Kwahiyo sasa iitwe Mirembe Ummy Mwalimu Mental Hospital au?

Kwahiyo sasa iitwe Mirembe Ummy Mwalimu Mental Hospital au?

Oya akina adriz na To yeye sijaanzisha huu Uzi Ili muanze Kutongozana na Kubebishana sawa?

Karma nyote Viwango vyenu vya Hamu ( Nyege ) vimepanda kiasi kwamba Mnara wa adriz umeshajisimika Ardhini na Antenna ya To yeye nayo imeshakaa tayari kwa kupokea Signals hebu kutaneni huko PM mmalizane sawa?
Ha ha haaa😂😂😂😂😂 Mungu anakuona GENTAMYCINE
 
Oya akina adriz na To yeye sijaanzisha huu Uzi Ili muanze Kutongozana na Kubebishana sawa?

Karma nyote Viwango vyenu vya Hamu ( Nyege ) vimepanda kiasi kwamba Mnara wa adriz umeshajisimika Ardhini na Antenna
Sawa mkuu Rwigyema Kalemera Mazimpaka Kadogo Kasungura ,nilijisahau kidogo nilijua nipo Chitchat nitarudi kuchangia mada.
 
Huyu mama ni zuzumagic kwelikweli, kwani MIREMBE tafsiri yake nini?
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema anatamani kubadilisha jina la Hospitali ya Magonjwa ya Akili la Mirembe kwa sababu watu wanaoenda katika hospitali hiyo wanaonekana kama ni 'machizi'.

Chanzo:
Clouds Media
 
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema anatamani kubadilisha jina la Hospitali ya Magonjwa ya Akili la Mirembe kwa sababu watu wanaoenda katika hospitali hiyo wanaonekana kama ni 'machizi'.

Chanzo: Clouds Media

Yaani Waziri mzima tena wa Wizara Nyeti na Muhimu kwa Ustawi wa Afya za Wanadamu akina GENTAMYCINE unaacha Kupiga Kelele Mgawo wa Maji usiwepo kwa Mkoa uliosongamana kama huu wa Dar es Salaam Ili Magonjwa ya Milipuko yasitokee Wewe Unahangaika na Jina la Hospitali ya Wendawaimu Mirembe.

Tafadhali hebu acha Kutulazimisha tuanze Kuamini kuwa huenda nawe ( Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ) unatakiwa haraka sana utafutiwe Kitanda chako 'Spesheli' hapo Mirembe Mental Hospital Mkoani Dodoma Ili uanzishiwe Matibabu ya haraka.
Ni vyema atueleze ni namna gani hilo Jina limeathiri utoaji wa Huduma......
 
Kuna muda namuangalia huyu mama naona uwezo wake wa kufanya kazi ulizima, Magu alipoondoka duniani. Nimeshangaa sana
 
Huyu Ummy kila kukicha akili take inazidi ku-detoriate.

Mafanikio ya awamu ya 5 nadhani ni kuoa na kuolewa mitala tu.
 
Oya akina adriz na To yeye sijaanzisha huu Uzi Ili muanze Kutongozana na Kubebishana sawa?

Karma nyote Viwango vyenu vya Hamu ( Nyege ) vimepanda kiasi kwamba Mnara wa adriz umeshajisimika Ardhini na Antenna ya To yeye nayo imeshakaa tayari kwa kupokea Signals hebu kutaneni huko PM mmalizane sawa?
Nawe hujaanzisha uzi ili mawivu yakujae hasa wenzako wanapopata pale ambapo wewe uligonga ukuta. Mwache adriz ajipatie K ya Bure! After all hizi K kila mtu huwa anapata kwa wakati wake. Siku ingine ni wewe utabebeshwa na To yeye ! Kaza uzi
 
Nawe hujaanzisha uzi ili mawivu yakujae hasa wenzako wanapopata pale ambapo wewe uligonga ukuta. Mwache abadriz ajipatie K ya Bure! After all hizi K kila mtu huwa anapata kwa wakati wake. Siku ingine ni wewe utabebeshwa na To yeye ! Kaza uzi
Nashangaa,anatakiwa awe mstahimilivu....nitampa 😂 😂
 
kuna pendekezo kutoka kwa wananchi wa maeneo ya daraja jipya la Wami liitwe Shaka Hamdu Shaka Bridge
 
Back
Top Bottom