusiopendelea ujinga wake.Comrade hatupingi tupe ufafanuzi tu marehemu atakavyovalishwa gloves na mask
Kama ana ubavu aagize hayo mavazi ya kuvisha maiti.Hayo mavazi ni very expensive na ni adimu.
Sasa tukianza kuwavisha maiti, wahudumu wetu wa afya si watapungukiwa vitendea kazi kwenye kuwahudumia wagonjwa wa korona?
Wivu tu hata kuandika propaganda ya namna yoyote ile ukweli utabaki kuwa Magufuli ndiye Rais na ataendelea kwa awamu nyingine huku mkishuhudia mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya serikali anayoiongozaAmesema maiti zivalishwe PPE kisha zisafirishwe hebu wataalamu wa haya mambo nisaidieni huyu Mh wetu hapa anamaanisha nini?....Je mimi ndo sielewi au yeye ndio anazidi kutuonyesha jinsi gani haelewi mambo anayojipambanua kuyaelewa kwa undani?
Kama ameweza kutamka tu bila kufikiri, kwamba Danieli alikua kwenye tumbo la samaki na kwenye tundu la moto,je hawezi kutamka neno lolote hata lenye madhara bila kufikiri??? Kama unauelewa nisaidie kunipanua akili...KAMA UNAJIJUA WEWE NI KOPO TUPU, lala tu usijihangaishe hii mada haikuhusu.
Ana maana kuwa wazikaji wawe na PPE na maiti iwe sealed na plastic sheet vile waliofariki na ebola/chelera wanavyofalishwa na kuzikwa.Amesema maiti zivalishwe PPE kisha zisafirishwe hebu wataalamu wa haya mambo nisaidieni huyu Mh wetu hapa anamaanisha nini?....Je mimi ndo sielewi au yeye ndio anazidi kutuonyesha jinsi gani haelewi mambo anayojipambanua kuyaelewa kwa undani?
Kama ameweza kutamka tu bila kufikiri, kwamba Danieli alikua kwenye tumbo la samaki na kwenye tundu la moto,je hawezi kutamka neno lolote hata lenye madhara bila kufikiri??? Kama unauelewa nisaidie kunipanua akili...KAMA UNAJIJUA WEWE NI KOPO TUPU, lala tu usijihangaishe hii mada haikuhusu.
Unasemaaaa !!!?? Umvalishe maiti halafuuuu!!?? Hauko serious
Hukumuelewa Rais. Nikueleweshe,Rais alisema kwanini wahudumu wa afya hawakuvaa hizo PPE ili wamuandae ili kumpeleka kwao moshi? Hakusema mwili uvalishwe PPE.Amesema maiti zivalishwe PPE kisha zisafirishwe hebu wataalamu wa haya mambo nisaidieni huyu Mh wetu hapa anamaanisha nini?....Je mimi ndo sielewi au yeye ndio anazidi kutuonyesha jinsi gani haelewi mambo anayojipambanua kuyaelewa kwa undani?
Kama ameweza kutamka tu bila kufikiri, kwamba Danieli alikua kwenye tumbo la samaki na kwenye tundu la moto,je hawezi kutamka neno lolote hata lenye madhara bila kufikiri??? Kama unauelewa nisaidie kunipanua akili...KAMA UNAJIJUA WEWE NI KOPO TUPU, lala tu usijihangaishe hii mada haikuhusu.