Kwahiyo Rais Magufuli anataka Maiti zianze kuvalishwa Gloves, Masks, protective glasses na boots?

Vijana wa ufipa mnamatatizo ya kuelewa mambo, jambo dogo tu mnahitaji lekcha kabisa.
Hapo umemueleaa mtoa Mazda umecheeka harafu kwenye keyboard umeandika hili just for you 7tau!

PPE Kwa dead body what are you protecting then!
 
Kubwa ni pale alipomlaumu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kwa maamuzi yake kumuzika marehemu mkuu wa wilaya huko Mtwara badala ya kupeleka maiti kwao huko Rombo (yeye alisema Moshi). Yeye kama mwajiri wa wote hawa (mkuu wa mkoa ma marehemu) aliona ugumu gani kumwelekeza Mkuu wa Mkoa atengue maamuzi yake na akamzike marehemu huko Rombo!

Inaumiza sana unapokuja kulaumu na kulalamika baada ya tendo ambalo haliwezi kubadilishwa kirahisi. Tumefanywa kuwa taifa la kulalamika na kulaumiana kila wakati.

Najua ndiyo siasa za sasa lakini ni vyema tushauri, tuelekeze kila mara kabla makosa hayajafanyika na kujizuia kulaumu na kulalamika; na hasa katika mambo yaliyo ndani ya uwezo (mamlaka) yako.

Mungu ibariki Tanzania yetu.
 
Anaongelea Corpse's Bags ambazo sidhani kama zinapatika kirahisi hivyo.Tumeshidwa kuwa na PPE kwa wahudumu wa afya,ndiyo hizi bags?Tunawavalisha maiti wepi hao maana mkuu anaamini hakuna Corona?
Nchi hii na watawala wake Mungu pekee ndiye anafahamu jinsi ya kutunusuru.
 
Nchi hii ina madaktari Bingwa, inachama cha Madaktari mpaka muda huu hawajajitokeza kutuchambulia katika kipengele cha hotuba ya Rais alivyosema Kifaa kilichotengezewa mahususi kupima virus vya corona vinaweza kupima Mapapai na kikatoa majibu ya kweli?

Kifaa hicho cha kitaalamu kilichotengenezwa kwa kuzingatia vinasaba vya mwanadamu kinaweza kutumika kupima Oil za magari kupima Corona
 
Jamaa sijui yuko vizuri kwenye nini kila sehemu anapwaya bwana yona tu ndio inasesekana tu ndio alikuwa kwenye tumbo la fish na si bwana dani
 
Maabara wanapima Corona Viral DNA PCR,kisayansi hiyo analyser haiwezi kureact kwenye papai.
 

Usilazimishe kila mtu ashikiwe akili kama wewe...watu wa kaliba yako ndo chanzo cha umasikini Tanzania. Mimi nimeuliza swali na inaonekana kwako limekua gumu sana kung'amua unaanza kuleta porojo hapa...Jipu swali kama huwezi angalia sentensi yangu ya mwisho kwenye mada.
 
Mimi nilicheka pale alipozungumzia kuhusu meli zinazotakiwa kufanyiwa 'komisheni' na Wakorea. πŸ˜€ πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Maabara wanapima Corona Viral DNA PCR,kisayansi hiyo analyser haiwezi kureact kwenye papai.
sawa kulingana nahotuba tulitegemea professionals kuwa mstari wa mbele kuelezea kinaga ubaga na juu ya uzalendo wao pia licha ya changamoto lukuki walizo nazo kipindi hiki walipaswa kufarijiwa na si vinginevyo hyo inatuaminisha kuwa kuna tatizo mahali ......

maana hotuba ya mkuu inanipa kujiuliza maswali lukuki yasio na majibu je alilenga mabeberu au alilenga kuaminisha korona haipo au alilenga kuwa korona ipo ila tujikinge au vifaa ni vibovu au maabar yetu haina ueledi maana ukiangalia unaweza sema iko open ila ina blank kibao zakujitafakarisha

yaweza kuwa nimekangnya mada ila ni mambo ambatanishi
 
Ni wivu tu
 
Njemba ina akili nzito hii .....
wafanya biashara wameshaona fursa hapo
mavazi maalum ya kuvesha
ambayo yatakuwa verified na mamlaka husika
yanakuja kwa ajili ya shughuli ya kuhifadhi na kusafirisha....
muwe mnajiongeza jamani msikubali kuwa viraka
Serikali itawanunulia au yatanunuliwa na hawa wabangaizaji wanaoshindwa kununua mask ya shilingi 3000?
 
Kama rais alikuwa na uwezo wakuagiza mwili wa aliyekuwa mkuu wa wilaya uifadhiwe kwa jinsi alivyokuwa anataka,na usafirishwe mpaka kwao lakini hakufanya hivyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
pHd holder
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…