Kwahiyo sasa iitwe Mirembe Ummy Mwalimu Mental Hospital au?

Ha ha haaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mungu anakuona GENTAMYCINE
 
Oya akina adriz na To yeye sijaanzisha huu Uzi Ili muanze Kutongozana na Kubebishana sawa?

Karma nyote Viwango vyenu vya Hamu ( Nyege ) vimepanda kiasi kwamba Mnara wa adriz umeshajisimika Ardhini na Antenna
Sawa mkuu Rwigyema Kalemera Mazimpaka Kadogo Kasungura ,nilijisahau kidogo nilijua nipo Chitchat nitarudi kuchangia mada.
 
Huyu mama ni zuzumagic kwelikweli, kwani MIREMBE tafsiri yake nini?
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema anatamani kubadilisha jina la Hospitali ya Magonjwa ya Akili la Mirembe kwa sababu watu wanaoenda katika hospitali hiyo wanaonekana kama ni 'machizi'.

Chanzo:
Clouds Media
 
Ni vyema atueleze ni namna gani hilo Jina limeathiri utoaji wa Huduma......
 
Kuna muda namuangalia huyu mama naona uwezo wake wa kufanya kazi ulizima, Magu alipoondoka duniani. Nimeshangaa sana
 
Huyu Ummy kila kukicha akili take inazidi ku-detoriate.

Mafanikio ya awamu ya 5 nadhani ni kuoa na kuolewa mitala tu.
 
Nawe hujaanzisha uzi ili mawivu yakujae hasa wenzako wanapopata pale ambapo wewe uligonga ukuta. Mwache adriz ajipatie K ya Bure! After all hizi K kila mtu huwa anapata kwa wakati wake. Siku ingine ni wewe utabebeshwa na To yeye ! Kaza uzi
 
Nawe hujaanzisha uzi ili mawivu yakujae hasa wenzako wanapopata pale ambapo wewe uligonga ukuta. Mwache abadriz ajipatie K ya Bure! After all hizi K kila mtu huwa anapata kwa wakati wake. Siku ingine ni wewe utabebeshwa na To yeye ! Kaza uzi
Nashangaa,anatakiwa awe mstahimilivu....nitampa πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
kuna pendekezo kutoka kwa wananchi wa maeneo ya daraja jipya la Wami liitwe Shaka Hamdu Shaka Bridge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…