GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema anatamani kubadilisha jina la Hospitali ya Magonjwa ya Akili la Mirembe kwa sababu watu wanaoenda katika hospitali hiyo wanaonekana kama ni 'machizi'.
Chanzo: Clouds Media
Yaani Waziri mzima tena wa Wizara Nyeti na Muhimu kwa Ustawi wa Afya za Wanadamu akina GENTAMYCINE unaacha Kupiga Kelele Mgawo wa Maji usiwepo kwa Mkoa uliosongamana kama huu wa Dar es Salaam Ili Magonjwa ya Milipuko yasitokee Wewe Unahangaika na Jina la Hospitali ya Wendawaimu Mirembe.
Tafadhali hebu acha Kutulazimisha tuanze Kuamini kuwa huenda nawe ( Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ) unatakiwa haraka sana utafutiwe Kitanda chako 'Spesheli' hapo Mirembe Mental Hospital Mkoani Dodoma Ili uanzishiwe Matibabu ya haraka.
Chanzo: Clouds Media
Yaani Waziri mzima tena wa Wizara Nyeti na Muhimu kwa Ustawi wa Afya za Wanadamu akina GENTAMYCINE unaacha Kupiga Kelele Mgawo wa Maji usiwepo kwa Mkoa uliosongamana kama huu wa Dar es Salaam Ili Magonjwa ya Milipuko yasitokee Wewe Unahangaika na Jina la Hospitali ya Wendawaimu Mirembe.
Tafadhali hebu acha Kutulazimisha tuanze Kuamini kuwa huenda nawe ( Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ) unatakiwa haraka sana utafutiwe Kitanda chako 'Spesheli' hapo Mirembe Mental Hospital Mkoani Dodoma Ili uanzishiwe Matibabu ya haraka.